Tanzania yagoma kufuta visa kwa Wa-South Africa kuja Tanzania

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Juzi hapa kulikuwa na habari katika IPP Media kwamba mwaka 2010 waliandika kuwakandia Wa-Afika Kusini kutuwekea masharti magumu ya visa kwenda bondeni wakati tuliwasaidia sana katika suala la kupigania uhuru wa nchi yao. Baada ya taarifa hiyo ya gazetini, Afrika Kusini walitoa suala la visa, na sasa Watanzania wanaruhusiwa kwenda bondeni bila visa.

Sasa kimbembe ni kwamba, Tanzania imegoma kuwaondolea visa Waafrika kusini kuja Tanzania, kwa kisingizio kwamba wao wanafaidika kuja Tanzania kuliko sisi Watanzania kwenda bondeni. Ukweli ni kwamba serikali ya Tanzania wanajua ubalozi wa Tanzania pale Pretoria bila hela ya visa za Waafrika kusini utakuwa kama mtoto yatima omba omba.

Msishangae Afrika Kusini wakirudisha visa tena kwenda bondeni, kwa msimamo huu wa Tanzania kwa kile kinaitwa "reciprocal arrangement".
 
sawa sawa kabisa na serikali haijakosea kabisa na kama vipi pesa ya viza iongezwe. Hawa wa south ni wajinga sana tuliwasaidia sana ila wamesahau fadhila zote wanatuchukia sana sisi wabongo wanaweza kukuua bila hata sababu ya msingi
 
sawa sawa kabisa na serikali haijakosea kabisa na kama vipi pesa ya viza iongezwe. Hawa wa south ni wajinga sana tuliwasaidia sana ila wamesahau fadhila zote wanatuchukia sana sisi wabongo wanaweza kukuua bila hata sababu ya msingi

Black Bat, nadhani nayaelewa matatizo ya hawa jamaa dhidi ya watu wa nje. Hadi sasa hata sielewi kwa nini sisi tunajipendekeza hata kuita barabara, viwanja vyetu kwa jina la Mandela wakati wao hadi leo hakuna hata mtaa unaitwa Nyerere street kumuenzi Nyerere ambaye aliwapigania sana! Kwani Mandela alitusaidia sisi au sisi tulimsaidia yeye? Angalia barabara kubwa Maputo Mozambique inayopita mbele ya Ikulu inaitwa Nyerere Avenue!

Ningekuwa JK ningetoa amri barabara ya Mandela ibadilishwe tena jina kuwa Port Access Road kama zamani, na majina ya viwanja pia, hadi siku nimesikia barabara ya toka Johannesburg kwenda Pretoria inaitwa Nyerere Highway!
 
Black Bat, nadhani nayaelewa matatizo ya hawa jamaa dhidi ya watu wa nje. Hadi sasa hata sielewi kwa nini sisi tunajipendekeza hata kuita barabara, viwanja vyetu kwa jina la Mandela wakati wao hadi leo hakuna hata mtaa unaitwa Nyerere street kumuenzi Nyerere ambaye aliwapigania sana! Kwani Mandela alitusaidia sisi au sisi tulimsaidia yeye? Angalia barabara kubwa Maputo Mozambique inayopita mbele ya Ikulu inaitwa Nyerere Avenue!

Ningekuwa JK ningetoa amri barabara ya Mandela ibadilishwe tena jina kuwa Port Access Road kama zamani, na majina ya viwanja pia, hadi siku nimesikia barabara ya toka Johannesburg kwenda Pretoria inaitwa Nyerere Highway!

just a little research, would have costed you nothing .... kubwabwaja ni kubaya sana!

Julius Nyere Avenue Formerly Warwick Avenue:

1. Warwick Avenue is now Julius Nyerere Avenue
2.
Also named after one street in Durban, SA
(Julius Nyerere Street, Durban , South Africa)

Source: Julius Nyerere
 
Ndo matatizo ya Tanzania, sasa kama wenzetu wanaturuhusu kuingia bila Visa kwanini na sisi tusiwaruhusu? Win-win, sio kubaniana.
 
Ndo matatizo ya Tanzania, sasa kama wenzetu wanaturuhusu kuingia bila Visa kwanini na sisi tusiwaruhusu? Win-win, sio kubaniana.

Kama unadhani watakaokuja ni wale weusi upo sawa, ila kwa ufahamu wangu, wale weupe wenye ubaguzi ndio watajaa hapa bongo na unajua wengi wao walivyorithi dhambi ya kaburu Botha!
 
Kama unadhani watakaokuja ni wale weusi upo sawa, ila kwa ufahamu wangu, wale weupe wenye ubaguzi ndio watajaa hapa bongo na unajua wengi wao walivyorithi dhambi ya kaburu Botha!

Visa hizi ni za kutembelea tu, kwa mfano ya Mtanzania kwenda South ni 90 days, so usiwe na hofu ya watu kujaa.
 
