Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,776
- 78,447
Kinachowaumiza roho upanuzi wa bandari yao uli-cost zaidi ya $2 bln wetu hardly $400 mln yet capacity haipishani hivyo! 😅Wewe ndio pumbavu kuliko wote hapa JF, Mimi nimekuletea mzigo uliopita bandari ya Mombasa 2017 alikua tani Milioni 22, kwa ukuaji wa 10% per year ungetumia akili ungeoata mwaka 2019 ni 25M tonnes.
Wewe unawasikiliza hao wajinga wakenya wanaosema wanategemea kupokea tani 31M. Wewe ndio zuzu kweli, hivi unawaamini wakenya waliotegemea kufikisha reli Malaba, kuweka umeme katika SGR yao, kujenga Greenfield terminal, kujenga 5 big stadia, na vyote vimeshindikina. Sasa wewe badala ya kuweka mizigo iliyopita bandari ya Mombasa mwaka 2018, wewe unaweka expectations za wajinga hao. Kwa taarifa yako, mzigo uliongezeka kwa 6.6% toka ule wa mwaka 2017.