Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Ni kweli, Mkuu!
Una akili sana wewe sijui una kunywa soda gani? Nyerere alifanya alichoamini tukafika tulipofika! si padogo pale!! Aliheshimiwa na wenye akili zao Dunia nzima. Nani km yeye leo hii? Kambona alitoroka maatizo yetu...angekufia hapahapa na sisi...nyerere aliwezakimbilia ulaya faster akaona ujinga akarudi afe na sisi.Acha uvivu, uzembe na upumbavu. Tangu Nyerere aache urais ni muda mrefu sana na tungekuwa tuna uongozi mzuri nchi unayoitamani wewe ingeshatengenezwa. Nyerere ni mmoja ya viongozi wazuri sana kutokea. Nchi gani za Afrika zilikuwa na viongozi wazuri enzi za Nyerere ambazo unaweza kutoa kama mfano leo? Mimi naona nchi nyingi zina changamoto kuliko Tanzania mara kumi.
Hapana, Mkuu!Hivi unafahamu kuwa hata ile OASIS VILLAGE AND CLUB ya MBEZI BEACH, DAR ES SALAAM inamilikiwa na SERENGETI yaani CHUI. Hapa kuna kitu fulani nataka nikuoneshe!
Hapana, Mkuu!
Sikuwa naipata hiyo.
And he eventually passed away before fulfilling his mission.That's why my Chemical's Tutor, He gradually states that, "Pray for me".
Tuliza akili!!..... Shetani na jeuri yake yooote ile hafanyi kazi peke yake! Fikiria tu Mungu ni utatu Mtakatifu!! km tumeumbwa kwa mfano wake, weye ni nani Mpaka usiwe na ushirika? hata uwe Daktari, Mwanasheria unatakiwa uwe na innr circle yako ili uvume!!Kwa mimi binafsi huwa sihafiki hicho kitu, kwa sababu unakuwa na matumaini hewa! Ni bora uwe nacho cha kwako mwenyewe, hata kama ni kidogo lakini kiwe ni cha kwako. Hapo nafsi itatulia.
What was the mission?And he eventually passed away before fulfilling his mission.
Hawa SERENGETI yaani CHUI wapo mbali sana, tena sana! Siwezi kusema ni mbali kiasi gani lakini wamejitahidi kuwekeza ulimwengu mzima.Oasis OTS niliwahi kusoma taarifa zake kwa uchache katika kijarida fulani.
Asset moja tu kama hii, Inatosha kwa matumizi ya familia miaka hadi miaka na karne hata karne.
The mission was to destabilize those who are enjoying NATION'S COFFER - including SERENGETI alias as TIGER and MWASHITA alias as LION. But unfortunately and that was unlucky for the minority societies, the mission was not successful as it was planned.What was the mission?
Mimi binafsi nina INNER CIRCLE yangu ambayo huwa ni sehemu ya majukumu yangu lakini sio lazima kila kitu kiwe hadharani, itakuwa haileti maana halisi ya MAISHA.Tuliza akili!!..... Shetani na jeuri yake yooote ile hafanyi kazi peke yake! Fikiria tu Mungu ni utatu Mtakatifu!! km tumeumbwa kwa mfano wake, weye ni nani Mpaka usiwe na ushirika? hata uwe Daktari, Mwanasheria unatakiwa uwe na innr circle yako ili uvume!!
Sijamaanisha hivyo! Na kuoa lazima nitaoa muda sio mrefu lakini mimi ninachokisema ni kuwa - ni vyema na ni jambo la busura kuwa na uhakika wa kile unachokilimiki wewe mwenyewe, iwe ni kwenye mambo ya biashara, familia au hata namna gani.yaani uwe na cha kwako peke yako? ...familia hujengi peke yako!! utajimbato ili upate watoto? ... lazima Mke Mzuri awepo ili uishi kwa amani na furaha!!...... mkisindikizwa ndoani na watoto!! ndugu na jamaa!!
Hakuna kitu cha pekee yako! Unamaanisha nini?wageni, Majirani, Marafiki! nk, Kamwe hakuna kitu /Maisha eti ya peke yako hapa Duniani. Mwee unaumwa? waalimu wako wali/wanakudanganya mbaya,
😂😂😂kataa, wapinge!! usikubali kila kitu mengine kataa! ili usonge mbele unatakiwa uumwe sikio na wajanja ili, uingize na kutoa Meli salama! hata uwe km Trump! unahitaji ushirika! weee! usitudanganye hapa!
Tuliza akili!!..... Shetani na jeuri yake yooote ile hafanyi kazi peke yake! Fikiria tu Mungu ni utatu Mtakatifu!! km tumeumbwa kwa mfano wake, weye ni nani Mpaka usiwe na ushirika? hata uwe Daktari, Mwanasheria unatakiwa uwe na innr circle yako ili uvume!!Kwa mimi binafsi huwa sihafiki hicho kitu, kwa sababu unakuwa na matumaini hewa! Ni bora uwe nacho cha kwako mwenyewe, hata kama ni kidogo lakini kiwe ni cha kwako. Hapo nafsi itatulia.
