Edgartz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2010
- 241
- 22
Msako unaoendelea mchini malawi wamekamata washomalia wengi na kutaka kuwarudisha tanzania walipofika boda, tanzania imesema haiwatambui watu hao, baada ya tanzania kuwakataa malawi wamewachukua na kwenda nao kuwatupa songwe porini, wamedai wajue kwa kwenda huku malawi hatakiwi je waungwana huo ni ustaraabu?