Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

Endelea kutoa, hilo unalo tamania halitatimia katu
Yatakua ni maamuzi ya kipumbavu hayajawahi kutokea katika taifa hili kama ni "KWELI" wanataka kukifuta hicho kifungu cha sheria kinahoruhusu mtu binafsi/NGO kufungua malalamiko katika mahakama ya haki za binaadamu. Hicho kifungu ndio kinachochochea nchi yetu kupata misaada mingi sana (Ya Fedha na Uhusiano mzuri kwa mataifa mengine).

Safari hii "MTUNGO (THREE SOME)" tutakayopewa na "MABEBERU" itakua sio ya kitoto, mkongo dasti lazima itumike. Dunia nzima lazima watupige kolabo.
 
Legacy yote aliyoiweka baba wa taifa hili mwal. Nyerer imepoteza na jiwe kwa kipindi cha miaka 4 tu ya UTAWALA WAKE, )maana huyu jamaa sio kiongozi).. R,I,P mwalimu Nyerer. Ila wajue tu hata ALLY Bashiri aliisumbua sana mahakama ya ICC lakini leo yuko jela ya nchi yake mwenyewe, hakuna ubaya usio lipwa kwa ubaya.
 
Tanzania imeondoa Art 34(6) kwenye sheria zake inayoruhusu mwananchi mmoja mmoja na NGO's kuishitaki kwenye mahakama ya Afrika.

Je huu ni uoga au imeona inafanya makosa mengi.

View attachment 1277012

Kama ni kweli, basi tutegemee magumu zaidi maana hiyo ni dalili ya udikteta, ili wasimulize akivunja sheria na makubaliano walio jiwekea.
Tutegemee kusikia wamejitoa pia kwenye mikataba iliyosainiwa kuhusu haki za binadamu.

Pia tutegemee vikwazo toka nchi wahisani.

NB:
Vyama pinzani walipojitoa kwenye uchaguzi, viongozi wa ccm walitoa matamko mengi sana kulaani. Je hao viongozi wanasubiri nini wasitoe tamko kuhusu hilo?
 
Hii sio dalili nzuri kwa yajayo. Hili jambo linapaswa litufikirishe sana sisi wananchi wa kawaida juu ya haki zetu za kibinadamu. Najiuliza kuna mabaya yanapangwa kufanywa dhidi yetu?

Hivi kama mtu unawatendea watu yaliyo ya haki kwanini uigope mahakama?
Nini kitafuatia, tutajitoa pia kutoka Rome Statute (ICC) ?

Tulianza kwa kujitoa kutoka Open Government Partnership Initiative. Watu walifurahia humu bila hata kutafakari! Kwa sasa yanayoendelea kwenye huu usiri hatuyajui.

Kuendelea kutoka kwenye mikataba inayolinda haki za binadamu, rule of law and accountability sio jambo jema . Tunakaribisha injustices,gangsterism, primitivity and barbarism.
Haya mambo yanafanyika ni hatari sana kwetu sote. Tuache kufurahia hii safari ya kuelekea shimoni.
 
Safari hii "MTUNGO (THREE SOME)" tutakayopewa na "MABEBERU" itakua sio ya kitoto
😂😂😂😂😂😂😂
 
.Tanzania yajitoa katika mpango wa Visa ya pamoja Afrika Mashariki
.Tanzania yajitoa polepole Afrika Mashariki!
. Tanzania yajitoa rasmi katika mpango wa uendesheji nchi kwa uwazi.
Pia kujitowa ICC na hatimae itajitowa UN



Itaendelea kujitowa hata kwenye Muungano ili itimize malengo yake ya Kuendesha bila kufuata sheria wala katiba na bila ya kubughudhiwa na wadau wa maendeleo.
Huku raia wakididimia kwenye umasikini wa kutupwa.
 
Aisee! Kumbe watu waoga mahakamani hivi!? Najua wanamuogopa lisu kwakua anaweza kuwafungulia mashtaka kwenye mahakama hio, hiki ni kitendo cha kulaaniwa!
 
Aisee... Kumbe watu waoga mahakamani hivi!? Najua wanamuogopa lisu kwakua anaweza kuwafungulia mashtaka kwenye mahakama hio, hiki ni kitendo cha kulaaniwa!
 
Naona kete zote za kumuwekea usiku mtu fulani kutawala maisha anazitafuna tu!

Wabongo jiandaeni kisaikolojia, institutions zote ambazo zingetumika kumuweka jamaa incheck anazivunja vunja mapemaa kabla ya muda na wakati wa yeye kuweka proposal ya kuondoa term limits
 
Safi sana na bado tutajiondoa mpaka Mahakama za ndani. Uliona wapi mkuu wa nchi yeye, balozi yeye, mwenyekiti wa mtaa yeye, mwenyekiti was kijiji yeye, mtendaji wa kijiji yeye, mgambo yeye, copro, IGP ni yeyey!!!!! Mtoa mikopo yeye, shehe yeye, mchungaji yeye!!! Mahakama yeye, baraza la ardhi yeye, mhubiri yeye!!!
Yako mengi sana nitaendelea kesho...
 
Back
Top Bottom