Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Kwa mtazamo wangu tena finyu hiki ndio kipindi ambacho uongozi wa nchi umefeli kabisa.
The president kama kichwa cha nchi can't hold things together! Nabaki najiuliza "what is the president for?"
nchi inaparaganyika into pieces, viongozi wamekuwa ndio wapotoshaji wasiolete umoja na amani na kuelewana baina ya watanzania,...
Viongozi wanafitini, wanapandikiza mipasuko na chuki ndani ya jamii, vongozi ndio wanaovuruga nchi igawanyike vipande vipande kiislamu na kikristu,kitajiri na kimaskini,kielimu na kiumbumbumbu,kitumwa na kibwana,kijamii,kikabila,kisiasa,kimaslahi, kimtazamo na mengine mengi ya kusikitisha.
Kazi ya viongozi ni kufanya watu wa tofauti hizi waweze kukaa pamoja kwa amani na kuheshimiana (kama baba wa taifa alivyoweza kufanya the miracles of times)
kila kona mambo ya kusikitisha yanaendelea, raia wanauawa na askari (zao lake ni chuki), wanafunzi wanagoma huku na kule hadi mkuu wa wilaya anaweka chini ya ulizi wa wanafunzi gari inatolewa upepo! (kweli Tanzania hii hii ninayoijua mimi??) Huku nako raia wanataka makabidhiwe askari aliyeua wadeal nae wenyewe (kwa haraka haraka nafikiri hawana imani na mfumo wa utoaji haki na inasikitisha)
Hawa wanataka nchi iongozwe kidini wale wanakwiba nchi! Tunalipishwa madeni kama ya dowans wananchi hatuelewi nini kinaendelea! Na kadhalika na kadhalika.
Kinachoendelea ni fitna tupu, kinyume kabisa na maana na kazi ya kiongozi ya uongozi!.
Nchi inakosa mwelekeo kabisa, shetani anafanye kazi yake kweli.
Tanzania ya sasa ni kama ngombe aliyekatwa kichwa!
The president kama kichwa cha nchi can't hold things together! Nabaki najiuliza "what is the president for?"
nchi inaparaganyika into pieces, viongozi wamekuwa ndio wapotoshaji wasiolete umoja na amani na kuelewana baina ya watanzania,...
Viongozi wanafitini, wanapandikiza mipasuko na chuki ndani ya jamii, vongozi ndio wanaovuruga nchi igawanyike vipande vipande kiislamu na kikristu,kitajiri na kimaskini,kielimu na kiumbumbumbu,kitumwa na kibwana,kijamii,kikabila,kisiasa,kimaslahi, kimtazamo na mengine mengi ya kusikitisha.
Kazi ya viongozi ni kufanya watu wa tofauti hizi waweze kukaa pamoja kwa amani na kuheshimiana (kama baba wa taifa alivyoweza kufanya the miracles of times)
kila kona mambo ya kusikitisha yanaendelea, raia wanauawa na askari (zao lake ni chuki), wanafunzi wanagoma huku na kule hadi mkuu wa wilaya anaweka chini ya ulizi wa wanafunzi gari inatolewa upepo! (kweli Tanzania hii hii ninayoijua mimi??) Huku nako raia wanataka makabidhiwe askari aliyeua wadeal nae wenyewe (kwa haraka haraka nafikiri hawana imani na mfumo wa utoaji haki na inasikitisha)
Hawa wanataka nchi iongozwe kidini wale wanakwiba nchi! Tunalipishwa madeni kama ya dowans wananchi hatuelewi nini kinaendelea! Na kadhalika na kadhalika.
Kinachoendelea ni fitna tupu, kinyume kabisa na maana na kazi ya kiongozi ya uongozi!.
Nchi inakosa mwelekeo kabisa, shetani anafanye kazi yake kweli.
Tanzania ya sasa ni kama ngombe aliyekatwa kichwa!