Nawaona akina MANIExcelMtambuziMr Rocky Mentor ndio wanaongoza harakati hapo huku Kapteni Mkuu akiwa Sinziga haya kila la heri jamani kwa mbaali namuona na utafiti nae yupo eti
Wengine tuna wajukuu wanaosoma Malaysia ambao wana marafiki, wazee wa marafiki, ndugu za marafiki, majirani zao, yaliowakuta haya majanga, tuungane nao kuwafariji na kuwaliwaza na si kuwafanyia mzaha.
Du kobun, are you serious!!! Tanzania!!! Meli tu inazama hapoa jirani hatuwezi!!! Mtumbwi tu ukipata ajali ni mpaka wafe wote!!! Ajali ikitokea kama kuna vifo mpaka askari wafike kuchukua mwili ni masaa!!! Eti kutafuta ndege!!! thubutu!!!
suala ni kutafuta ndege iliyopotea kwani lazima iwe imetumbukia baharini?, lazima iwe imezama? si hata fukweni inaweza kupatikana na majahazi na mitumbwi ikatumika???? nimefikiria nje ya box
mbona wadau wamekaa kimya?? maana ile ndege ilivyo tua arusha pakawa na special thread na watu wakasemaaa weeee hadikufikia kufungua na kwenda ifunga ndege KIA....
sasa mbona hii kimya hakuna wajuzi?? au imepotea katika pembe tatu za bermuda??[h=1]Bermuda Triangle[/h]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.