Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Ila mambo mengi unayoeleza ni uongo wewe si ulisema Roman abramovich pale Chelsea ni mfanyakazi Tu angalia Sasa kinachotukuta.
Halafu kitu kingine ambacho unatakiwa kufahamu kuanzia leo ni kuwa unapovuka mipaka ya nchi kwa ajili ya shughuli za KIUCHUMI na KIBIASHARA unakuwa umejianika mwenyewe.

Kwa sababu ukiachilia mbali kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, MATAIFA mengine huwa wana MTINDO WA KUFUATILIA KWA MAKINI NA KINAGAUBAGA shughuli zote za KIUCHUMI na KIBIASHARA zinazofanywa na raia wa kigeni.

Kwahiyo sio vyepesi kuleta JANJA JANJA YA HAPA NA PALE kwa nchi ya kigeni au SIJUI UMEINGIA MLANGO HUU, HALAFU UNATOKEA MLANGO ULE!! Hapana, MAMBO huwa hayaendi hivyo.

Sasa, kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walifanikiwa kuakisi UTAMADUNI WA KIINGEREZA 🇬🇧 tangu siku nyingi, ndio maana mambo yao pamoja na shughuli zao huwa zipo wazi sana na zinafahamika hata kwenye TAASISI ZA KIULINZI NA KIUSALAMA.



Jaribu kuangalia hiyo VIDEO hapo juu - hiyo ni kampuni ya usafirishaji wa abiria inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na inafanya vizuri sana kwa upande wa NCHI ZA KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬 na RWANDA 🇷🇼.

Na zinafuatiliwa kwa ukaribu sana na VYOMBO VYA ULINZI kwa kiu ya kufahamu vyanzo vya mapato vya kuendesha kampuni, wamiliki wa kampuni na uhusiano wa kibiashara na nchi husika.

Kwahiyo, hali hii huwa inafanyika kwa MATAIFA yote ya kigeni lakini hali hii ya ufuatiliaji imezidi sana kwa MATAIFA yote ya ULAYA 🇪🇺 na MAREKANI 🇺🇲.
 
Ndio! Kinachowakuta sasa hivi mlikiandaa wenyewe miaka ya nyuma, hakijatokea tu hivi hivi.

WAINGEREZA huwa wanasema hivi - "You sow, what you seed". Yaani unavuna ulichokipanda.

Kuna vitu vingi tunaweza kujadili kwa LUGHA YA STAHA, lakini kwa sasa hivi niko na shughuli nafanya.

Kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA huwa wana MTINDO WA MAISHA yaani SOCIAL MORAL CONDUCT ambayo huwa ni kama sheria, yaani UNWRITTEN CONSTITUTIONAL LAWS. Sasa ikigundulika kama umekwenda kinyume na UTAMADUNI WA KIINGEREZA unachukuliwa hatua kali za kisheria na hicho ndicho kilichomkuta ROMAN ABROMOVICH.
Roman Abramovich kama siyo mmiliki wetu kwanini sasa wanaiadhibu Timu na SASA hivi wanaiuza timu what will happen?
 
Roman Abramovich kama siyo mmiliki wetu kwanini sasa wanaiadhibu Timu na SASA hivi wanaiuza timu what will happen?
Hili swali, mimi na wewe hatutaweza kupata majibu ya UHAKIKA! Lakini WAINGEREZA 🇬🇧 ndivyo walivyo na hata MATAIFA mengine ya ULAYA 🇪🇺 pamoja na MAREKANI 🇺🇲 wana UTAMADUNI unaofanana.

Huu UTAMADUNI wao huwa una FAIDA na HASARA. Na HASARA yake huwa hawarudi NYUMA katika maamuzi ambayo wakiisha amua.

WAINGEREZA 🇬🇧 wenyewe wanadharua wazungu wa MATAIFA MENGINE YA ULAYA 🇪🇺. Wao ni kama DARAJA LA KWANZA yaani FIRST CLASS CITIZENS ON CIVILIZED WORLD.
 
Roman Abramovich kama siyo mmiliki wetu kwanini sasa wanaiadhibu Timu na SASA hivi wanaiuza timu what will happen?

Screenshot_20220525-182954~2.png

Sasa jaribu kufuatilia hii TWEET ya MWANAHABARI WA MICHEZO kutoka ITALIA 🇮🇹. Huyu MWANAHABARI anaitwa FABRIZIO ROMANO na mara nyingi huwa anaendesha mijadala ya michezo kwa kutumia MITANDAO YA KIJAMII hususani MTANDAO WA TWITTER.

Mjadala huu unafuatia baada ya kugundulika kuwa ROMAN ABRAMOVICH ni kivuli katika umiliki wa KLABU YA CHELSEA.

Na kwa upande wa UINGEREZA 🇬🇧, ukigundulika kuwa umeundanganya UMMA WA KIINGEREZA 🇬🇧 au umekwenda kinyume na UTAMADUNI WA KIINGEREZA 🇬🇧, huwa unachukuliwa hatua kali za kupotosha UMMA na hicho ndicho kinachoendelea kwa KLABU YA CHELSEA.
 
MADINI mengine ni haya - kipindi cha miaka ya tisini [ 1990's ], pale TANGA kulikuwa na kampuni za kibiashara ambazo zinahusika na usafirishaji wa abiria na mizigo.

Kampuni hizo zilikuwa zinaitwa SHAMBALAI, TAWFIQ, RAHA LEO, SHENGENA, TAHMEED, SIMBA 🦁 na ZAFANANA.

Hii kampuni ya ZAFANANA ilikuwa ni kampuni ambayo inamilikiwa na wafanyakazi wa CHAMA CHA USHIRIKA CHA TABORA yaani WETCU.

Na hili jina la ZAFANANA limetokana na KWAYA YA ULYANKULU - TABORA waliyoimba kwenye ALBAMU ya MAPIGANO na nyimbo ilikuwa inaitwa SAFARI YAO WAISRAELI.



Hii kampuni ya ZAFANANA ilikuwa ni kampuni mwenza wa kampuni ya SABENA. Sasa hivi hizi kampuni za SABENA na ZAFANANA zinaonekana kama hazipo TANZANIA 🇹🇿, lakini na wao baada ya kufanikiwa kuhamia KENYA 🇰🇪, walifanikiwa kuanzisha kampuni mpya inayokwenda kwa jina la ENA COACH.

Hii kampuni ya ENA COACH ni kampuni kubwa sana, kwa sababu inahusika na usafirishaji wa abiria na mizigo ndani na nje ya TAIFA LA KENYA 🇰🇪.
Na kuna WATU wengi sana walitoka TABORA na kuhamia hii MIKOA YA ARUSHA, KILIMANJARO, TANGA na hatimae waliingia mpaka nchi ya KENYA 🇰🇪.
Hii inajumuisha ile idadi ya watu elfu thelathini [ 30,000,000 ] waliohama kutoka hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kusambaa nchi zote za MAZIWA MAKUU.



Hawa ndio waliokuwa wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo zilizokuwa zinaitwa ZAFANANA na SABENA na ni miongoni mwa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU waliohamia nchini KENYA 🇰🇪.

Hawa wamiliki wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya ENA COACH wamewekeza sana nchini KENYA 🇰🇪 na baadhi ya NCHI ZA MAZIWA MAKUU.



Pia na wao wanamiliki kampuni yao ya kutengeneza mabasi na wanafanya vizuri sana kwenye NCHI za MAZIWA MAKUU.

Wakudadavuwa ngoja nianze taratibu kwa siku ya leo! Jaribu kusoma posti namba 1144 kuhusu waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo, iliyokuwa inaitwa SABENA.

Kwanza kabisa, hawa wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo huwa wanaita majina ya kampuni za usafirishaji kutokana na maana waliyoikusudia wenyewe au inakuwa ni jina ambalo linaashiria jambo fulani.

Kwa mfano, FALCON BUS. Hili ni jina ambalo limetokana na kumbukumbu ya ndege iliyodunguliwa, mwaka 1994 na ilikuwa imebeba MARAIS WAWILI WA RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮. Ile ndege iliyodunguliwa mwaka 1994 ilikuwa inaitwa FALCON 50 JET. Kwahiyo hili jina la FALCON BUS limetokana na kumbukumbu ya ndege iliyodunguliwa mwaka 1994 na iliyokuwa inaitwa FALCON 50 JET.

eb8d5a20eca710affe6ac3a64ece9605.png

Hii kampuni ya FALCON BUS ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU.

Vile vile hilo jina la SABENA, ni jina lenye ASILI YA KIBELIGIJI 🇧🇪 lililokuwa na maana ya Societé Anonyme Belge d'Exploitation de la Navigation Aerienne yaani SABENA na lilikuwa ni SHIRIKA LA NDEGE LA TAIFA LA UBELIGIJI 🇧🇪.

Sabena_Boeing_737-300_OO-SYB.jpg

Kwahiyo hawa waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya SABENA, ndio walikuwa ni WATANZANIA pekee waliokuwa wanamiliki HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI lililokuwa likiitwa SABENA.

Na hilo jina waliita kampuni yao ya usafirishaji wa abiria na mizigo kutokana na kumiliki HISA ZA ASILIMIA [...] kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪. Hawa watu ndio wanaodhaniwa kuwa ni WATANZANIA wenye UKWASI mkubwa kuliko WATANZANIA wengine ukiachilia mbali HAYATI MWALIMU.



Kwa sababu, mbali na SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪 kufilisika mwaka 2001, hawa WATANZANIA waliokuwa na HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪 [ SABENA ] walifanikiwa kuuza HISA zao na kununua HISA nyingine kwenye kampuni za DAT na SOBELAIR zote za nchini UBELIGIJI 🇧🇪, pamoja na kufanikiwa kumiliki baadhi ya HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA USWISI 🇨🇭 linalojulikana kama SWISSAIR.

Kwahiyo, hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamewekeza sana nje ya nchi na wanaendelea kuwekeza kutokana na mitaji yao ya kibiashara kukua siku hadi siku.
 
Wakudadavuwa ngoja nianze taratibu kwa siku ya leo! Jaribu kusoma posti namba 1144 kuhusu waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo, iliyokuwa inaitwa SABENA.

Kwanza kabisa, hawa wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo huwa wanaita majina ya kampuni za usafirishaji kutokana na maana waliyoikusudia wenyewe au inakuwa ni jina ambalo linaashiria jambo fulani.

