Tanzania yaomba EAC iingilie kati katika kuzuia mipango ya Kenya kujenga bwawa Mara

Unadhani wametuvumilia au hawana jinsi?, utaona hata hili bwawa hawatojenga wanajaribu kutingisha kibiriti tu. Vipi kuhusu Tanzania kuomba kuuza stock yake ya pembe za Ndovu zilizopo ghalani ili kupata pesa za kuendeleza hifadhi zake, Kenya walizunguka dunia nzima kupiga kampeni ili Tanzania isirihusiwe kuuza hizo pembe, mwishowe tulikwama, Tanzania ina tani elfu 3 ya meno ya tembo, tungepata zaidi ya $2B.
Huwa nasema mara nyingi Kenya ni jirani siyo rafiki...rafiki yetu ni Burundi na Uganda. Wakawaleta mpka BBC World Service pale Mpingo House ku mark tsiuze ile stock ila wanashindwa kuzuia au kupiga the same kampeni kwa makaburu wa SA wanao vuna pembe za kifaru na kuziuza Far east
 
I guess you only only listen to what you want to hear. You don't need amphibious tanks to perform amphibious attacks. As for our military inventory, i have already told you what the public knows in kenya. Although they have other weapons they don't show us. Keep believing what you want, just don't mess with Kenya, we will light up your world like the 4th of july.
Unaota ukiwa umelala nyikani!
Siku mnajaribu mess na Tz battle inaisha hata misa ya kwanza haijatoka...hatuombei maana mpumbavu hata umtwange ktk kinu uoumbavu wake haumuachi...unajigamba hapa wavaa makubadhi wanakusumbua!
 
Joto la jiwe......tangu lini siri za kenyan military zikawa hoja jf...
Hahaha kuna UZI humu JF wab254 mnajitamba kwa kupost picha za wanajeshi wenu wameshika silaha nzito nzito kama M4,M16 riffle and other current weapons equipments like night vision ... Lkn watz tukasema kwa tZ hatuna huo ustarabu wa wanajeshi wetu kupost picha na silaha nzito nzito.
 
-1) You are lying. Kenya does not fight with ethiopia in fact we have an agreement to defend each other when one of us is attacked by any foreign country, this was due to the former somalia dictator wanting to annex parts of kenya and ethiopia.
-Two what metric are you using to make a bold claim that kenya is a failure when we have everything that is bigger and better than your country?
The bigger and better than Tanzania hahaaa I like your courage neighbour ..
 
Mkuu binafsi hii issue badonipo kichwan kwangu mwanzoni mwa miaka ya 2010's ktk ule mkutano wa mapambano dhidi ya mauaji ya tembo kenya iliomba kibali cha kuuza meno ya tembo na moja ya masharti ya ule mkusanyiko ukadai wachama wapige kura bac kenya ikawa washawishi watz tuwapigie kura ili wauze meno yao bac wale wawakilishi wetu nao wakawapigia kura wa254 bana ilipofika hatua na ss ya kuomba kibali cha kuuza stock yetu banaaa wa 254 ndio walikuwa wa kwanza kunyanyuma sauti kutaka tz isipewe kibali .... Vitu kqma hivi ndio wa tz hatupendi kabisa kujifanya jiran mwema kumbe mnatuwangia hampendi kuona tukipiga hatua mbele ? Ndio maana tz na ke hatuwezi kukaa meza moja na kukubaliana jambo NEVER ...mfano tu lile swala mlilolileta la single tourist visa .... We rejected kwa sababu ya unfaith ya wa kenya ..... Nyie uganda ndio anawaweza vizuri sanaa mfano mlikubaliana EACOP lipite kenya on table mlikubaliana lkn in practical m7 shifted it , and now we see SGR in uganda side , there has been voluntary delaying to connect uganda and ke through sgr
Kenya siyo rafiki ni jirani aliyetokea kama ajali tu. Hawatupendi hili liko wazi.
 
