Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,577
- 6,582
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.
Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.
========
Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri
> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi
Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha
>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri
Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%
> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka
Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha
> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri
Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.
Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini
> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Rais Magufuli: Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji
> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku
FUATILIA LIVE:
Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.
========
Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri
> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi
Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha
>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri
Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%
> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka
Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha
> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri
Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.
Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini
> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Rais Magufuli: Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji
> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku
FUATILIA LIVE: