Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,899
Watu walalamishi na mliodelezwa kama wewe ni hasara na mzigo kwa Taifa,watu Kam wewe Nchi kama China,Korea ni Eastern Europe au Japan mngekuwa kaburini saizi..Watu wazima kama wewe wanalalamika wana sababu
Usijifanye wewe ndio mtu mzima zaidi ya watu wote unawaona watoto wadogo ni wa kupiga nyundo
Huna tofauti nao,infact upo kwenye low IQ percentile zaidi yao
Uongozi sio obvious questions unavamia tu ndio maana ulifeli mitihani yote shule upo humu unaongea umatako wa kupiga wanadamu watu wazima wenzio nyundo as if wewe una wisdom zaidi yao
Matatizo ya jamii sio ya kurukia na ku-solve kirahisi hivyo kwa kupiga nyundo ndio maana mlivamia mitihani wakati unasoma ukafeli yote kabisa
Hawa ni human beings,wanalalamika wana sababu,kupiga nyundo kapige wanao na mkeo huko nyumbani kwako ambapo infact huna lolote ni miserable zaidi ya wananchi wengi tu
Na kufananisha nchi zingine na TZ ni kosa,kila nchi ina economic level yake,maisha ya mwananchi Kenya ni ghali kuliko wako,kila nchi ina level za maisha yake,huwezi fananisha bei za bidhaa kote ni sawa
Tanzania kwenyewe unga Mwanza ni bei tofauti na DSM...halafu upo humu unafananisha gharama za maisha za nchi tofauti kabisa zenye economic peggings tofauti kabisa....
Na pia punguza usenge wa kugeuza wananchi ni watoto wadogo unaweza wachapa au kupiga "nyundo" unavyotaka,punguani wewe..kapige wanao na mkeo kwanza maana hata management ya economics of your own house and family unachezea F to begin with!Weka bank statements hapa to deny this
Haiwezi tuwe na watu walalamishi tuu alafu tuwe tunawasikiliza mnakwamisha maendeleo na kuambukiza upumbavu kwa watoto ambao walipaswa kufundishwa Kazi badala ya lawama na kusubiria vya bure bure,no free lunch