James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,103
- 13,317
Huwa nasema mara nyingi Kenya ni jirani siyo rafiki...rafiki yetu ni Burundi na Uganda. Wakawaleta mpka BBC World Service pale Mpingo House ku mark tsiuze ile stock ila wanashindwa kuzuia au kupiga the same kampeni kwa makaburu wa SA wanao vuna pembe za kifaru na kuziuza Far eastUnadhani wametuvumilia au hawana jinsi?, utaona hata hili bwawa hawatojenga wanajaribu kutingisha kibiriti tu. Vipi kuhusu Tanzania kuomba kuuza stock yake ya pembe za Ndovu zilizopo ghalani ili kupata pesa za kuendeleza hifadhi zake, Kenya walizunguka dunia nzima kupiga kampeni ili Tanzania isirihusiwe kuuza hizo pembe, mwishowe tulikwama, Tanzania ina tani elfu 3 ya meno ya tembo, tungepata zaidi ya $2B.