Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,868
- 19,258
Tanzania yaongoza duniani kwa thamani ya miamala ya mobile money,
Hii inaonesha namna Tanzania ilivyo na uchumi mkubwa na shughuli nyingi za kiuchumi ukanda huu kutokana na thamani ya transactions za pesa kwenye mzunguko kuwa kubwa kuliko Taifa lolote ukanda huu wote
Hongereni Tanzania kwa kuwa na uchumi halisi na sio wa kwenye makaratasi wala wa kupika.
Hii inaonesha namna Tanzania ilivyo na uchumi mkubwa na shughuli nyingi za kiuchumi ukanda huu kutokana na thamani ya transactions za pesa kwenye mzunguko kuwa kubwa kuliko Taifa lolote ukanda huu wote
Hongereni Tanzania kwa kuwa na uchumi halisi na sio wa kwenye makaratasi wala wa kupika.