Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,784
- 12,227
Serikali ya Uganda imeilipa Serikali ya Tanzania $ 8m kwa kufanikisha kuuangusha utawala wa dikteta Nduli Idd Amini Dada wa Uganda na hivyo kumwezesha Rais Museveni kuingia madarakani. Mwaka 1979 majeshi shupavu ya Tanzania (JWTZ) yaliyapatia majeshi ya Uganda kipigo kitakatifu na kusababisha Nduli Idd Amini Dada kuikimbia nchi!
Source: Radio One - Kumepambazuka!
Je mapato kama haya yanabarikiwa na Bunge letu tukufu ili kuingizwa katika matumizi?
Source: Radio One - Kumepambazuka!
Je mapato kama haya yanabarikiwa na Bunge letu tukufu ili kuingizwa katika matumizi?