Dira ya dunia BBC ya tarehe 23/Jan/2008 imetangaza kuwa bahadhi ya maeneo ya mikoa ya kusini yana upungufu wa chakula hasa mahindi. Kama kawaida wananchi wanachemsha mizizi ya porini.
Akiojiwa waziri wa Kilimo, uhakika wa chakula na ushirika-- Mh. Stephen wassira amekanusha kuwepo na uhaba wa chakula source yake ikiwa ni mikoani. Lakini mwandishi Abdalla MAjura alizidi kumbana na baadaye kwa mbali ndo akakubali upungufu wa MAHINDI.
Ikumbukwe huyu waziri kubisha ni tabia yake kwani hata CCM walipozomewa kule MBEYA alikataa kabisa kuwa hawajazomewa hadi pale vyanzo mbalimbali vya habari vilipoamua kuweka mambo bayana.
Hivi ni kweli tatizo la njaa au ukosefu wa chakula limetushinda kulipatia ufumbuzi hadi tutegemee misaada?
Akiojiwa waziri wa Kilimo, uhakika wa chakula na ushirika-- Mh. Stephen wassira amekanusha kuwepo na uhaba wa chakula source yake ikiwa ni mikoani. Lakini mwandishi Abdalla MAjura alizidi kumbana na baadaye kwa mbali ndo akakubali upungufu wa MAHINDI.
Ikumbukwe huyu waziri kubisha ni tabia yake kwani hata CCM walipozomewa kule MBEYA alikataa kabisa kuwa hawajazomewa hadi pale vyanzo mbalimbali vya habari vilipoamua kuweka mambo bayana.
Hivi ni kweli tatizo la njaa au ukosefu wa chakula limetushinda kulipatia ufumbuzi hadi tutegemee misaada?