O obakunta JF-Expert Member Nov 19, 2018 253 262 Feb 8, 2020 #21 Huwa nawashangaa sana Waafrika, mlirogwa, taarifa nzuri kama hizi badala ya kutoa hongera mnaponda na kujibu kwa pumba.
Huwa nawashangaa sana Waafrika, mlirogwa, taarifa nzuri kama hizi badala ya kutoa hongera mnaponda na kujibu kwa pumba.
King klax JF-Expert Member Jul 10, 2015 4,242 2,678 Feb 8, 2020 #22 Eti miradi, halafu hutaji mweeeeee kweli wa tz tumerogwa na chichiem,,,, Sent using Jamii Forums mobile app
Eti miradi, halafu hutaji mweeeeee kweli wa tz tumerogwa na chichiem,,,, Sent using Jamii Forums mobile app