Huwa nasema mara nyingi Kenya ni jirani siyo rafiki...rafiki yetu ni Burundi na Uganda. Wakawaleta mpka BBC World Service pale Mpingo House ku mark tsiuze ile stock ila wanashindwa kuzuia au kupiga the same kampeni kwa makaburu wa SA wanao vuna pembe za kifaru na kuziuza Far east
Ni kweli kabisa hawa jamaa sio marafikinninmajirani Mungu ametuweka karibu lkn ni watu wanaopenda kutuona tupo down. Ukikusanya tu series ya matukio yao kwetu ndio utaamini ...mfano tu walipotaka kutu sideline ktk eac nawakaja na ile kitu collision of willingness waka sign mikataba kamq ya ujenzi wa sgr ili waji link na nchi zinazotumia central corridor but God willing amezuia ilo ,tazama ss wanatakankuja na project yao ya serengeti yaan wanataka kudistrub ecosystem ya serengeti intentionally kuangamiza soko letu la utaliii lkn God pia atakwamisha hili we will see later.
 
You will never get F-16 before 2050. There is no country in Africa that has F-16 Except Egypt, you know nothing about this area.

Be informed that, TPDF can do whatever and whenever they want in marine and air space of Kenya, without any resistance.
Yaani hapa nilikuwa natafuta clearance ya Kenya kununua F-16 najiuliza ni lini wamepewa clearance kumbe huyu mkibera anaongelea myth hahaaa....halafu inabidi hawa jamaa ktk mission zile za Sudan na Congo tuchukue hata wawili waende wakaone tunavyopiga kazi on the field...

Kazi tuliomuonesha Albashir wa Sudan kipindi cha kikwete tungekuwa na mkenya mmoja around wangetuheshimu sana hawa jamaa
 
Kama wananchi tunatupiana maneno makali namna hii ss izi mambo ya political federation in EAC will it happen ?
We can't have that in near future Kenyans wanataka ardhi yao kwao asilimia kubwa imeshikwa na UhuRuto hahaaa... Tume ya Professor Wangwe ilibaini hilo mapema miaka kadhaa nyuma
 
Watanzania, sasa muona uchungu wa dunia kukwambia kuwa hli baya liache ukakaidi! Jiwe dunia imeomba Stiglers Gorge iachwe kwa uhifadhi wa dunia, yeye kakaidi. Leo analia na mto Mara! Jenga bwawa wakenya!
 
We can't have that in near future Kenyans wanataka ardhi yao kwao asilimia kubwa imeshikwa na UhuRuto hahaaa... Tume ya Professor Wangwe ilibaini hilo mapema miaka kadhaa nyuma
Iv kumbe ata VP ana miliki utajiri wa ardhi ? I thought he is the clean person in their country ... Bac watoe walau nusu ya ardhi yao kila mmoja ..
 
Ni kweli kabisa hawa jamaa sio marafikinninmajirani Mungu ametuweka karibu lkn ni watu wanaopenda kutuona tupo down. Ukikusanya tu series ya matukio yao kwetu ndio utaamini ...mfano tu walipotaka kutu sideline ktk eac nawakaja na ile kitu collision of willingness waka sign mikataba kamq ya ujenzi wa sgr ili waji link na nchi zinazotumia central corridor but God willing amezuia ilo ,tazama ss wanatakankuja na project yao ya serengeti yaan wanataka kudistrub ecosystem ya serengeti intentionally kuangamiza soko letu la utaliii lkn God pia atakwamisha hili we will see later.
CoW ilikufa kifo cha kawaida. Kwanza hawa jamaa nahisi wana funded kampeni kbsaa ya kutu shade kimataifa...utakuta mkenya anahijiwa jambo fulani halafu atataja kitu chochote cha Tz kuwa kipo kwao. Sasa hiyo wanafanya kwa uwazi vipi ktk vyumba vya siri.
 