Kwa mfano, FALCON BUS. Hili ni jina ambalo limetokana na kumbukumbu ya ndege iliyodunguliwa, mwaka 1994 na ilikuwa imebeba MARAIS WAWILI WA RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮. Ile ndege iliyodunguliwa mwaka 1994 ilikuwa inaitwa FALCON 50 JET. Kwahiyo hili jina la FALCON BUS limetokana na kumbukumbu ya ndege iliyodunguliwa mwaka 1994 na iliyokuwa inaitwa FALCON 50 JET.

Hii kampuni ya FALCON BUS ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU.

Vile vile hilo jina la SABENA, ni jina lenye ASILI YA KIBELIGIJI 🇧🇪 lililokuwa na maana ya Societé Anonyme Belge d'Exploitation de la Navigation Aerienne yaani SABENA na lilikuwa ni SHIRIKA LA NDEGE LA TAIFA LA UBELIGIJI 🇧🇪.

Kwahiyo hawa waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya SABENA, ndio walikuwa ni WATANZANIA pekee waliokuwa wanamiliki HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI lililokuwa likiitwa SABENA.

Na hilo jina waliita kampuni yao ya usafirishaji wa abiria na mizigo kutokana na kumiliki HISA ZA ASILIMIA [...] kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪. Hawa watu ndio wanaodhaniwa kuwa ni WATANZANIA wenye UKWASI mkubwa kuliko WATANZANIA wengine ukiachilia mbali HAYATI MWALIMU.



Kwa sababu, mbali na SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪 kufilisika mwaka 2001, hawa WATANZANIA waliokuwa na HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA UBELIGIJI 🇧🇪 [ SABENA ] walifanikiwa kuuza HISA zao na kununua HISA nyingine kwenye kampuni za DAT na SOBELAIR zote za nchini UBELIGIJI 🇧🇪, pamoja na kufanikiwa kumiliki baadhi ya HISA kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA USWISI 🇨🇭 linalojulikana kama SWISSAIR.

Kwahiyo, hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamewekeza sana nje ya nchi na wanaendelea kuwekeza kutokana na mitaji yao ya kibiashara kukua siku hadi siku.

Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1166 - baada ya SABENA, wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao waliamua kufanya kama vile wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walivyofanya kwa miaka ya nyuma.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU walikuja kuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo ya KILIMANJARO EXPRESS na kifupi cha KILIMANJARO EXPRESS ni KLM EXPRESS.

0b45c989325be84bc1306daefb0689f1.png

Hili neno la KLM walilitoa kwenye kampuni ya anga inayohusika na usafirishaji wa abiria na mizigo ya KONINKLIJKE LUCHTVAART MAATSCHAPPIJ [ KLM ] ROYAL DUTCH AIRLINES ya UHOLANZI 🇱🇺.

c0e4eb7b5378dcd8cb5324a5d045fc9b.png

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU waliiga au walitohoa hilo jina la KLM kutokana na wao kufanikiwa kumiliki HISA kwenye kampuni ya anga inayojulikana kama KLM ROYAL DUTCH AIRLINES iliyopo UHOLANZI 🇱🇺.

275cb46437651c5852da75b95bef3818.png

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao wanafuata nyao za wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.

e4787b8bbde9b569ea9fef6fdce9f13b.png


6bf2409e04c6245458857eb1691386cf.png


3bd12cb650cb20a3249476344c726e4c.png

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU wanamiliki ndege chache sana [ kama ndege tano hivi kwenye kampuni ya KLM ROYAL DUTCH AIRLINES ] ukilinganisha na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1166 - baada ya SABENA, wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao waliamua kufanya kama vile wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walivyofanya kwa miaka ya nyuma.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU walikuja kuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo ya KILIMANJARO EXPRESS na kifupi cha KILIMANJARO EXPRESS ni KLM EXPRESS.

Hili neno la KLM walilitoa kwenye kampuni ya anga inayohusika na usafirishaji wa abiria na mizigo ya KONINKLIJKE LUCHTVAART MAATSCHAPPIJ [ KLM ] ROYAL DUTCH AIRLINES ya UHOLANZI 🇱🇺.

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU waliiga au walitohoa hilo jina la KLM kutokana na wao kufanikiwa kumiliki HISA kwenye kampuni ya anga inayojulikana kama KLM ROYAL DUTCH AIRLINES iliyopo UHOLANZI 🇱🇺.

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao wanafuata nyao za wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU wanamiliki ndege chache sana [ kama ndege tano hivi kwenye kampuni ya KLM ROYAL DUTCH AIRLINES ] ukilinganisha na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1166 na 1167 - hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa EASY COACH iliyopo KENYA 🇰🇪.

4402fcf3469947f77cd0e9745e16888a.png

Hii kampuni ni kubwa sana na hiyo namba 425 inayoonekana hapo ubavuni ni idadi ya mabasi ambayo kampuni ya EASY COACH inamiliki na inakadiliwa kuwa na mabasi zaidi ya mia tano [ 500 ].

fa9246b1e43a6eb999b7bfbcc590b4d5.png

Na mwaka jana, yaani mwaka 2021 - hiyo kampuni ya EASY COACH ilikuwa ni kampuni namba moja kwa utoaji wa huduma iliyo bora kwa upande wa usafirishaji wa abiria nchini KENYA 🇰🇪.

Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao hawapo nyuma, kwani wao ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa DREAM LINE EXPRESS inayofanya shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo ndani ya TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

20e73d7aa6145f57191faadba01f9b4c.png

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ni kampuni mwenza wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo za MASHCOOL, SIMBA COACH, MODERN COAST, FRIENDS, TAHMEED na hivi karibuni imeongezeka kampuni nyingine ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa TAWAKAL.

f6fc7812f636abc22891a988ee297f40.png


c9bc2e4cfbedf8497a9e113111a89a20.png

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao wamejitahidi sana kuwekeza MOMBASA na sehemu mbalimbali za TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

Hizi kampuni za EASY COACH, ENA COACH, SIMBA COACH, MODERN COAST EXPRESS, DREAM LINE EXPRESS, FRIENDS, MASHCOOL, TAHMEED na TAWAKAL ndio kampuni ambazo zimeshikilia sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa upande wa TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

Vile vile kampuni tajwa hapo juu kwenye aya iliyopita ni kampuni ambazo zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

2b07b17dc9fab8e306a3a5062de70cd7.png

Hiyo picha kama inavyoonekana hapo juu ni bidhaa za juisi zilizotengenezwa na kiwanda kinachoitwa PWANI MAGIC FRESH JUICE.

01d9fb993b7f92573a81c9a5999c55d0.png

Hiki kiwanda cha kutengeneza juisi za matunda kinapatikana sehemu moja inaitwa NYALI kwenye barabara ya UMOJA, katika jiji la MOMBASA, nchini KENYA 🇰🇪.

Kwahiyo, ukiachana na biashara ya usafirishaji wa abiria na mizigo - hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU, CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU na CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamejikita sana kwenye uwekezaji wa viwanda vinavyozalisha bidhaa mbalimbali hususani SEKTA YA MADINI.

5129a6915028c4b69fc8b53d55566254.png

Hiki ni kiwanda kinachoitwa NDOVU CEMENT, ni kiwanda ambacho kinazalisha simenti na kokoto, kinapatikana sehemu moja inayoitwa ENGASHURA, katika jiji la NAKURU, nchini KENYA 🇰🇪.

NDOVU CEMENT ni kiwanda ambacho kwa kiasi kikubwa cha asimilia za umiliki yaani HISA kinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU, CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamejitahidi sana kuwekeza nje ya nchi na hii inatokana na mfumo wa kufanya biashara wa "KWA NIABA YA" yaani ACCORDANCE TO BUSINESS.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1166 na 1167 - hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa EASY COACH iliyopo KENYA 🇰🇪.

Hii kampuni ni kubwa sana na hiyo namba 425 inayoonekana hapo ubavuni ni idadi ya mabasi ambayo kampuni ya EASY COACH inamiliki na inakadiliwa kuwa na mabasi zaidi ya mia tano [ 500 ].

Na mwaka jana, yaani mwaka 2021 - hiyo kampuni ya EASY COACH ilikuwa ni kampuni namba moja kwa utoaji wa huduma iliyo bora kwa upande wa usafirishaji wa abiria nchini KENYA 🇰🇪.

Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao hawapo nyuma, kwani wao ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa DREAM LINE EXPRESS inayofanya shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo ndani ya TAIFA LA KENYA 🇰🇪.


Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ni kampuni mwenza wa kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo za MASHCOOL, SIMBA COACH, MODERN COAST, FRIENDS, TAHMEED na hivi karibuni imeongezeka kampuni nyingine ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa TAWAKAL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao wamejitahidi sana kuwekeza MOMBASA na sehemu mbalimbali za TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

Hizi kampuni za EASY COACH, ENA COACH, SIMBA COACH, MODERN COAST EXPRESS, DREAM LINE EXPRESS, FRIENDS, MASHCOOL, TAHMEED na TAWAKAL ndio kampuni ambazo zimeshikilia sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa upande wa TAIFA LA KENYA 🇰🇪.

Vile vile kampuni tajwa hapo juu kwenye aya iliyopita ni kampuni ambazo zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.


Hiyo picha kama inavyoonekana hapo juu ni bidhaa za juisi zilizotengenezwa na kiwanda kinachoitwa PWANI MAGIC FRESH JUICE.

Hiki kiwanda cha kutengeneza juisi za matunda kinapatikana sehemu moja inaitwa NYALI kwenye barabara ya UMOJA, katika jiji la MOMBASA, nchini KENYA 🇰🇪.

Kwahiyo, ukiachana na biashara ya usafirishaji wa abiria na mizigo - hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU, CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU na CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamejikita sana kwenye uwekezaji wa viwanda vinavyozalisha bidhaa mbalimbali hususani SEKTA YA MADINI.


Hiki ni kiwanda kinachoitwa NDOVU CEMENT, ni kiwanda ambacho kinazalisha simenti na kokoto, kinapatikana sehemu moja inayoitwa ENGASHURA, katika jiji la NAKURU, nchini KENYA 🇰🇪.

NDOVU CEMENT ni kiwanda ambacho kwa kiasi kikubwa cha asimilia za umiliki yaani HISA kinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU.

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU, CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU wamejitahidi sana kuwekeza nje ya nchi na hii inatokana na mfumo wa kufanya biashara wa "KWA NIABA YA" yaani ACCORDANCE TO BUSINESS.
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1166 na posti namba 1167 - hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya TAWAKAL ndio kampuni mwenza na ALLY'S inayofanya shughuli zake za kibiashara ndani ya mipaka ya TANZANIA 🇹🇿.

4a28f36cbd7d89c9eef6700448fdf06a.png

Na kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo ya ALLY'S ilikuwepo tangu miaka ya 1990 [ 1990's ] na jina la ALLY limetokana na neno la KIINGEREZA 🇬🇧 lenye maana ya MUUNGANO - yaani ni muunganiko kwa nia au kusudio la kufanikisha jambo fulani.

