digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,890
- 14,339
Endelea kutoa, hilo unalo tamania halitatimia katu
Yatakua ni maamuzi ya kipumbavu hayajawahi kutokea katika taifa hili kama ni "KWELI" wanataka kukifuta hicho kifungu cha sheria kinahoruhusu mtu binafsi/NGO kufungua malalamiko katika mahakama ya haki za binaadamu. Hicho kifungu ndio kinachochochea nchi yetu kupata misaada mingi sana (Ya Fedha na Uhusiano mzuri kwa mataifa mengine).
Safari hii "MTUNGO (THREE SOME)" tutakayopewa na "MABEBERU" itakua sio ya kitoto, mkongo dasti lazima itumike. Dunia nzima lazima watupige kolabo.