Tanzania yaijengea reli Uganda, South Sudan yavutiwa, yaomba kuitumia bandari ya Dar kupitia Uganda.

Mombasa handles twice Dar ..... simply because Kenyan economy is almost twice TZ. That’s the simple truth..... hizo story zingine za Uganda ni story tu!!! At the end of the day the numbers don’t lie!!!
Hahahahaha, mbona mnashindwa kumalizia SGR kama kweli uchumi wenu ni mkubwa. Uchumi mkubwa lakini mchina umeona upo katika makaratasi hautoweza kulipa deni lake. Fake Economy, fake currency, fake GDP and fake leadership.
 
Hahahahaha, mbona mnashindwa kumalizia SGR kama kweli uchumi wenu ni mkubwa. Uchumi mkubwa lakini mchina umeona upo katika makaratasi hautoweza kulipa deni lake. Fake Economy, fake currency, fake GDP and fake leadership.
Robot ya sisiem imeamka kueneza propaganda tena please nionyeshe ni wapi Kenya imeshindwa kulipa mkopo ata moja
 
Robot ya sisiem imeamka kueneza propaganda tena please nionyeshe ni wapi Kenya imeshindwa kulipa mkopo ata moja
China imekataa kuwapa pesa za kumalizia ujenzi wa SGR hadi Kisumu baada ya kugundua kwamba huo mradi hauwezi kutengeneza faida na kurudisha pesa yao, sasa kama Kenya ina uchumi mkubwa, kwanini wachina wakatae kwa kuhofia kutokulipwa pesa yao?, kama uchumi ni mkubwa, kwanini Kenya msimalizie ninyi wenyewe kumalizia hicho kipande kidogo toka Naivasha hadi Kisumu?, mbona Tanzania tunajenga kwa pesa yetu na tunawasaidia Uganda kwa pesa yetu?
 
Hahahahaha, mbona mnashindwa kumalizia SGR kama kweli uchumi wenu ni mkubwa. Uchumi mkubwa lakini mchina umeona upo katika makaratasi hautoweza kulipa deni lake. Fake Economy, fake currency, fake GDP and fake leadership.
Kilomita 200 mbili zimewashinda za SGR, Kibaka highway pia imekwama, Bagamoyo imewashinda na pia ATCL imewashinda... Failed state imewashinda nyie Dead State 😁
 
China imekataa kuwapa pesa za kumalizia ujenzi wa SGR hadi Kisumu baada ya kugundua kwamba huo mradi hauwezi kutengeneza faida na kurudisha pesa yao, sasa kama Kenya ina uchumi mkubwa, kwanini wachina wakatae kwa kuhofia kutokulipwa pesa yao?, kama uchumi ni mkubwa, kwanini Kenya msimalizie ninyi wenyewe kumalizia hicho kipande kidogo toka Naivasha hadi Kisumu?, mbona Tanzania tunajenga kwa pesa yetu na tunawasaidia Uganda kwa pesa yetu?
Huyo mjinga hayuko tayari kuelimika,anaweza akakubishia kwamba yeye si mwanaume.
 
Tutofautishe mikataba inayofanywa kisiasa kuputia wakubwa au mawaziri na mabalozi wanayoifanya kama show na kile wanachofanya wafanyabiashara baada ya mikataba hiyo kufanyika.

Mfanyabiashara anaangalia faida sio kiki za wanasiasa.
Kenya ni nchi yenye viongozi wenye moyo na roho ya kibiashara na uchumi sio watanzania wanaofanya siasa kwenye kila kitu na hofu ya kusema kila kitu tunaibiwa utadhani wao ndio waliumba hizo rasilimali ambazo dunia itachakaa na kuangamia kabla ya kuzimaliza huku wananchi wakifa maskini na rasilimali lukuki zikibaki kama vumbi pale dunia itakapoangamizwa na mapigo ya makombora ya Nyukilia na mionzi mikali ya jua na mafuriko ,vimbunga na kadhalika kutokana na mazingira kuharibika kutokana na vita zinazozidi kuinyemelea dunia.

