joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Hizi bullets trains zinakidhi mahitaji ya Tanzania kwasababu gharama zake ni wastani na zinaweza kusimama vituo vingi tofauti na KTX ambazo zinakimbia 350km/hr, hivyo kushindwa kusimama vituo vingi.
Hongera Tanzania. Hongera East Africa.