Kikwete alikua anajaribu sana, kwa hii bandari angetupiga bao la uhakika, awamu ya leo wanatapatapa sana hata sijui vipau mbele vyao nini haswa.
Sisi tukomae na Lamu.
Serikali ya awamu hii, kwangu mimi naona wamejitahidi na wanaendelea kuwa makini kuliko maamuzi mapya yanayofanywa na hata na serikali yenu. GoT this time wapo makini na hata mambo mengi yapo wazi kiasi hata mtu asiye na ujuzi wa kutafuta info..... zinatufikia bila jasho lolote...ukweli na uwazi.
Kuna wanasiasa njaa wanapiga kelele kutupoteza madish wananchi....malipo ni hapahapa duniani na siasa za misifa na kudanganya zishapitwa na wakati. Tunaangalia performance na sio bla bla mtu anaenda na V8 kuzindua choo cha laki 1.
Hebu check video hii Mkurugenzi wa TPA kaelezea vizuri sana issue hii, ndo ujue kuwa GoT wapo makini kuliko governments zote za ukanda huu EA.