62eedcad90aa676915b5299c76b29b13.png

Huu muunganiko yaani [ ALLY ] ulifanyika kipindi cha miaka ya 1990 [ 1990's ] ambapo kulikuwa kuna VITA BARIDI, kiasi ambacho kilipelekea MATAIFA mengi ya KIAFRIKA kuyumba KIUCHUMI na hata WATU BINAFSI waliyumba KIUCHUMI kutokana na kuwepo mazingira magumu ya kufanya BIASHARA. Yaani kipindi cha VITA BARIDI ilikuwa ni vigumu sana kusafirisha au kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi.

Kwahiyo MATAIFA mengi ya KIAFRIKA yalichagua upande wa kuegemea ili kuendelea kufanya BIASHARA na kujikwamua KIUCHUMI.

Vile vile kwa upande wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU na wao waliamua kufanya BIASHARA na WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA ili kujikwamua KIUCHUMI na kuendelea kuendesha shughuli za KIBIASHARA zilizokuwa zinafanyika kwa kipindi hicho.

Hao WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA walifanyika kama "MIDDLE PERSON" na kupata "COMMISSION" pale ambapo BIASHARA itakapokuwa imefanikiwa au kukamilika.

Sio SIRI hawa WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA walitajirika kipindi cha VITA BARIDI, kwa sababu walikuwa wanatumika kama "MIDDLE PERSON" na baada ya BIASHARA kufanikiwa walikuwa wanapata "COMMISSION" yao.

Kwahiyo, hawa WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA walikuwa wakijipatia FEDHA HALALI bila ya kuwekeza MITAJI YA KIBIASHARA.

Sasa hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU waliamua kufanya BIASHARA na WATU wenye asili ya UJERUMANI 🇩🇪 na ASIA yaani WAHINDI 🇮🇳 pamoja na WAARABU 🇴🇲.

Ndio ikawa chimbuko na mwanzo wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo yenye jina la ALLY'S ikiwa na maana ya muunganiko wa kibiashara kati ya WATU wenye asili ya UJERUMANI 🇩🇪, ASIA na vilivyokuwa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU na SHIRECU.

62eedcad90aa676915b5299c76b29b13.png

Halafu pia, kwa upande wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU waliamua kufanya BIASHARA na WATU wenye asili ya UBELIGIJI 🇧🇪 na ASIA yaani WAHINDI 🇮🇳 pamoja na WAARABU 🇴🇲.

Ndio ikawa chimbuko na mwanzo wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo yenye jina la SHABIBI LINE ikiwa na maana yenye ukakasi kidogo..

4acbdd16aa784ab3e52b1c6e3fb4beda.png

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walikuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo iliyokuwa ikiitwa SABENA.

Sasa, zile basi za SABENA kwenye KINGA TOPE - basi moja ilikuwa imeandikwa "USICHEZE MBALI, UNGA ROBO" yaani walikuwa wanamiliki HISA ZA ASILIMIA 25% [ ROBO ] kwenye SHIRIKA LA NDEGE LA SABENA na basi nyingine ilikuwa imeandikwa "SHAMBA LA BIBI" yaani TANZANIA 🇹🇿 NI SHAMBA LA BIBI na hii ilitokana na hawa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU kuiba sana na ilifikia hatua walikuwa wanasema - "TANZANIA 🇹🇿 NI SHAMBA LA BIBI" yaani walikuwa wanahamisha na kutumia MALI ZA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA kwa masilahi yao binafsi na ndio ikawa chanzo na chimbuko la kuanzisha kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo yenye jina la SHABIBI LINE.

3754fc20edeaa00e660ddaa486aa8998.png

Hao waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU ndio waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo iliyokuwa ikiitwa SABENA na hao ndio wamiliki halali wa HOTELI ZA MORENA na kampuni nyingine nyingi zenye majina ya kufanana na hayo kama SAYONA na SERENA.

Sasa, turudi kwa hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao walipiga hatua ya KIBIASHARA na KIUCHUMI baada ya muunganiko yaani [ ALLIED kutoka kwenye neno la ALLY ] na WATU wenye asili ya UJERUMANI 🇩🇪, INDIA 🇮🇳 pamoja na OMANI 🇴🇲.

c2ab65772c2ae2d5e25e58469047f418.png

Hawa WATU wenye asili ya UJERUMANI 🇩🇪, INDIA 🇮🇳 pamoja na OMANI 🇴🇲 ndio ilikuwa ni SIRI YA MAFANIKIO YA KIBIASHARA NA KIUCHUMI kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU [ MWANZA ] NA SHIRECU [ SHINYANGA ] kipindi cha VITA BARIDI.

Na hali hiyo ipo na inaendelea mpaka leo, sema neno limebadilika kutoka kuwa "MIDDLE PERSON" au "BROKERS" hadi kuwa "ACCORDANCE TO BUSINESS AGENTS" lakini suala la "COMMISSION" limebaki pale pale, sema limepungua kutokana na MABADILIKO YA KIUCHUMI.

Kipindi cha nyuma hawa WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA walikuwa wanachukua "COMMISSION" ya ASILIMIA 10, lakini kwa kadri muda ulivyozidi kwenda ASILIMIA ikapungua hadi 5 na sasa hivi wanachukua "COMMISSION" ya ASILIMIA 3 mpaka ASILIMIA 1.

Lakini tuwe wakweli - hawa WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 na ASIA walikuwa msaada mkubwa sana kwa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU katika kupiga hatua za KIUCHUMI, KIBIASHARA NA KIMAENDELEO kipindi cha VITA BARIDI.

137a3637ccaf6414dd80cc0b9eab1497.png

Huyu ni CABIN CREW wa KLM ROYAL DUTCH AIRLINES na mara nyingi huwa unakuja TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu za KIBIASHARA na kushauri mambo mbali mbali kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO kwa upande wa kampuni zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

b9f2b897349a316aaee069d3aa900e96.png


90c07e12b8e6b78f3537784d32e37649.png

Hawa WATU wenye asili ya ULAYA 🇪🇺 pamoja na ASIA walifanyika kuwa msaada mkubwa hasa katika kupanua WIGO WA KIBIASHARA na kwenda kuwekeza nje ya nchi.

Kama umeshaona au kugundua, baadhi ya kampuni za MWASHITA yaani SIMBA 🦁 zinafuata mfumo wa KLM ROYAL DUTCH AIRLINES kama KILIMANJARO EXPRESS YA TANZANIA 🇹🇿 NA MODERN COAST EXPRESS YA KENYA 🇰🇪.

59ca58768e1e8a68a86303db581d6155.png


2bc267d6c70cc883a5615f9b376a28a0.png


fd37dc8a4c4a962cdf5c446a477bb1d3.png


163de85431d89ac54950c0a18686f4a0.png


151ba823bb07d1ca410b96ad9a5997d1.png

Hao ndio MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.
 
Wakudadavuwa kwa kusoma na kupitia upya ile posti namba 1166 - ile kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa FALCON ni kampuni mwenza wa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE.

7475b6c13b02121bedd78a5933db3982.png

Hii kampuni ya MANING NICE na FALCON ni kitu kimoja na zote zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU.

Na hili jina la MANING NICE ni jina ambalo linamaanisha [...], yaani ni jina la SIMBA MTOTO na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA UDOM - CoHSS [ 2012/13 ].

Sasa hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU wameshindwa kushikilia SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 kutokana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI, JAMII YA WATU WA PWANI na SERIKALI YA TANZANIA yenyewe kushiriki kikamilifu katika SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO.

SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 ilianza kushiriki kikamilifu kwenye BIASHARA NA UWEKEZAJI kipindi cha AWAMU YA TATU kilicho ongozwa na HAYATI BENJAMIN WILLIAM MKAPA.



SERA YA UBINAFSISHAJI iliasisiwa kipindi cha AWAMU YA TATU na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 ilianza kushiriki kikamilifu kwenye BIASHARA NA UWEKEZAJI. Tofauti na hapo, leo hii tungelikuwa tunaongea mambo mengine.

Lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU wamefanikiwa kudumu kwa kipindi kirefu kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO kutokana na kutumia FAIDA inayopatikana VIWANDANI na kuwekeza kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO.
 
Wakudadavuwa ngoja nikudokeze kitu kimoja, halafu baadae tutaendelea! Kwa muendelezo wa posti namba 1171 - huu mtindo wa kufanya biashara yaani "ACCORDANCE TO BUSINESS" upo duniani kote na mara nyingi huwa unafanyika na VIONGOZI WA KISERIKALI, TAASISI MBALIMBALI na WAFANYABIASHARA WAKUBWA.

Hata hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA ya RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO [ ZAIRE ] 🇨🇩 na wao pia walikuwa wanafanya biashara na kuwekeza kwa mtindo huo.

Huyu aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 - JUVÉNAL HABYARIMANA aliwekeza pakubwa sana na biashara zake zipo mpaka leo na zinaendelea kukuwa siku kadri ya siku. Hata hapa TANZANIA 🇹🇿 zipo biashara zake.

Juvénal_Habyarimana_(1980).jpg

Huyu JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa ni kiongozi hatari sana, alikuwa anaitwa "KINANI" maana yake ni "MTU ASIYEONEKANA". Alifanikiwa kuwekeza TANZANIA 🇹🇿 kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI 🇧🇪 pamoja na kuzaa watoto. Mtoto wake mmoja ni MTUMISHI WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 - yaani anafanya kazi serikalini.

Hata hizi HARAKATI zote zinazofanyika kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU pamoja na NCHI ZA ULAYA hususani NCHI ZA UFARANSA 🇨🇵, UBELIGIJI 🇧🇪 na USWISI 🇨🇭 kuhusu wale WAHUTU wenye msimamo mkali kurudi RWANDA 🇷🇼 - hizo HARAKATI zote zinadhaminiwa na WATU wa karibu wa aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 kupitia biashara zake.

bdi_burundi_messe_requiem_CyprienNTARYAMIRA_6avril2016_ppbdi.jpg

Huyu ni aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA BURUNDI 🇧🇮 na alikuwa anaitwa CYPRIEN NTARYAMIRA. Alikuwa ni kiongozi mstaarabu sana na mpaka kufikia mwaka 1994 - alikuwa tayari amefanikiwa kupenyeza MAMLUKI wengi kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani TANZANIA 🇹🇿 na biashara zake zipo mpaka leo. Yeye pia alifanikiwa kuwekeza kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI NA UFARANSA, pamoja na kuzaa watoto kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Yaani hawa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 walitaka kuifanya TANZANIA 🇹🇿 kuwa kama KONGO [ ZAIRE] 🇨🇩. Sasa hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU, lakini hakuwa na namna ya kufanya kwa sababu hiyo ndio SIASA.

image47.jpeg

Huyu ni aliyekuwa RAIS WA ZAIRE 🇨🇩 [ KONGO ] na alikuwa anaitwa MOBUTU SESE SEKO. Alifanikiwa sana kuwekeza nje ya nchi ya ZAIRE kuliko WATU wengi wanavyodhani na alikuwa anaichokoza SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia hizi NCHI ZA RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮, kwa sababu hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 NA KONGO 🇨🇩 zilikuwa zinaamini kuwa wao ni WATOTO WA MAMA MMOJA.

