Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,455
Hii nchi kwa kukopa imebarikiwa, mbona maendeleo hatuoni?Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania jumla ya tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya sekta za Elimu, Barabara Mawasiliano na uchumi jumuishi.
Source: ITV habari