Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,493
- 2,247
Katika ripoti ya Doing Business inayotolewa kila mwaka na World Bank. (http://www.doingbusiness.org)
Tanzania imeanguka kutoka namba 125 hadi 127 kati ya nchi 183 zilizopimwa.
Kenya imeanguka nafasi 3 kutoka 106 hadi 109.
Uganda umeanguka nafasi 4 kutoka 119 hadi 123.
Rwanda imepanda nafasi 5 kutoka 50 hadi 45, hasa kutokana na urahisi wa kupata mikopo.
http://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/tanzania
Tanzania imeanguka kutoka namba 125 hadi 127 kati ya nchi 183 zilizopimwa.
Kenya imeanguka nafasi 3 kutoka 106 hadi 109.
Uganda umeanguka nafasi 4 kutoka 119 hadi 123.
Rwanda imepanda nafasi 5 kutoka 50 hadi 45, hasa kutokana na urahisi wa kupata mikopo.
http://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/tanzania