Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


MY TAKE: Hizi bullets trains zinakidhi mahitaji ya Tanzania kwasababu gharama zake ni wastani na zinaweza kusimama vituo vingi tofauti na KTX ambazo zinakimbia 350km/hr, hivyo kushindwa kusimama vituo vingi.

Hongera Tanzania. Hongera East Africa.
 
Back
Top Bottom