Kwahiyo hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa zina uwezo wa kufanya jambo kupitia NCHI mojawapo pasipo NCHI nyingine kuweza kufahamu nini kinachoendelea.

Hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU na angeendelea kuwavumilia walikuwa wanaimaliza TANZANIA 🇹🇿, kwa sababu mpaka kufikia mwaka 1990 - hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa tayari zimeshapenyeza MAMLUKI kwenye makabila [ 120 ] yote ya TANZANIA 🇹🇿.

Vile vile hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 na hasa JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa anawashangaa hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU - yaani ni kwanini wanakubali kutawaliwa na HAYATI MWALIMU ukizingatia wao wana ELIMU, wana FEDHA na idadi yao ukichukua hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ni WATU wengi sana.

Sasa hiki kitendo kiliendelea kumkasilisha sana HAYATI MWALIMU na aliona kama ni FEDHEHA kwa SERIKALI iliyokuwa inaongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
 
Wakudadavuwa ngoja nikudokeze kitu kimoja, halafu baadae tutaendelea! Kwa muendelezo wa posti namba 1171 - huu mtindo wa kufanya biashara yaani "ACCORDANCE TO BUSINESS" upo duniani kote na mara nyingi huwa unafanyika na VIONGOZI WA KISERIKALI, TAASISI MBALIMBALI na WAFANYABIASHARA WAKUBWA.

Hata hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA ya RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO [ ZAIRE ] 🇨🇩 na wao pia walikuwa wanafanya biashara na kuwekeza kwa mtindo huo.

Huyu aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 - JUVÉNAL HABYARIMANA aliwekeza pakubwa sana na biashara zake zipo mpaka leo na zinaendelea kukuwa siku kadri ya siku. Hata hapa TANZANIA 🇹🇿 zipo biashara zake.

Huyu JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa ni kiongozi hatari sana, alikuwa anaitwa "KINANI" maana yake ni "MTU ASIYEONEKANA". Alifanikiwa kuwekeza TANZANIA 🇹🇿 kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI 🇧🇪 pamoja na kuzaa watoto. Mtoto wake mmoja ni MTUMISHI WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 - yaani anafanya kazi serikalini.

Hata hizi HARAKATI zote zinazofanyika kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU pamoja na NCHI ZA ULAYA hususani NCHI ZA UFARANSA 🇨🇵, UBELIGIJI 🇧🇪 na USWISI 🇨🇭 kuhusu wale WAHUTU wenye msimamo mkali kurudi RWANDA 🇷🇼 - hizo HARAKATI zote zinadhaminiwa na WATU wa karibu wa aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 kupitia biashara zake.

Huyu ni aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA BURUNDI 🇧🇮 na alikuwa anaitwa CYPRIEN NTARYAMIRA. Alikuwa ni kiongozi mstaarabu sana na mpaka kufikia mwaka 1994 - alikuwa tayari amefanikiwa kupenyeza MAMLUKI wengi kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani TANZANIA 🇹🇿 na biashara zake zipo mpaka leo. Yeye pia alifanikiwa kuwekeza kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI NA UFARANSA, pamoja na kuzaa watoto kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Yaani hawa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 walitaka kuifanya TANZANIA 🇹🇿 kuwa kama KONGO [ ZAIRE] 🇨🇩. Sasa hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU, lakini hakuwa na namna ya kufanya kwa sababu hiyo ndio SIASA.
Huyu ni aliyekuwa RAIS WA ZAIRE 🇨🇩 [ KONGO ] na alikuwa anaitwa MOBUTU SESE SEKO. Alifanikiwa sana kuwekeza nje ya nchi ya ZAIRE kuliko WATU wengi wanavyodhani na alikuwa anaichokoza SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia hizi NCHI ZA RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮, kwa sababu hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 NA KONGO 🇨🇩 zilikuwa zinaamini kuwa wao ni WATOTO WA MAMA MMOJA.

Kwahiyo hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa zina uwezo wa kufanya jambo kupitia NCHI mojawapo pasipo NCHI nyingine kuweza kufahamu nini kinachoendelea.

Hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU na angeendelea kuwavumilia walikuwa wanaimaliza TANZANIA 🇹🇿, kwa sababu mpaka kufikia mwaka 1990 - hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa tayari zimeshapenyeza MAMLUKI kwenye makabila [ 120 ] yote ya TANZANIA 🇹🇿.

Vile vile hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 na hasa JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa anawashangaa hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU - yaani ni kwanini wanakubali kutawaliwa na HAYATI MWALIMU ukizingatia wao wana ELIMU, wana FEDHA na idadi yao ukichukua hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ni WATU wengi sana.

Sasa hiki kitendo kiliendelea kumkasilisha sana HAYATI MWALIMU na aliona kama ni FEDHEHA kwa SERIKALI iliyokuwa inaongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
Wakudadavuwa - kwa muendelezo wa posti namba 1172! Kitu kingine ambacho walikuwa hawakifahamu hawa waliokuwa viongozi wa MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA, BURUNDI na KONGO ni uwepo wa kundi lililojiita UGANDA LINE.

UGANDA LINE ni kundi lililojumuisha WATANZANIA waliosoma ELIMU YA MSINGI, ELIMU YA SEKONDARI na ELIMU YA CHUO KIKUU nchini UGANDA. Na ni watu ambao walikuwa wanaamini kuwa wao ni WASOMI kuliko WATANZANIA wengine.

Hili kundi la UGANDA LINE lilikuwa linajumuisha HAYATI MWALIMU, MISTER CLEAN na WAFANYAKAZI WA VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ambao walikuwa wamesoma ELIMU YA SEKONDARI na ELIMU YA CHUO KIKUU nchini UGANDA.

Kwahiyo yale mambo yote hawa viongozi wa MATAIFA MATATU [3] ya RWANDA, BURUNDI na KONGO waliyokuwa wakiyapanga na kuwaambia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU yalikuwa yanamfikia HAYATI MWALIMU moja kwa moja na walikuwa wanatumia TAASISI ZA KIDINI kukamilisha adhma yao.

bdd3972d8f4e2bac5c5ed65a28b830db.png

Vile vile kipindi cha VITA BARIDI hizi taasisi za kidini zilionesha rangi zao halisi. Yaani hizi taasisi za kidini zipo kwa ajili ya masilahi ya MATAIFA yao, kule zilipoanzishwa. Kwa mfano, KANISA LA ROMANI KATOLIKI linasimamia MASILAHI ya VATIKANI, ITALIA na MATAIFA yote yanayotumia LUGHA YA KIFARANSA! KANISA LA ANGLIKANI linasimamia MASILAHI ya UINGEREZA na MATAIFA yote ya JUMUIYA YA MADOLA! KANISA LA LUTHERANI linasimamia MASILAHI ya UJERUMANI! Kwahiyo, haya MATAIFA YA KIAFRIKA yalikuwa yanatumika kwenye kukusanya SADAKA, ZAKA na MICHANGO mbalimbali ili kufanikisha shughuli za kidini. Yaani wao ni HELA kwanza, halafu mambo mengine ni baadae. Hata hizi HUDUMA ZA KIJAMII ambazo huwa wanatoa, huwa wanatoa kwa GHARAMA na sio BURE!!

6c578b47efa2bbba9a0081b5f81cb9a4.png

Sasa HAYATI MWALIMU na hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walikutana TABORA, mwaka 1991/92 na kuweka maazimio yaliyokuwa yanaitwa "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS".

"MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" yalikuwa ni MAAZIMIO YA SIRI kutokana na UNYETI wake. Lakini yalikuwa yanalenga ile DHANA YA KULINDANA yaani NILINDE NIKULINDE, SOTE TULINDANE.



Kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" walikuwa wamegusia masuala manne kama sio matano, kwa ujumla wake. Masuala hayo ni SIASA, UCHUMI, DINI na ULINZI.

47f654c8bdf993801c282ac3e9773618.png

Sasa kipindi MAAZIMIO YA TABORA yanafanyika, upande mwingine walikuwa wanatafuta kiini na suluhisho kwa haya MATAIFA MATATU [ 3 ]YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.

AZIMIO LA KWANZA kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la SIASA. Suala la SIASA ndio lililokuwa ni chimbuko la kuanzisha MFUMO WA VYAMA VINGI VYA KISIASA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walipata fursa na kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa [...], 1992. Kwa ustadi mkubwa na propaganda ya hali ya juu walikipeleka hicho CHAMA CHA KISIASA katika MKOA WA KILIMANJARO, iwe ni sehemu ambapo CHAMA kilizaliwa na kusajiliwa katika MKOA WA DAR ES SALAAM kwenye ofisi ya MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao walipata fursa na kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa [...], 1993. Kwa ustadi mkubwa na propaganda ya hali ya juu walikipeleka hicho CHAMA CHA KISIASA katika MKOA WA TABORA, iwe ni sehemu ambapo CHAMA kilizaliwa na kusajiliwa katika MKOA WA DAR ES SALAAM kwenye ofisi ya MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA. Hiki CHAMA CHA KISIASA kilimea sana VISIWANI ZANZIBAR na sehemu mbalimbali za MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU waliona hakuna haja ya kuanzisha CHAMA CHA KISIASA ilhali VYAMA VYA KISIASA vingine vimeshapatikana. Kwa hiyo wao walisimamia masilahi yao kwanza na waliunga mkono CHAMA CHA KISIASA chenye ITIKADI NA SERA nzuri.

AZIMIO LA PILI kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la UCHUMI. Hawa waliokuwa wajumbe na wahusika wa KIKAO CHA MAAZIMIO YA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS MEETING walikuwa ni WATU wenye UKWASI kwa kipindi hicho na ndio waliofanyika kuwa wamiliki wa UCHUMI kwenye SEKTA zote zinazopatikana TANZANIA.