Visa hizi ni za kutembelea tu, kwa mfano ya Mtanzania kwenda South ni 90 days, so usiwe na hofu ya watu kujaa.

Owkaay! Kama ni hiyo then itakuwa poa sana kwani tunaweza kuongeza pato kutokana na biashara ya utalii.
 
Code:
[IMG]https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/quote_icon.png[/IMG] By [B]Synthesizer[/B] [URL="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/279895-tanzania-yagoma-kufuta-visa-kwa-wa-south-africa-kuja-tanzania.html#post4069450"][IMG]https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/buttons/viewpost-right.png[/IMG][/URL] 
  [B]Black Bat[/B],  nadhani nayaelewa matatizo ya hawa jamaa dhidi ya watu wa nje. Hadi  sasa hata sielewi kwa nini sisi tunajipendekeza hata kuita barabara,  viwanja vyetu kwa jina la Mandela wakati wao hadi leo hakuna hata mtaa  unaitwa Nyerere street kumuenzi Nyerere ambaye aliwapigania sana! Kwani  Mandela alitusaidia sisi au sisi tulimsaidia yeye? Angalia barabara  kubwa Maputo Mozambique inayopita mbele ya Ikulu inaitwa Nyerere Avenue!  
 
Ningekuwa JK ningetoa amri barabara ya Mandela ibadilishwe tena jina  kuwa Port Access Road kama zamani, na majina ya viwanja pia, hadi siku  nimesikia barabara ya toka Johannesburg kwenda Pretoria inaitwa Nyerere  Highway!



just a little research, would have costed you nothing .... kubwabwaja ni kubaya sana!

Julius Nyere Avenue Formerly Warwick Avenue:

1. Warwick Avenue is now Julius Nyerere Avenue
2.
Also named after one street in Durban, SA
(Julius Nyerere Street, Durban , South Africa)

Source: Julius Nyerere


road.JPG
 
Kama ni visa ya kuja kutembea tu siku mbili tatu sawa tuwaruhusu,ila kama ni kuishi ''BIG NO''
 
just a little research, would have costed you nothing .... kubwabwaja ni kubaya sana!

Julius Nyere Avenue Formerly Warwick Avenue:

1. Warwick Avenue is now Julius Nyerere Avenue
2.
Also named after one street in Durban, SA
(Julius Nyerere Street, Durban , South Africa)

Source: Julius Nyerere

Nimekuelewa Mkuu, ahsante kwa kunifahamisha. But why Durban, and not Johanesburg or Pretoria? After all, Pretoria is the centre of the South African government. Nyerere Street or Avenue in Durban is still marginalization of this icon - ndio maana sikujua kuna avenue inaitwa Nyerere South Africa!
 
Nchi zote za kusini tulizo sacrifice resources zetu kuwasaidia kupata uhuru wanatucheka na kutudharau sana!! Kwanza South ukifungua mipaka tu wale ni mwisho kwa crimes!!! Tupilia mbali, warudishe tu visa zao hatuna shida!!
 
just a little research, would have costed you nothing .... kubwabwaja ni kubaya sana!

Julius Nyere Avenue Formerly Warwick Avenue:

1. Warwick Avenue is now Julius Nyerere Avenue
2.
Also named after one street in Durban, SA
(Julius Nyerere Street, Durban , South Africa)

Source: Julius Nyerere
It's amazing how a little research can do.
 
sawa sawa kabisa na serikali haijakosea kabisa na kama vipi pesa ya viza iongezwe. Hawa wa south ni wajinga sana tuliwasaidia sana ila wamesahau fadhila zote wanatuchukia sana sisi wabongo wanaweza kukuua bila hata sababu ya msingi

Black Bat acha hasira! Kwani ulilazimishwa uwasaidie? Je kwani ukisaidia ni lazima upate malipo in kind? Tenda wema uende zako.
 
just a little research, would have costed you nothing .... kubwabwaja ni kubaya sana!Julius Nyere Avenue Formerly Warwick Avenue:1. Warwick Avenue is now Julius Nyerere Avenue 2. Also named after one street in Durban, SA (Julius Nyerere Street, Durban , South Africa)Source: Julius Nyerere
mkuu nashukuru umenisaidia, maana nilishaanza kubadilika rangi kwa povu alilokuwa anatoa jamaa, nikawa nahaha kusaka picha ya huo mtaa, maana nimebahatika kuwepo. Inatosha kwa sasa, nikihamia kwenye pc nitakugongea like, maana kimobitel changu kinazingua.
 
wanatakiwa waje bila visa, ni bora mara mia wasouz waje bila viza kuliko mkenya na mnyarwanda. nafikiri kama counter-attack ya hawa coallition of the willing, tunatakiwa tuwape wasouz parmanent waiver ya visa kabisa waje kama vile wewe unavyoenda tanga na arusha na ikiwezekana tuungane kabisa tuwe na umoja wetu zaidi, kwa namna hiyo tutaweza kuwadhibiti vizuri hawa coalition of the willing/coalition of ICC suspects.
 
Back
Top Bottom