Tanzania yaitaka Kenya kuwaachia raia wake haraka kabla ya hatua kali za kulipiza kisasi kuchukuliwa dhidi ya Kenya

Mkuu wa MKOA hongera sana kwa kulisema hilo Wazi kabisa, Wakenya wanaona wanajua sana na vitu vyao na watu wao ni bora kuli Watu wa Watanzania na vitu Vya Tanzania, dawa ya moto ni moto, ni kuwatafuta na kuwakamata wakenya wote ambao hawana vibali Vya kuingia na kukaa Tanzania, na kuwapeleka mahakamani haraka sana. na Tarifa kama hizi ziwe zinafika haraka kwa viongozi wa juu ili zifanyiwe kazi haraka.
 
Bro

Na state fact....sina haja ya kubana FACT sababu tu eti mie Mtanzania,noooo

Nasema kweli,tujisahihishe

Anacholalamika huyo mama hakuna hoja,analalamika Wakenya wapo serious na kusimamia sheria zao,wakati yeye upande wa Tanzania ni bora liende

Ulalamishi mtupu

Anataka Wakenya wasisimamie sheria zao sababu yeye hawezi simamia zake huku upande wa pili

Na yeye asimamie ashike wanaovuka kimakosa, simple!

Sio kulia lia!
Mama kachemka kweli, makosa ya mazoea? Wewe unaingia nchi ya watu bila sheria sababu tu ulikuwa unafanya bila kushikwa ndio kuhalalisha makosa. Kuna nchi ukikuwa huna barakoa fine dola 800 hapo Dubai tu sasa wewe utoke hapa uende nchi ya watu uvunje sheria.

Hapana sio sawa hapa sio sheria nzuri au mbaya muhimu sheria zao, sisi huku Tz barakoa sio issue kufanya makosa ya mazoea sio issue wenzetu barakoa alfu 30 kwa wote wakenya au wa Tz kuingia bila ruhusa alfu 20 sasa kosa liko wapi. mbona wengine wamelipa. Hii kama vitisho mkuu wa mkoa wa kuteuliwa ukampe amri mtu aliyeshaguliwa.
 
Mkuu

Hapa ndio unaona difference kati ya well runned stated and taifa linaloendeshwa kibwege bwege....

Such a big difference yaani
Sana tu unajuwa wakati mwingine ukiwa unataka kutoa statement kama hizi ukiwa unajuwa unaongea na mtu wa taifa lingine acha watu wapitie statement yako watu wenye uelewa wa masuala ya kidiplomasia sio unakurupuka tu. Maana hata kama yule angeweza kufanya kitu lakini hawezi kufanya sababu italeta sura kama kaogopa kitisho. Inasikitisha ila ndio viongozi wetu wamezoea kutoa amri kutia ndani watu huko kwa wenzetu hakuna hayo.
 
Kama hamuvai barakoa Tanzania mnadhani mtaleta hio tabia hapa Kenya? Huku Kenya lazima uvae barakoa. Simple tu.
Mbona mlituweka katika orodha ya nchi hatari, lakini tulipolipiza kwa kuzuia ndege zenu mkaufyata mkia?, hamna uwezo wa kufanya lolote kwa Tanzania, hayo aliyosema huyo mama ni amri kwa Kenya, lazima wataachiwa bila masharti yoyote na haizidi kesho
 
Mkuu

Hapa ndio unaona difference kati ya well runned stated and taifa linaloendeshwa kibwege bwege....

Such a big difference yaani
Well runned State?
1)Rushwa iliyokithiri
2)Wizi wa PESA za serikali uliokithiri
3)Nepotism, 80% ya ajira serikalini ni makabila mawili
4) Police killings
5)Insecurity
6)Land injustice
Hivi unajua unayizunfumza?, hawa wakenya si hadi leo wanalalamikia kitendo cha Tanzania kuchoma vifaranga na kutaifisha Ng'ombe za wamasai wa Kenya waliovuka mpaka bila vibali, wao wanasema wamasai wa Kenya na Tanzania hawana mipaka huwa wanaingiliana miaka yote, vipi mtanzania akitumia neno hilo hilo la mazoea unasema Kenya ni "well runned state?"
 
Back
Top Bottom