Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,148
- 25,814
Anamzidi kwa mbali sana yule jamaaUnadhani au ndio ukweli wenyewe, huyu Bi Mkubwa apewe sifa zake anapostahili. Juzi hapa meli imekuja na magari 3000 wenye wivu na Mama wanajifanya kazi ya JPM wakati alifeli kila angle. Huyu Mama kwenye siasa za Uchumi anamzidi mbali JPM ambae mtaji wake mkubwa ni kutumia mabavu.