Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Walipoambiwa na hayati Magufuli kuwa Corona ni vita ya kiuchumi hivyo wasiichukulie kwa papara kwa kutangaza lockdown hovyo hovyo hawakuelewa, sasa ndiyo wanaanza kuelewa sasa.
Kila kitu Kenya kimedorora kuanzia bandarini hadi biashara za kawaida lakini kwa Tanzania mambo ndiyo yameshika kasi uchumi unapaa.
Kila kitu Kenya kimedorora kuanzia bandarini hadi biashara za kawaida lakini kwa Tanzania mambo ndiyo yameshika kasi uchumi unapaa.