AZIMIO LA TATU kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la DINI. Wale waliokuwa wajumbe wa KIKAO CHA MAADHIMIO YA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS MEETING walikuja na maadhimio ya kuanzisha madhehebu yao ya kidini na kuachana kabisa na madhehebu ya kigeni. Hicho kipindi ndio kilikuwa ni chimbuko la MAKANISA YA KIEVANJILISTI au kwa lugha nyingine wanaita ni MAKANISA YA KIPENTEKOSTE.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU na wao walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Na baada ya kusuasua kwa kipindi kirefu sana tangu mwaka 1968, ile iliyokuwa taasisi ya kiislamu ya TANZANIA yaani BAKWATA ilifanyika kuwa ni taasisi ya kidini iliyo chini ya SERIKALI YA TANZANIA ambapo kwa undani wake unawakuta wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Yaani kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - shughuli zote za kiuchumi za BARAZA LA KIISLAMU LA TANZANIA yaani BAKWATA zinasimamiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU kupitia kampuni zao za kibiashara.

Baada ya hapo - AZIMIO LA NNE lilikuwa ni kuimarisha ULINZI wa ndani na nje ya NCHI dhidi ya maadaui. Kwa kipindi kile HAYATI MWALIMU alitoa fursa kwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA KUJENGA TAIFA ikiwemo JESHI LA POLISI, JESHI LA WANANCHI [ JWTZ ], JESHI LA MAGEREZA, JESHI LA ZIMAMOTO na JESHI LA UHAMIAJI.

Yaani hicho kipindi kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwa upande wa TANZANIA, kwa sababu kuna baadhi ya WATU walihama makabila na kubadilisha majina ya ukoo, wengine walibadilisha dini na hata uraia wa nchi kwa nia ya kuimarisha ULINZI NA USALAMA.

Baada ya kuimarisha ULINZI NA USALAMA WA NDANI YA NCHI - HAYATI MWALIMU alihamia kwenye zile NCHI TATU [ 3 ] ZA RWANDA, BURUNDI NA KONGO na kilichofuata ni historia!!

Kwa upande wa RWANDA walifanikiwa kuitoa SERIKALI iliyoongozwa na JUVÉNAL HABYARIMANA na kumuweka PAUL INGABIRE KAGAME kama ni KIONGOZI KIVULI. Sema kwa sintofahamu uliyokuwa imetanda kipindi kile, WATUSI ambao ndio wachache kwa TAIFA LA RWANDA walionekana kuwa sehemu salama zaidi kuliko watu wengine.

IMG_20220630_104106.jpg

PAUL INGABIRE KAGAME ni NEMBO YA URAISI yaani IDEAL PERSONEL PRESIDENT na aliandaliwa kwenda kuitawala RWANDA, lakini wanaoongoza SERIKALI YA RWANDA ni JESHI LA RWANDA yaani RWANDA DEFENSE FORCE [ RDF ] na walio nyuma ya JESHI LA RWANDA ndio wenye SERIKALI YA RWANDA.

e77bf875b796e6d1deed164ddccc82ea.png

Kwa kutizama na kuangalia PICHA vizuri au kwa wale wataalamu wa "KUNYUMBUA PICHA" yaani "FACIAL DESCRIPTION IDENTIFICATION" - hao ndio wanao ongoza SERIKALI YA RWANDA na hizo SURA zote zipo TANZANIA.

Kwa upande wa BURUNDI walifanikiwa pia kuitoa SERIKALI iliyoongozwa na CYPRIEN NTARYAMIRA. Ilikuwa ni kipindi cha majonzi sana, ukizingatia alikuwa ni KIONGOZI KIJANA na aliyekuwa amebeba matumaini kwa wananchi walio wengi. Lakini tangu mwaka 1994 - SERIKALI YA BURUNDI ilikuwa imeshikiliwa na JESHI.

3d57a6cc9c94fc91a25cb1b3fd616ac8.png

Kwa upande wa SERIKALI YA BURUNDI na yenyewe inataka kufanana kimuundo na SERIKALI YA RWANDA, kwani zote ni SERIKALI ambazo zinaongozwa KIJESHI.

Hiyo SURA YA KATIKATI ipo TANZANIA na kwa wale wataalamu wa "KUNYUMBUA PICHA" yaani "FACIAL DISCRIPTION IDENTIFICATION" - hiyo SURA YA KATIKATI ipo TANZANIA.

d5daa21d47983651c54c3f715b572356~2.jpg

Baada ya kutoka RWANDA na BURUNDI, mabadiliko ya KISIASA yaliendelea mpaka KONGO na kufanikiwa kumuondoa aliyekuwa RAIS WA KONGO - MOBUTU SESE SEKO na kumuweka LAURENT DÉSIRÉ KABILA kuwa RAIS WA KONGO.

000_sapa970505446670_web.jpg

Baada ya kukiuka MAKUBALIANO YA REMERA, aliyekuwa RAIS WA KONGO - LAURENT DÉSIRÉ KABILA alifanikiwa kutolewa kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi na SERIKALI ilioongozwa JOSEPH LAURENT KABILA.

955ecbbb7a3107e85ac300582845b0b8.png

Sasa, kwa kipindi hicho ambacho mambo yote yalikuwa yakifanyika - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuwa wanufaika wakubwa wa mabadiliko ya KISIASA kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO. Kwahiyo walijijenga KIUCHUMI kutokana na VITA NA SIASA zilizokuwa zikiendelea kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani kwenye MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.

Vile vile wale wajumbe wote waliopitisha "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" walifanyika kuwa ni miongoni mwa JAMII zinazotengeza ule MFUMO WA SIASA ZA MAFIGA MATATU ukiongeza ile JAMII YA WATU WA PWANI ambayo ndio JAMII inayoongoza kuwa na VIONGOZI wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Kwahiyo "AZIMIO LA TABORA" yaani "TABORA DECLARATION" ndio iliyotoa TASWIRA MPYA NA MUELEKEO WA TANZANIA kama TAIFA tangu mwaka 1991/92 mpaka leo.
 
Wakudadavuwa - kwa muendelezo wa posti namba 1172! Kitu kingine ambacho walikuwa hawakifahamu hawa waliokuwa viongozi wa MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA, BURUNDI na KONGO ni uwepo wa kundi lililojiita UGANDA LINE.

UGANDA LINE ni kundi lililojumuisha WATANZANIA waliosoma ELIMU YA MSINGI, ELIMU YA SEKONDARI na ELIMU YA CHUO KIKUU nchini UGANDA. Na ni watu ambao walikuwa wanaamini kuwa wao ni WASOMI kuliko WATANZANIA wengine.

Hili kundi la UGANDA LINE lilikuwa linajumuisha HAYATI MWALIMU, MISTER CLEAN na WAFANYAKAZI WA VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ambao walikuwa wamesoma ELIMU YA SEKONDARI na ELIMU YA CHUO KIKUU nchini UGANDA.

Kwahiyo yale mambo yote hawa viongozi wa MATAIFA MATATU [3] ya RWANDA, BURUNDI na KONGO waliyokuwa wakiyapanga na kuwaambia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU yalikuwa yanamfikia HAYATI MWALIMU moja kwa moja na walikuwa wanatumia TAASISI ZA KIDINI kukamilisha adhma yao.


Vile vile kipindi cha VITA BARIDI hizi taasisi za kidini zilionesha rangi zao halisi. Yaani hizi taasisi za kidini zipo kwa ajili ya masilahi ya MATAIFA yao, kule zilipoanzishwa. Kwa mfano, KANISA LA ROMANI KATOLIKI linasimamia MASILAHI ya VATIKANI, ITALIA na MATAIFA yote yanayotumia LUGHA YA KIFARANSA! KANISA LA ANGLIKANI linasimamia MASILAHI ya UINGEREZA na MATAIFA yote ya JUMUIYA YA MADOLA! KANISA LA LUTHERANI linasimamia MASILAHI ya UJERUMANI! Kwahiyo, haya MATAIFA YA KIAFRIKA yalikuwa yanatumika kwenye kukusanya SADAKA, ZAKA na MICHANGO mbalimbali ili kufanikisha shughuli za kidini. Yaani wao ni HELA kwanza, halafu mambo mengine ni baadae. Hata hizi HUDUMA ZA KIJAMII ambazo huwa wanatoa, huwa wanatoa kwa GHARAMA na sio BURE!!

Sasa HAYATI MWALIMU na hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walikutana TABORA, mwaka 1991/92 na kuweka maazimio yaliyokuwa yanaitwa "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS".

"MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" yalikuwa ni MAAZIMIO YA SIRI kutokana na UNYETI wake. Lakini yalikuwa yanalenga ile DHANA YA KULINDANA yaani NILINDE NIKULINDE, SOTE TULINDANE.



Kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" walikuwa wamegusia masuala manne kama sio matano, kwa ujumla wake. Masuala hayo ni SIASA, UCHUMI, DINI na ULINZI.


Sasa kipindi MAAZIMIO YA TABORA yanafanyika, upande mwingine walikuwa wanatafuta kiini na suluhisho kwa haya MATAIFA MATATU [ 3 ]YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.

AZIMIO LA KWANZA kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la SIASA. Suala la SIASA ndio lililokuwa ni chimbuko la kuanzisha MFUMO WA VYAMA VINGI VYA KISIASA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walipata fursa na kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa [...], 1992. Kwa ustadi mkubwa na propaganda ya hali ya juu walikipeleka hicho CHAMA CHA KISIASA katika MKOA WA KILIMANJARO, iwe ni sehemu ambapo CHAMA kilizaliwa na kusajiliwa katika MKOA WA DAR ES SALAAM kwenye ofisi ya MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU na wao walipata fursa na kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa [...], 1993. Kwa ustadi mkubwa na propaganda ya hali ya juu walikipeleka hicho CHAMA CHA KISIASA katika MKOA WA TABORA, iwe ni sehemu ambapo CHAMA kilizaliwa na kusajiliwa katika MKOA WA DAR ES SALAAM kwenye ofisi ya MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA. Hiki CHAMA CHA KISIASA kilimea sana VISIWANI ZANZIBAR na sehemu mbalimbali za MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU waliona hakuna haja ya kuanzisha CHAMA CHA KISIASA ilhali VYAMA VYA KISIASA vingine vimeshapatikana. Kwa hiyo wao walisimamia masilahi yao kwanza na waliunga mkono CHAMA CHA KISIASA chenye ITIKADI NA SERA nzuri.

AZIMIO LA PILI kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la UCHUMI. Hawa waliokuwa wajumbe na wahusika wa KIKAO CHA MAAZIMIO YA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS MEETING walikuwa ni WATU wenye UKWASI kwa kipindi hicho na ndio waliofanyika kuwa wamiliki wa UCHUMI kwenye SEKTA zote zinazopatikana TANZANIA.