Mkuu sasa sentensi simple namna hii'' unashindwa kuelewa nini? hkn Msamiati hapo Baba! Ok! makampuni hayo unayo sema ikiwemo IPP hata yakifa au yakachukuliwa wanashida gani wale? Premises za maana ziko mpaka Dubai wewe!! jeza na chaga nini!Mimi binafsi nina INNER CIRCLE yangu ambayo huwa ni sehemu ya majukumu yangu lakini sio lazima kila kitu kiwe hadharani, itakuwa haileti maana halisi ya MAISHA.
Sijamaanisha hivyo! Na kuoa lazima nitaoa muda sio mrefu lakini mimi ninachokisema ni kuwa - ni vyema na ni jambo la busura kuwa na uhakika wa kile unachokilimiki wewe mwenyewe, iwe ni kwenye mambo ya biashara, familia au hata namna gani.
Ni vyema uwe na vya kwako mwenyewe hata kama ni hisa iwe ni ya kwako, lakini sio kufanya kama baadhi ya wengine wanavyofanya hata hisa unakuta hawana! Yaani wanakuwepo kuwepo tu ilmradi waonekane kwenye VYOMBO VYA HABARI kama redio na televisheni.
Na hii ndio ilitokea, inatokea na itatokea kwenye makampuni ya IPP, MeTL na LAKE GROUP. Yaani ukiangalia wamiliki halali wa haya makampuni ni tofauti kabisa na hao unaowaona hapo.
Hakuna kitu cha pekee yako! Unamaanisha nini?
😂😂😂
Hapana, Mkuu!
Sikuwa naipata hiyo.
Tuliza akili!!..... Shetani na jeuri yake yooote ile hafanyi kazi peke yake! Fikiria tu Mungu ni utatu Mtakatifu!! km tumeumbwa kwa mfano wake, weye ni nani Mpaka usiwe na ushirika? hata uwe Daktari, Mwanasheria unatakiwa uwe na innr circle yako ili uvume!!
yaani uwe na cha kwako peke yako? ...familia hujengi peke yako!! utajimbato ili upate watoto? ... lazima Mke Mzuri awepo ili uishi kwa amani na furaha!!...... mkisindikizwa ndoani na watoto!! ndugu na jamaa!!
wageni, Majirani, Marafiki! nk, Kamwe hakuna kitu /Maisha eti ya peke yako hapa Duniani. Mwee unaumwa? waalimu wako wali/wanakudanganya mbaya,
kataa, wapinge!! usikubali kila kitu mengine kataa! ili usonge mbele unatakiwa uumwe sikio na wajanja ili, uingize na kutoa Meli salama! hata uwe km Trump! unahitaji ushirika! weee! usitudanganye hapa!
Mkuu sasa sentensi simple namna hii'' unashindwa kuelewa nini? hkn Msamiati hapo Baba! Ok! makampuni hayo unayo sema ikiwemo IPP hata yakifa au yakachukuliwa wanashida gani wale? Premises za maana ziko mpaka Dubai wewe!! jeza na chaga nini!
wamevuna mangapi? wamesomesha watoto/vitukuu, wao shule bei mbaya kwa hela za kampuni mara ngapi? hata yaki chukuliwa leo, walisha pata na wako mbali kimaisha sasa nini!!
Matajiri wangapi wamefirisika mbaya Duniani hapa? ajabu nini? unaogopa kufilisiwa?? huna Damu ya kitajiri dogo kubali yaishe!! sijui kunyanganywa Makampuni are you serious?
kina Haile selassie, ukoo wa Hitre walikula na kusaza wakawa km miungu watu Duniani, wakatikisa Dunia, lkn leo unawasikia?? choka mbaya hawana hata hela ya panadol,
hutaamini macho yako!! hata kwa machozi ya damu ukiambiwa kuwa hawa ndo koo zilizo tikisa Dunia. si unaona Kambona alivo pigika mjini London!! mtu alikuwa babu kubwa lkn yakapinda, na alikuwa anatega kopo km matonya au maskini yeyote tu!
Mkoani kwenu tu pale, Mara tajiri wenu Mwita Chacha Manko alikuwa na mabasi Mkoa mzima hakuna aliye fanana nae mpaka leo!! alikuwa anaweza jaza mabasi yake tu stand yooote!! kwa Masaa kumi! yanaingia na kutoka!
Leo hii hayapo hata Roli tu!! ni kawaida hiyo kwetu sisi Matajiri tunao tikisa Dunia! huyo Haile selasie, Samwel Doe, Shehu shaghali Sadadm Husein walipigwa umaskini wa ghafla mbele ya macho yao hivi! mpaka leo!! weeeee!!
Hapana, Mkuu!
Sikuwa naipata hiyo.
Wakati natembea tembea huku mitaani kutazama mawili matatu! Hebu sikiliza nyimbo ya INJILI kwa siku ya JUMAPILI.