MKenya anaweza akaweka bandari Huru na watu wakapitishia mizigo yao yote pale.
Biashara na uchumi na mipango ni akili na maarifa sio mbwembwe za hiyena hiyena ,mbele kwa mbele ,wataisoma namba na blabah za kina Msiba mkuwa.

Majirani zetu Wengi wanaiweka Tanzania kama chaguo la akiba mana Kenya kuna Tatizo la Ugaidi ,hivyo kikinuka wanaleta mizigo yao kupitia Tanzania lakini sio kwamba wanapenda kupitishia Tanzania.
Hakuna mfanyabiashara anayependa hasara hata Siku moja.

Ni kama Bomba la mafuta. Kenya wana ardhi ndogo yenye rutuba; walipiga hesabu kutoa eneo la Ardhi yao Kutoka Mpakani na Uganda mpaka Mombasa wakagundua kuwa inaukubwa wa Wilaya nzima. Wakaamua kuupotezea mbali huo ukabaila na unyonyaji mkubwa na wizi wa ardhi ya wananchi ambayo haina muda maalumu wa kutumia.
Tanzania tukashangilia kuwa sisi tumelamba dume na kukimbila haraka haraka kumpa Mganda ardhi kubwa ambayo mpaka sasa hatujui inaukubwa kupitisha baomba la mafuta yake na kwenda kuuza huko nje na kupata pesa za waganda huku vizazi vyetu baadae vikija kukosa ardhi. Mana linapopita bomba la mafuta na gesi haiwezekana tena kufanya shughuli za kilimo na uchimbaji wa madini na kupanda misitu wala miti ya matunda.


Kenya wanalenga uchumi wao zaidi ndio maana mpaka leo ndilo taifa lenye uchumi imara Afrika Mashariki pamoja na vita kubwa ya Ugaidi inayowazunguka.
Ni nchi yenye demokrasia angalau kidogo tofauti na Manchu hayo mengine ikiwemo Rwanda na Uganda ambazo ni siasa za bunduki mkononi ndio zinaziweka serikali madarakani.

Bado Kenya ni mfano mzuri wa kisiasa na kiuchumi kwa Afrika Mashariki.
Kikwete na Mkapa waliogopwa na hao jamaa mana wawekezaji walizikimbia hizo nchi na kukimbilia Tanzania hasa baada ya kuwa na Gesi nyingi na kile walichokiita kuvutia wawekezaji ;Tatizo ni Rushwa kubwa ndani ya serikali ya CCM toka kwa wawekezaji iliyokuwa inatumika kupata hela za kuhonga wapiga kura na kuwatisha wawekezaji na wafanyabiashara na wakubwa wengine ndani ya vyombo vya dola, kuwa wakizubaa bila kutoa pesa za kuisaidia CCM , basi Chama kingine kikiingia madarakani watafilisiwa na kufukuzwa nchini na wengine kuvuliwa vyeo vyao.
Analysis nzuri sana.
Kibaya wanasema Nchi hii tumeibiwa sana! Tumeibiwa na nani? Wezi wametoka nje au ndani? Nani wahusika wa ndani? Ni nani alikuwa madarakani? Ni chama gani kilikuwa kinaongoza? Wewe unayedai hivyo umechukua hatua gani kwa chama na viongozi walio husika kuiba?
Kama hukuchukua na wala huna mpango wa kuchukua hatua, si bora ukae kimya? Kama kila mtu analalamika nani atachukua hatua?
Iwapo adui humuwezi ungana naye! Mbwembwe za kulalamika bila kuchukua hatua dhidi ya wezi na mfumo, hazisaidii Nchi. Ni kujikweza na kutaka huruma kwa wananchi wenye uelewa mdogo kuelewa, kufuatilia na kuchambua mambo!
 