Yaani hapa nilikuwa natafuta clearance ya Kenya kununua F-16 najiuliza ni lini wamepewa clearance kumbe huyu mkibera anaongelea myth hahaaa....halafu inabidi hawa jamaa ktk mission zile za Sudan na Congo tuchukue hata wawili waende wakaone tunavyopiga kazi on the field...

Kazi tuliomuonesha Albashir wa Sudan kipindi cha kikwete tungekuwa na mkenya mmoja around wangetuheshimu sana hawa jamaa
Hawa jamaa uelewa wao wa mambo ya kidunia ni mdogo sana, hawajipi muda wa kujifunza mambo kwa undani, wanachotaka ni kujifanya wanajua kila kitu ili waonekani wapo juu katika kila eneo. Huyu jamaa hujui lolote ndio sababu wenzake wametulia, huyu ni mgeni katika uga huu.

USA sio kama China na Urusi katika kuuza silaha, wana masharti Sana kama ambavyo wanaweka masharti katika kutoa misaada.

F-16 ni miongoni mwa ndege ambazo USA wameitengeneza kwa kutumia technology nzuri sana, wanajaribu sana kulinda technogy yao isiangukie mikononi mwa wachina na warusi, nchi yoyote ambayo ina ushirikiano na Urusi au China wa aina yoyote ile, kamwe hawezi kuuziwa vifaa vya kimarekani vya kivita ambavyo ni "Protected". Kenya ilivyochukuliwa na wachina kwa sasa, wasahau kuhusu F-16.
 
Unaota ukiwa umelala nyikani!
Siku mnajaribu mess na Tz battle inaisha hata misa ya kwanza haijatoka...hatuombei maana mpumbavu hata umtwange ktk kinu uoumbavu wake haumuachi...unajigamba hapa wavaa makubadhi wanakusumbua!
That is a pipe dream, we have the capability and the money to sustain a war with a non starter country like tanzania. We can flatten your world before we even launch our jets to complete the work. We have a professional army while you guys have a night guard squad that you call an army. Also notice while you started a trade war with kenya, only your exports to kenya have been hurt, you need us more than we need you. Our exports have increased and our military budget is now the largest in east africa. We have better equipment and better trained personnel.
 
Kenyans do not let these people lie to you. I have worked as a software consultant for Airtel, i was once sent into this country to beef up the technology team. These people are seriously incompetent and intellectually challenged. I ended up doing most of the work but i recommended to Nairobi that they shift the technology team to kenya or india. Recently i heard the only technology teams in Airtel are in Nairobi, Nigeria and IBM india. The other countries simply support what Kenya, Nigeria and India have made, they only report errors and we corrected them. I am so happy i finished that job and got out of that god awful country
 
Wametumwa kutingisha kiberitj kwa msuguano wa bwawa letu la stigilazi goji hawana lolote
 
Kenyans do not let these people lie to you. I have worked as a software consultant for Airtel, i was once sent into this country to beef up the technology team. These people are seriously incompetent and intellectually challenged. I ended up doing most of the work but i recommended to Nairobi that they shift the technology team to kenya or india. Recently i heard the only technology teams in Airtel are in Nairobi, Nigeria and IBM india. The other countries simply support what Kenya, Nigeria and India have made, they only report errors and we corrected them. I am so happy i finished that job and got out of that god awful country.
 
Wametumwa kutingisha kiberitj kwa msuguano wa bwawa letu la stigilazi goji hawana lolote
That white elephant, when will you guys learn that competing with kenya is like a competition between a bugatti and a donkey cart.Tanzania is the donkey cart in this race.
 
Wakenya endeleeni na ujenzi wa bwana..eneo mnalolitumia kwa ujenzi ni 0.3% ya hifadhi zote za Serengeti na Masai Mara..Kuwakumbusha tu mmechezewa sana
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom