KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Habari ya jioni wana jamii
leo nikiwa nipo mtandao naendela kupambana na maisha
nimeshitushwa sana na Website kubwa kabisa hapa Africa inayohusiana na mambo ya masoko inayoitwa Africa Business Pages
Hii website kazi yake kubwa ina link masoko ya afrika tenda mbalimbali nk sasa nimeshangazwa nilipokuwa nafungua kuangalia katika Tanzania nikakuta imewekewa bendera ya South Africa kama inavyoonyesha pichani hapa chini mishale miwili imeelekea mahali penye tatizo
Nikajua labda nertwok lakini nimerefresh mara kibao iko vile vile
hii inaweza kuleta madhara namna gani kwa taifa?
Wahusika wa hii website habari ziwafikie mulipo tuna Bendera yeti ina Randi Nne
leo nikiwa nipo mtandao naendela kupambana na maisha
nimeshitushwa sana na Website kubwa kabisa hapa Africa inayohusiana na mambo ya masoko inayoitwa Africa Business Pages
Hii website kazi yake kubwa ina link masoko ya afrika tenda mbalimbali nk sasa nimeshangazwa nilipokuwa nafungua kuangalia katika Tanzania nikakuta imewekewa bendera ya South Africa kama inavyoonyesha pichani hapa chini mishale miwili imeelekea mahali penye tatizo
Nikajua labda nertwok lakini nimerefresh mara kibao iko vile vile
hii inaweza kuleta madhara namna gani kwa taifa?
Wahusika wa hii website habari ziwafikie mulipo tuna Bendera yeti ina Randi Nne