China imekataa kuwapa pesa za kumalizia ujenzi wa SGR hadi Kisumu baada ya kugundua kwamba huo mradi hauwezi kutengeneza faida na kurudisha pesa yao, sasa kama Kenya ina uchumi mkubwa, kwanini wachina wakatae kwa kuhofia kutokulipwa pesa yao?, kama uchumi ni mkubwa, kwanini Kenya msimalizie ninyi wenyewe kumalizia hicho kipande kidogo toka Naivasha hadi Kisumu?, mbona Tanzania tunajenga kwa pesa yetu na tunawasaidia Uganda kwa pesa yetu?
Kenya uchumi wake ni mdooooogo Sana ukilinganisha na mataifa mengi ya dunia ila ni karibia mara mbili ya uchumi wa Tanzania,kwa Hilo gazette umeweka hapo limesema uchina waliangalia viability ya project... mbona hio trip ya uhuru China walitoa mkopo wa karibia $1bn. Kufadhili konz,jkia James gichuru highway na mirandi mingine?kama wangejua hatutaweza kulipa hawangetupatia loan..........alafu please nionyeshe kwenye Kenya ime default kulipa loan nihame jamii forums
 
That is $1.2 bln aside SGR investment at the port! Still 3 times what TPA sank at Dar port!
Wewe wacha upumba article yako ishaa kupatia brake down but uzembe wa kusoma ndio umejaza kwa kichwa kwa iyo $1.2bn kuna miradi minne tofauti hapo
1.shimoni fish port kea boarder ya Kenya na Tanzania ($200mln)ambayo ni PPP hapo hakuna pesa ya serikali inakua involved
2.second container terminal ($300) ambayo itakuwa na capacity ya 550,000 dead weight tonnes
3.dongo kundu free trade port($300mln)

Conclusions port ya Mombasa uskue unalinganisha na iyo Banda lenyu la port....Mombasa ilinganisha na Durban na Tangier
 
mkorinto Kuelimika ni kukalili nyimbo za kusifia jiwe jiwe na sisiem kea ujumla?wacha niendelee kua mjinga lakini propaganda za ccm hamtazieneza dhidi ya Kenya tukiwa hapa
 
Wewe wacha upumba article yako ishaa kupatia brake down but uzembe wa kusoma ndio umejaza kwa kichwa kwa iyo $1.2bn kuna miradi minne tofauti hapo
1.shimoni fish port kea boarder ya Kenya na Tanzania ($200mln)ambayo ni PPP hapo hakuna pesa ya serikali inakua involved
2.second container terminal ($300) ambayo itakuwa na capacity ya 550,000 dead weight tonnes
3.dongo kundu free trade port($300mln)

Conclusions port ya Mombasa uskue unalinganisha na iyo Banda lenyu la port....Mombasa ilinganisha na Durban na Tangier
Dah still bado mna dream kwa uchumi wa makaratasi ?!
Poleni wachen watz wasonge mbele
 
Dah still bado mna dream kwa uchumi wa makaratasi ?!
Poleni wachen watz wasonge mbele
Tz no nchi ndogo Sana na hauwezi kamwe kuilinganisha na nchi kama Kenya Sisi hatuko league yenyu.....nendeni mkabishana na kina Burundi na msubijileague yetu ni kina Morocco
 
Give us the data which shows that, in 2017 Mombasa cargo was 22M tonnes while Dar was 16M tonnes, and this before UN shifted to Tanzania, this gap is closing very fast. Remember, Malawi, Zambia, Rwanda and Burundi almost all their cargo go through Dar port, 20% of Uganda cargo go through Dar port, currently we are positioning ourselves to get part of Uganda cargo which contributes nearly 28% of all cargo of Mombasa port. Is not easy for Mombasa port to compete with Dar especially after Uganda and South Sudan has indicated to use Dar port instead of Mombasa
mombasa hundled 30million 2017
 
Tz no nchi ndogo Sana na hauwezi kamwe kuilinganisha na nchi kama Kenya Sisi hatuko league yenyu.....nendeni mkabishana na kina Burundi na msubijileague yetu ni kina Morocco
Yaani wewe ni kama mwanamama mtangazaji wa tv ya taifa ya north korea.

Ana mbwembwe huyo,while uhalisia 0%
 
Back
Top Bottom