senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwenye sehemu michezo nikashangazwa sana na aibu ambayo Tanzania imetuletea kwenye mchezo wa Ngumi(boxing).
Tanzania kama nchi mwenyeji wa mashindano ya ridhaa ya Mabingwa wa mabingwa wakiwa na nchi wageni Kenya,Uganda na Shelisheli yaani timu ya Tanzania haikutokea kwenye mashindano ingawa asubuh walikwenda kwenye weighing na bout zikapangwa, ila mchana wakat wa mechi wakaingia mitini.Nimeshangazwa zaidi na Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa Joan Minja anasema hata yeye mwenyewe anashangaa kutokuwaona vijana wake!!Ni kweli timu ilikuwa kwenye maandalizi duni sana na malalamiko yalianza kujitokeza mapema vijana kuwa wanahama hata kwenye hotel zakuishi na kwenda kwenye za bei nafuu pia posho zao zilikuwa utata mtupu.Hata timu ya Uganda ilipofika jana walalamikia mapokezi na hta huduma za malazi.
Binafsi kama mpenzi wa michezo hili limeniudhi sana ni bora wangehairisha mapema kama walikuwa hawajapata wadhamini kuliko kuwasumbua watu wametoka mbali afu mnafanya mambo ya Kipopompoo!!
Uongozi mzima naona haufai kwa maendeleo ya Ngumi nchni.
Tanzania kama nchi mwenyeji wa mashindano ya ridhaa ya Mabingwa wa mabingwa wakiwa na nchi wageni Kenya,Uganda na Shelisheli yaani timu ya Tanzania haikutokea kwenye mashindano ingawa asubuh walikwenda kwenye weighing na bout zikapangwa, ila mchana wakat wa mechi wakaingia mitini.Nimeshangazwa zaidi na Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa Joan Minja anasema hata yeye mwenyewe anashangaa kutokuwaona vijana wake!!Ni kweli timu ilikuwa kwenye maandalizi duni sana na malalamiko yalianza kujitokeza mapema vijana kuwa wanahama hata kwenye hotel zakuishi na kwenda kwenye za bei nafuu pia posho zao zilikuwa utata mtupu.Hata timu ya Uganda ilipofika jana walalamikia mapokezi na hta huduma za malazi.
Binafsi kama mpenzi wa michezo hili limeniudhi sana ni bora wangehairisha mapema kama walikuwa hawajapata wadhamini kuliko kuwasumbua watu wametoka mbali afu mnafanya mambo ya Kipopompoo!!
Uongozi mzima naona haufai kwa maendeleo ya Ngumi nchni.