Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 843
kwenye mkutano wa CTI uliofanyika jijini Dar es Salaam uliohudhuriwa na wadau wa viwanda na Waziri wa uwezeshaji Bi. Mary Nagu imetangazwa Tanzania kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uzalishaji wa bidhaa za viwandani mbali na nchi kukabiliwa na tatizo la mgao wa umeme kwa muda mrefu sasa
'utafiti huo unaonyesha kwa kipindi cha mwaka mmoja kufikia sasa ukuaji wa bidhaa viwandani umefikia asilimia nane sawa na Msumbiji. Ni Africa kusini kwa sasa nchi ambayo inazalisha bidhaa nyingi katika eneo la kusini mwa Africa' alisema mwenyekiti CTI Bw. Mosha
aidha waziri wa uwezeshaji Bi. Nagu aliwaeleza waliohudhuria mkutano huo mgao wa umeme utakuwa historia kwa mikakati iliyowekwa na serikali
'utafiti huo unaonyesha kwa kipindi cha mwaka mmoja kufikia sasa ukuaji wa bidhaa viwandani umefikia asilimia nane sawa na Msumbiji. Ni Africa kusini kwa sasa nchi ambayo inazalisha bidhaa nyingi katika eneo la kusini mwa Africa' alisema mwenyekiti CTI Bw. Mosha
aidha waziri wa uwezeshaji Bi. Nagu aliwaeleza waliohudhuria mkutano huo mgao wa umeme utakuwa historia kwa mikakati iliyowekwa na serikali