AZIMIO LA TATU kwenye "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" lilikuwa ni suala la DINI. Wale waliokuwa wajumbe wa KIKAO CHA MAADHIMIO YA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS MEETING walikuja na maadhimio ya kuanzisha madhehebu yao ya kidini na kuachana kabisa na madhehebu ya kigeni. Hicho kipindi ndio kilikuwa ni chimbuko la MAKANISA YA KIEVANJILISTI au kwa lugha nyingine wanaita ni MAKANISA YA KIPENTEKOSTE.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA yaani WETCU walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA yaani SHIRECU walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA MWANZA yaani NCU na wao walifanikiwa kuanzisha taasisi yao ya kidini ambayo ni KANISA LA [...] na hilo KANISA limeenea TANZANIA nzima.

Na baada ya kusuasua kwa kipindi kirefu sana tangu mwaka 1968, ile iliyokuwa taasisi ya kiislamu ya TANZANIA yaani BAKWATA ilifanyika kuwa ni taasisi ya kidini iliyo chini ya SERIKALI YA TANZANIA ambapo kwa undani wake unawakuta wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Yaani kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - shughuli zote za kiuchumi za BARAZA LA KIISLAMU LA TANZANIA yaani BAKWATA zinasimamiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU kupitia kampuni zao za kibiashara.

Baada ya hapo - AZIMIO LA NNE lilikuwa ni kuimarisha ULINZI wa ndani na nje ya NCHI dhidi ya maadaui. Kwa kipindi kile HAYATI MWALIMU alitoa fursa kwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA KUJENGA TAIFA ikiwemo JESHI LA POLISI, JESHI LA WANANCHI [ JWTZ ], JESHI LA MAGEREZA, JESHI LA ZIMAMOTO na JESHI LA UHAMIAJI.

Yaani hicho kipindi kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwa upande wa TANZANIA, kwa sababu kuna baadhi ya WATU walihama makabila na kubadilisha majina ya ukoo, wengine walibadilisha dini na hata uraia wa nchi kwa nia ya kuimarisha ULINZI NA USALAMA.

Baada ya kuimarisha ULINZI NA USALAMA WA NDANI YA NCHI - HAYATI MWALIMU alihamia kwenye zile NCHI TATU [ 3 ] ZA RWANDA, BURUNDI NA KONGO na kilichofuata ni historia!!

Kwa upande wa RWANDA walifanikiwa kuitoa SERIKALI iliyoongozwa na JUVÉNAL HABYARIMANA na kumuweka PAUL INGABIRE KAGAME kama ni KIONGOZI KIVULI. Sema kwa sintofahamu uliyokuwa imetanda kipindi kile, WATUSI ambao ndio wachache kwa TAIFA LA RWANDA walionekana kuwa sehemu salama zaidi kuliko watu wengine.

PAUL INGABIRE KAGAME ni NEMBO YA URAISI yaani IDEAL PERSONEL PRESIDENT na aliandaliwa kwenda kuitawala RWANDA, lakini wanaoongoza SERIKALI YA RWANDA ni JESHI LA RWANDA yaani RWANDA DEFENSE FORCE [ RDF ] na walio nyuma ya JESHI LA RWANDA ndio wenye SERIKALI YA RWANDA.

Kwa kutizama na kuangalia PICHA vizuri au kwa wale wataalamu wa "KUNYUMBUA PICHA" yaani "FACIAL DESCRIPTION IDENTIFICATION" - hao ndio wanao ongoza SERIKALI YA RWANDA na hizo SURA zote zipo TANZANIA.

Kwa upande wa BURUNDI walifanikiwa pia kuitoa SERIKALI iliyoongozwa na CYPRIEN NTARYAMIRA. Ilikuwa ni kipindi cha majonzi sana, ukizingatia alikuwa ni KIONGOZI KIJANA na aliyekuwa amebeba matumaini kwa wananchi walio wengi. Lakini tangu mwaka 1994 - SERIKALI YA BURUNDI ilikuwa imeshikiliwa na JESHI.


Kwa upande wa SERIKALI YA BURUNDI na yenyewe inataka kufanana kimuundo na SERIKALI YA RWANDA, kwani zote ni SERIKALI ambazo zinaongozwa KIJESHI.

Hiyo SURA YA KATIKATI ipo TANZANIA na kwa wale wataalamu wa "KUNYUMBUA PICHA" yaani "FACIAL DISCRIPTION IDENTIFICATION" - hiyo SURA YA KATIKATI ipo TANZANIA.


Baada ya kutoka RWANDA na BURUNDI, mabadiliko ya KISIASA yaliendelea mpaka KONGO na kufanikiwa kumuondoa aliyekuwa RAIS WA KONGO - MOBUTU SESE SEKO na kumuweka LAURENT DÉSIRÉ KABILA kuwa RAIS WA KONGO.


Baada ya kukiuka MAKUBALIANO YA REMERA, aliyekuwa RAIS WA KONGO - LAURENT DÉSIRÉ KABILA alifanikiwa kutolewa kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi na SERIKALI ilioongozwa JOSEPH LAURENT KABILA.


Sasa, kwa kipindi hicho ambacho mambo yote yalikuwa yakifanyika - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuwa wanufaika wakubwa wa mabadiliko ya KISIASA kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO. Kwahiyo walijijenga KIUCHUMI kutokana na VITA NA SIASA zilizokuwa zikiendelea kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani kwenye MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.

Vile vile wale wajumbe wote waliopitisha "MAAZIMIO YA TABORA" yaani "TABORA DECLARATIONS" walifanyika kuwa ni miongoni mwa JAMII zinazotengeza ule MFUMO WA SIASA ZA MAFIGA MATATU ukiongeza ile JAMII YA WATU WA PWANI ambayo ndio JAMII inayoongoza kuwa na VIONGOZI wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Kwahiyo "AZIMIO LA TABORA" yaani "TABORA DECLARATION" ndio iliyotoa TASWIRA MPYA NA MUELEKEO WA TANZANIA kama TAIFA tangu mwaka 1991/92 mpaka leo.

Wakudadavuwa haya mambo huwa yanapatikana sana kwenye TELEVISHENI ZA TAIFA kwa upande wa RWANDA yaani RWANDA TV na upande wa BURUNDI yaani RTNB, kwa upande wa KONGO huwa sio sana. Lakini huwa wanajitahidi sana kueleza mambo fulani hususani SIASA kupitia FASIHI SIMULIZI kama NYIMBO na HADITHI.



Kwa mfano, MWEZI JULAI - TAREHE 4 kuna siku ya UKOMBOZI WA TAIFA LA RWANDA na MWEZI JULAI - TAREHE 7, kuna siku ya kuenzi MASHUJAA kwa upande wa TAIFA LA RWANDA. Unaweza kutizama TELEVISHENI YA TAIFA YA RWANDA yaani RWANDA TV. Kuna mambo ambayo huwa wanajitahidi sana kueleza.
 
Wakudadavuwa ngoja nikudokeze kitu kimoja, halafu baadae tutaendelea! Kwa muendelezo wa posti namba 1171 - huu mtindo wa kufanya biashara yaani "ACCORDANCE TO BUSINESS" upo duniani kote na mara nyingi huwa unafanyika na VIONGOZI WA KISERIKALI, TAASISI MBALIMBALI na WAFANYABIASHARA WAKUBWA.

Hata hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA ya RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO [ ZAIRE ] 🇨🇩 na wao pia walikuwa wanafanya biashara na kuwekeza kwa mtindo huo.

Huyu aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 - JUVÉNAL HABYARIMANA aliwekeza pakubwa sana na biashara zake zipo mpaka leo na zinaendelea kukuwa siku kadri ya siku. Hata hapa TANZANIA 🇹🇿 zipo biashara zake.

Huyu JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa ni kiongozi hatari sana, alikuwa anaitwa "KINANI" maana yake ni "MTU ASIYEONEKANA". Alifanikiwa kuwekeza TANZANIA 🇹🇿 kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI 🇧🇪 pamoja na kuzaa watoto. Mtoto wake mmoja ni MTUMISHI WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 - yaani anafanya kazi serikalini.

Hata hizi HARAKATI zote zinazofanyika kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU pamoja na NCHI ZA ULAYA hususani NCHI ZA UFARANSA 🇨🇵, UBELIGIJI 🇧🇪 na USWISI 🇨🇭 kuhusu wale WAHUTU wenye msimamo mkali kurudi RWANDA 🇷🇼 - hizo HARAKATI zote zinadhaminiwa na WATU wa karibu wa aliyekuwa RAIS WA RWANDA 🇷🇼 kupitia biashara zake.

Huyu ni aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA BURUNDI 🇧🇮 na alikuwa anaitwa CYPRIEN NTARYAMIRA. Alikuwa ni kiongozi mstaarabu sana na mpaka kufikia mwaka 1994 - alikuwa tayari amefanikiwa kupenyeza MAMLUKI wengi kwenye NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani TANZANIA 🇹🇿 na biashara zake zipo mpaka leo. Yeye pia alifanikiwa kuwekeza kupitia WATU WENYE ASILI YA UBELIGIJI NA UFARANSA, pamoja na kuzaa watoto kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Yaani hawa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 walitaka kuifanya TANZANIA 🇹🇿 kuwa kama KONGO [ ZAIRE] 🇨🇩. Sasa hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU, lakini hakuwa na namna ya kufanya kwa sababu hiyo ndio SIASA.
Huyu ni aliyekuwa RAIS WA ZAIRE 🇨🇩 [ KONGO ] na alikuwa anaitwa MOBUTU SESE SEKO. Alifanikiwa sana kuwekeza nje ya nchi ya ZAIRE kuliko WATU wengi wanavyodhani na alikuwa anaichokoza SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia hizi NCHI ZA RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮, kwa sababu hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 NA KONGO 🇨🇩 zilikuwa zinaamini kuwa wao ni WATOTO WA MAMA MMOJA.

Kwahiyo hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa zina uwezo wa kufanya jambo kupitia NCHI mojawapo pasipo NCHI nyingine kuweza kufahamu nini kinachoendelea.

Hiki kitendo kilimchukiza sana HAYATI MWALIMU na angeendelea kuwavumilia walikuwa wanaimaliza TANZANIA 🇹🇿, kwa sababu mpaka kufikia mwaka 1990 - hizi NCHI TATU ZA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 zilikuwa tayari zimeshapenyeza MAMLUKI kwenye makabila [ 120 ] yote ya TANZANIA 🇹🇿.

