Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepanda katika list ya viwango vya soka vya dunia FIFA iliyotolewa hii leo Alhamisi Oktoba 25, 2018
Katika viwango hivyo vilivyotolewa na FIFA, Taifa Stars imepanda nafasi nne zaidi hadi kufikia 136 kutoka nafasi ya 140 kwa mwezi uliopita.
Uganda iliyo nafasi ya 79 inaongoza kwa nchi za Afrika Mashabiki ikifuatiwa na nchi ya Kenya iliyo katika nafasi ya 105 huku nchi ya Rwanda ikishika nafasi ya 138 na nchi ya Burundi ipo nafasi ya 142.
Aidha, Ubelgiji imefanikiwa kuiondoa Ufaransa katika nafasi ya kwanza huku Nigeria ikiongoza katika bara la Afrika ikiwa katika nafasi ya 44 ya viwango vya soka vya dunia vya FIFA.
Katika viwango hivyo vilivyotolewa na FIFA, Taifa Stars imepanda nafasi nne zaidi hadi kufikia 136 kutoka nafasi ya 140 kwa mwezi uliopita.
Uganda iliyo nafasi ya 79 inaongoza kwa nchi za Afrika Mashabiki ikifuatiwa na nchi ya Kenya iliyo katika nafasi ya 105 huku nchi ya Rwanda ikishika nafasi ya 138 na nchi ya Burundi ipo nafasi ya 142.
Aidha, Ubelgiji imefanikiwa kuiondoa Ufaransa katika nafasi ya kwanza huku Nigeria ikiongoza katika bara la Afrika ikiwa katika nafasi ya 44 ya viwango vya soka vya dunia vya FIFA.