DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Kama unakazania sijui hamia huko.. ngoja nikupashe. Sasa hivi naishi nchi 3 USA, Kenya, na Tz. USA ni PR, Ni raia wa Tz, na nina projects za investments Kenya. Naelewa Tz na Kenya vizuri zaidi yako.Sitaki maneno hamia kwenye hizo Nchi alafu kanusha kwa facts kwamba yaliyosemwa hapo juu bei ni kubwa kushinda majirani..
Hapo unazidi kuonyesha raha ya Tzn,kama vyakula na nyumba bei ni ndogo huoni maisha yanaendeka bongo?
Nyie watu mnataka nini hasa? Mbona mnadeka Sana?
Post yenu ni kusifia bei za mafuta.. chakula na kodi ya nyumba ni nyongeza yangu tu.. na maisha ni zaidi ya chakula na sehemu ya kukaa.