Vile vile hawa waliokuwa VIONGOZI WA KISERIKALI WA MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩 na hasa JUVÉNAL HABYARIMANA alikuwa anawashangaa hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU - yaani ni kwanini wanakubali kutawaliwa na HAYATI MWALIMU ukizingatia wao wana ELIMU, wana FEDHA na idadi yao ukichukua hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ni WATU wengi sana.

Sasa hiki kitendo kiliendelea kumkasilisha sana HAYATI MWALIMU na aliona kama ni FEDHEHA kwa SERIKALI iliyokuwa inaongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
Kwa muendelezo wa posti namba 1172 - hata JIWE kuna taarifa ambazo zinasema kuwa ni MTU aliyekuwa na ASILI ya huko, yaani MHUTU. Taarifa ambazo sio za UKWELI.

dd4f2702d32773b1627d2ef2372d056b.png

Kwa sababu kama angelikuwa ni MTU mwenye ASILI ya huko yaani MHUTU, asingeliweza kufika pale alipofikia hadi kutwaa madaraka ya nchi.

Sema, JIWE alikuwa na tabia zinazofanana moja kwa moja na aliyekuwa RAIS WA RWANDA - JUVÉNAL HABYARIMANA.

Hizo tabia ndio zilikuwa zina UWALAKINI kipindi cha UTAWALA wake, hadi pale umauti ulivyomkuta.
 
Kwa muendelezo wa posti namba 1172 - hata JIWE kuna taarifa ambazo zinasema kuwa ni MTU aliyekuwa na ASILI ya huko, yaani MHUTU. Taarifa ambazo sio za UKWELI.

Kwa sababu kama angelikuwa ni MTU mwenye ASILI ya huko yaani MHUTU, asingeliweza kufika pale alipofikia hadi kutwaa madaraka ya nchi.

Sema, JIWE alikuwa na tabia zinazofanana moja kwa moja na aliyekuwa RAIS WA RWANDA - JUVÉNAL HABYARIMANA.

Hizo tabia ndio zilikuwa zina UWALAKINI kipindi cha UTAWALA wake, hadi pale umauti ulivyomkuta.
Wakudadavuwa - kwa muendelezo wa posti namba 1172, 1173, 1174 na 1175 - baada ya hawa waliokuwa viongozi wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO wakina JUVÉNAL HABYARIMANA, CYPRIEN NTARYAMIRA na MOBUTU SESE SEKO kuwa na watoto kwa upande wa TANZANIA, HAYATI MWALIMU aliamua kufuatilia kilichokuwa kinafanyika ili kufahamu nia na malengo yao.

8add0e8e412e019f1051b79d5bfcf9f6.png

Baadae HAYATI MWALIMU na SERIKALI YA TANZANIA kwa kipindi hicho walifahamu kuwa huo ulikuwa ni UTARATIBU NA MTINDO WA MAISHA kwa VIONGOZI WA MATAIFA yanayotumia LUGHA YA KIFARANSA yaani FRANCOPHONE COUNTRIES.

Hawa VIONGOZI WA MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO waliakisi huo MTINDO kutoka kwa TAIFA LA UBELIGIJI na huwa inaratibiwa na OFISI ZA MARAIS. Kwahiyo ilikuwa sio TABIA MBAYA, bali ilikuwa ni sehemu ya kutimiza majukumu yao ya kikazi.

Baadae, yaani baada ya AZIMIO LA TABORA - huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI NA KONGO ulianza kutumika kwa upande wa TANZANIA na SERIKALI YA TANZANIA ilianza rasmi kuiga na kutumia MFUMO WA KISERIKALI kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI yaani JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI.

Huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO ulianza kutumika kwa upande wa TANZANIA, hasa kwa wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA [ wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na VIONGOZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ].

BlackWhite_2022-07-10_18-29-56-455.jpg

Wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA [ wafanyakazi wa VYAMA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na VIONGOZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ] walianza kuzaliana na wale waliokuwa viongozi na makada kindaki ndaki wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM.

BlackWhite_2022-07-10_18-27-07-619.jpg

Baadae, huo MTINDO WA MAISHA ulienea hadi kwenye MAJESHI, yaani wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA walianza kuzaliana na wale waliokuwa viongozi na makada kindaki ndaki wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na ASKARI [ unaweza kuwa ni ASKARI POLISI, ASKARI JESHI, ASKARI MAGEREZA, ASKARI ZIMAMOTO au ASKARI UHAMIAJI].

Hao ndio ASKARI! Wengine kama hawajawahi kupokea MAAGIZO, ina maana bado ni WALINZI. UASKARI huwa unakuja taratibu ukiwa humo humo JESHINI.

Maana ilikuwa ni kutii MAAGIZO na kufuata MAELEKEZO, yaani ni "ORDER AND OBIDIENCY". Huo ndio MFUMO WA KISERIKALI ambao unaendelea kutumika mpaka leo, hata kwa kizazi kilichofuata baada ya AZIMIO LA TABORA.

Baadae, huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO uliendelea hadi kwa TAIFA LA KENYA. Yaani yalifanyika MAPATANO YA DAMU na watoto wakazaliwa baina ya waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA na wale waliokuwa viongozi wa kisiasa wa CHAMA CHA KANU na SERIKALI YA KENYA.

IMG_20220710_173352.jpg

Kwa mfano, mmoja wa wajumbe wa MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA [ aliyekuwa mfanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA ] alifanikiwa kuzaa na BINTI wa mmoja wa MARAIS WA KENYA na kufanikiwa kupata MTOTO WA KIUME.

Huyo MTOTO WA KIUME ambaye ni MJUKUU WA RAIS anaitwa [...] na anafanana kabisa kabisa na kaka zake wawili waliopo TANZANIA na huyo MTOTO WA KIUME ni miongoni mwa vijana ambao wanaandaliwa kuja kuwa viongozi wa baadae kwa TAIFA LA KENYA.

Vile vile mmoja wa kaka zake, alifanikiwa kuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CoHSS - UDOM [2012/13].

BlackWhite_2022-07-10_19-14-07-752.jpg

Huyo ndio [...] yaani MANING NICE, ikiwa na maana halisi ya jina la KAMPUNI YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO ya MANING NICE.

BlackWhite_2022-07-10_19-16-13-730.jpg

Sasa kizazi kilichofuata, yaani watoto waliozaliwa baada ya AZIMIO LA TABORA huwa hawaambiwi kutii MAAGIZO wala kufuata MAELEKEZO, yaani "ORDER AND OBIDIENCY".

Huwa wanaambiwa hivi - "Sio kwa JITIHADA zenu, ni kwa VINASABA vyenu. Kwahiyo ni KUTII kwa kwenda mbele! Yaani " IT IS NOT YOUR DEFAULT, IT IS YOUR GENES. SO YOU HAVE TO OBEY".

Ndio maana watoto waliopatikana baada ya AZIMIO LA TABORA huwa wanaonekana kama ni sehemu ya MAJESHI, lakini wengine wanakuwa sio ASKARI! Na huwa wanafanyiwa FULL BODY CHECKING UP na ASKARI WA KIKE. Sasa huo ndio MFUMO au kwa jina lingine wanaita ni SYSTEM.

Huu ndio MFUMO au kwa jina lingine wanaita SYSTEM ambao uliasisiwa na HAYATI MWALIMU mwenyewe, wakisaidiana na SERIKALI ya kipindi hicho.

HAYATI MWALIMU alifanya hivyo kwa makusudi kabisa ili kuwakabili wale waliokuwa VIONGOZI WA MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA, BURUNDI na KONGO, kwa sababu pamoja na kufanikiwa kuwatoa madarakani ile DHIMA KUU bado ipo mpaka leo.

BlackWhite_2022-07-10_20-42-58-818.jpg

Kwahiyo kuna ONYO KALI sana kwa wale wote waliofanikiwa kuwa sehemu ya MFUMO au SYSTEM na ikitokea umefanya mapatano ya damu yaani umezaa na hao WATU wenye ASILI hiyo, inakupasa [ ⚰️ ]. Yaani MFUMO au kwa jina lingine wanaita SYSTEM ndio kazi yao hiyo.
 
Wakudadavuwa - kwa muendelezo wa posti namba 1172, 1173, 1174 na 1175 - baada ya hawa waliokuwa viongozi wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO wakina JUVÉNAL HABYARIMANA, CYPRIEN NTARYAMIRA na MOBUTU SESE SEKO kuwa na watoto kwa upande wa TANZANIA, HAYATI MWALIMU aliamua kufuatilia kilichokuwa kinafanyika ili kufahamu nia na malengo yao.

Baadae HAYATI MWALIMU na SERIKALI YA TANZANIA kwa kipindi hicho walifahamu kuwa huo ulikuwa ni UTARATIBU NA MTINDO WA MAISHA kwa VIONGOZI WA MATAIFA yanayotumia LUGHA YA KIFARANSA yaani FRANCOPHONE COUNTRIES.

Hawa VIONGOZI WA MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO waliakisi huo MTINDO kutoka kwa TAIFA LA UBELIGIJI na huwa inaratibiwa na OFISI ZA MARAIS. Kwahiyo ilikuwa sio TABIA MBAYA, bali ilikuwa ni sehemu ya kutimiza majukumu yao ya kikazi.

Baadae, yaani baada ya AZIMIO LA TABORA - huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI NA KONGO ulianza kutumika kwa upande wa TANZANIA na SERIKALI YA TANZANIA ilianza rasmi kuiga na kutumia MFUMO WA KISERIKALI kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI yaani JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI.

Huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO ulianza kutumika kwa upande wa TANZANIA, hasa kwa wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA [ wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na VIONGOZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ].

Wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA [ wafanyakazi wa VYAMA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na VIONGOZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ] walianza kuzaliana na wale waliokuwa viongozi na makada kindaki ndaki wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM.

Baadae, huo MTINDO WA MAISHA ulienea hadi kwenye MAJESHI, yaani wale waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA walianza kuzaliana na wale waliokuwa viongozi na makada kindaki ndaki wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na ASKARI [ unaweza kuwa ni ASKARI POLISI, ASKARI JESHI, ASKARI MAGEREZA, ASKARI ZIMAMOTO au ASKARI UHAMIAJI].

Hao ndio ASKARI! Wengine kama hawajawahi kupokea MAAGIZO, ina maana bado ni WALINZI. UASKARI huwa unakuja taratibu ukiwa humo humo JESHINI.

Maana ilikuwa ni kutii MAAGIZO na kufuata MAELEKEZO, yaani ni "ORDER AND OBIDIENCY". Huo ndio MFUMO WA KISERIKALI ambao unaendelea kutumika mpaka leo, hata kwa kizazi kilichofuata baada ya AZIMIO LA TABORA.

Baadae, huo MTINDO WA MAISHA uliokuwa unatumika kwa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO uliendelea hadi kwa TAIFA LA KENYA. Yaani yalifanyika MAPATANO YA DAMU na watoto wakazaliwa baina ya waliokuwa wajumbe wa mkutano wa AZIMIO LA TABORA na wale waliokuwa viongozi wa kisiasa wa CHAMA CHA KANU na SERIKALI YA KENYA.

Kwa mfano, mmoja wa wajumbe wa MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA [ aliyekuwa mfanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA ] alifanikiwa kuzaa na BINTI wa mmoja wa MARAIS WA KENYA na kufanikiwa kupata MTOTO WA KIUME.

Huyo MTOTO WA KIUME ambaye ni MJUKUU WA RAIS anaitwa [...] na anafanana kabisa kabisa na kaka zake wawili waliopo TANZANIA na huyo MTOTO WA KIUME ni miongoni mwa vijana ambao wanaandaliwa kuja kuwa viongozi wa baadae kwa TAIFA LA KENYA.

Vile vile mmoja wa kaka zake, alifanikiwa kuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CoHSS - UDOM [2012/13].


Huyo ndio [...] yaani MANING NICE, ikiwa na maana halisi ya jina la KAMPUNI YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO ya MANING NICE.
Sasa kizazi kilichofuata, yaani watoto waliozaliwa baada ya AZIMIO LA TABORA huwa hawaambiwi kutii MAAGIZO wala kufuata MAELEKEZO, yaani "ORDER AND OBIDIENCY".

Huwa wanaambiwa hivi - "Sio kwa JITIHADA zenu, ni kwa VINASABA vyenu. Kwahiyo ni KUTII kwa kwenda mbele! Yaani " IT IS NOT YOUR DEFAULT, IT IS YOUR GENES. SO YOU HAVE TO OBEY".

Ndio maana watoto waliopatikana baada ya AZIMIO LA TABORA huwa wanaonekana kama ni sehemu ya MAJESHI, lakini wengine wanakuwa sio ASKARI! Na huwa wanafanyiwa FULL BODY CHECKING UP na ASKARI WA KIKE. Sasa huo ndio MFUMO au kwa jina lingine wanaita ni SYSTEM.

Huu ndio MFUMO au kwa jina lingine wanaita SYSTEM ambao uliasisiwa na HAYATI MWALIMU mwenyewe, wakisaidiana na SERIKALI ya kipindi hicho.

HAYATI MWALIMU alifanya hivyo kwa makusudi kabisa ili kuwakabili wale waliokuwa VIONGOZI WA MATAIFA MATATU [ 3 ] YA RWANDA, BURUNDI na KONGO, kwa sababu pamoja na kufanikiwa kuwatoa madarakani ile DHIMA KUU bado ipo mpaka leo.


Kwahiyo kuna ONYO KALI sana kwa wale wote waliofanikiwa kuwa sehemu ya MFUMO au SYSTEM na ikitokea umefanya mapatano ya damu yaani umezaa na hao WATU wenye ASILI hiyo, inakupasa [ ⚰️ ]. Yaani MFUMO au kwa jina lingine wanaita SYSTEM ndio kazi yao hiyo.
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1176 - hii JAMII YA SERENGETI yaani CHUI na wao pia walifanya mapatano ya damu na watoto walizaliwa kwenye moja ya familia ya RAIS WA UGANDA.

BlackWhite_2022-07-12_23-34-42-812.jpg

Kwahiyo, HAYATI MWALIMU na SERIKALI ya kipindi hicho walijijenga vizuri sana, kiasi ambacho haya MATAIFA MATATU [3] YA AFRIKA YA MASHARIKI yaani TANZANIA, KENYA na UGANDA yalikuwa na yanaendelea kuwa na uhusiano mzuri sana uliochagizwa na UDUGU WA DAMU.

Sasa kipindi hicho ambapo AZIMIO LA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS linatekelezwa, MR CLEAN alikuwa ni WAZIRI WA MAMBO YA NJE na MR ABILITY alikuwa ni KINARA wa KUNDI LA UGANDA LINE yaani KUNDI LA WATANZANIA WALIOSOMA ELIMU YA SEKONDARI NA CHUO KIKUU NCHINI UGANDA.

c62b755b71368b32fe05b97278948759.png

Sasa HAYATI MWALIMU aliwapenda sana wakina MR CLEAN na MR ABILITY, kwa sababu kila kitu walikuwa wanaitikia "NDIO" na alikuwa amewaahidi nafasi ndani ya SERIKALI na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Lakini ilipofika uchaguzi wa mwaka 1995 - yule aliyekuwa MR ABILITY alisema "HAPANA" kwa mara ya kwanza na akasema hivi - "Kama hiyo nafasi ni kwa nia njema, basi itunzeni! Atakuja kuikuta hata mwanangu".

Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 - MR CLEAN alifanikiwa kutangazwa mshindi wa kiti cha URAIS kupitia tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na nafasi ya UWAZIRI MKUU aliyopaswa kuteuliwa MR ABILITY, aliteuliwa MR ZERO.

Na kuanzia hapo, wale wote waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walijikita kwenye BIASHARA zao na kuendelea kudhamini VYAMA VYA KISIASA walivyokuwa wamevianzisha wao wenyewe kipindi cha MFUMO WA VYAMA VINGI.

BlackWhite_2022-07-13_23-03-34-228.jpg

Haikuishia hapo, kwani mwaka 2012/13 yule mtoto wa MR ABILITY alifanikiwa kuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CoHSS - UDOM ambapo MR CLEAN alikuwa ni MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM].
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1176 - hii JAMII YA SERENGETI yaani CHUI na wao pia walifanya mapatano ya damu na watoto walizaliwa kwenye moja ya familia ya RAIS WA UGANDA.

Kwahiyo, HAYATI MWALIMU na SERIKALI ya kipindi hicho walijijenga vizuri sana, kiasi ambacho haya MATAIFA MATATU [3] YA AFRIKA YA MASHARIKI yaani TANZANIA, KENYA na UGANDA yalikuwa na yanaendelea kuwa na uhusiano mzuri sana uliochagizwa na UDUGU WA DAMU.

Sasa kipindi hicho ambapo AZIMIO LA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS linatekelezwa, MR CLEAN alikuwa ni WAZIRI WA MAMBO YA NJE na MR ABILITY alikuwa ni KINARA wa KUNDI LA UGANDA LINE yaani KUNDI LA WATANZANIA WALIOSOMA ELIMU YA SEKONDARI NA CHUO KIKUU NCHINI UGANDA.
Sasa HAYATI MWALIMU aliwapenda sana wakina MR CLEAN na MR ABILITY, kwa sababu kila kitu walikuwa wanaitikia "NDIO" na alikuwa amewaahidi nafasi ndani ya SERIKALI na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Lakini ilipofika uchaguzi wa mwaka 1995 - yule aliyekuwa MR ABILITY alisema "HAPANA" kwa mara ya kwanza na akasema hivi - "Kama hiyo nafasi ni kwa nia njema, basi itunzeni! Atakuja kuikuta hata mwanangu".

Baada ya uchaguzi mkuu wa 1995 - MR CLEAN alifanikiwa kutangazwa mshindi wa kiti cha URAIS kupitia tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na nafasi ya UWAZIRI MKUU aliyopaswa kuteuliwa MR ABILITY, aliteuliwa MR ZERO.

Na kuanzia hapo, wale wote waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walijikita kwenye BIASHARA zao na kuendelea kudhamini VYAMA VYA KISIASA walivyokuwa wamevianzisha wao wenyewe kipindi cha MFUMO WA VYAMA VINGI.

Haikuishia hapo, kwani mwaka 2012/13 yule mtoto wa MR ABILITY alifanikiwa kuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CoHSS - UDOM ambapo MR CLEAN alikuwa ni MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM].
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1177 - baada ya MISTER CLEAN kuwa RAIS WA AWAMU YA TATU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA [ 1995 ], wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuwa wanufaika wakubwa wa UTAWALA wa AWAMU YA TATU.

BlackWhite_2022-07-15_09-08-07-961.jpg

Kwa UMOJA wao, katika kufanya JITIHADA za kujikwamua KIUCHUMI na KIMAENDELEO - hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE kwa ujumla wao, walijikuta wamepiga hatua kubwa sana za KIMAENDELEO na KIUCHUMI kwa kipindi cha muda mfupi.

Na hali hii ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwa sababu wengi waliamini kuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wangelifirisika baada ya kutoka na kuacha kazi kwenye vile VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

BlackWhite_2022-07-15_20-22-15-641.jpg

Lakini hali ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE walikuwa tayari wameshaingia kwenye SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI kwa kujenga viwanda na kumiliki mashamba ya mazao ya biashara kwa NCHI za KENYA na UGANDA.

BlackWhite_2022-07-15_09-09-20-683.jpg

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE baada ya kuingia kwenye MATAIFA ya KENYA na UGANDA ndio ikawa fursa, njia na lango la kusambaa MATAIFA mengine ya AFRIKA, ULAYA, ASIA pamoja na AMERIKA.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1177 - baada ya MISTER CLEAN kuwa RAIS WA AWAMU YA TATU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA [ 1995 ], wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuwa wanufaika wakubwa wa UTAWALA wa AWAMU YA TATU.

Kwa UMOJA wao, katika kufanya JITIHADA za kujikwamua KIUCHUMI na KIMAENDELEO - hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE kwa ujumla wao, walijikuta wamepiga hatua kubwa sana za KIMAENDELEO na KIUCHUMI kwa kipindi cha muda mfupi.

Na hali hii ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwa sababu wengi waliamini kuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU wangelifirisika baada ya kutoka na kuacha kazi kwenye vile VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Lakini hali ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE walikuwa tayari wameshaingia kwenye SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI kwa kujenga viwanda na kumiliki mashamba ya mazao ya biashara kwa NCHI za KENYA na UGANDA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE baada ya kuingia kwenye MATAIFA ya KENYA na UGANDA ndio ikawa fursa, njia na lango la kusambaa MATAIFA mengine ya AFRIKA, ULAYA, ASIA pamoja na AMERIKA.
Kwa hiyo fupisha story kwamba unataka kutupa ujumbe gani sasa kama haya mambo ni kweli.na unavyoongea ni kama kwamba vitu vingi hapa duniani vinamilikiwa na watu wenye asili ya Tanzania.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo fupisha story kwamba unataka kutupa ujumbe gani sasa kama haya mambo ni kweli.na unavyoongea ni kama kwamba vitu vingi hapa duniani vinamilikiwa na watu wenye asili ya Tanzania.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mimi sijasema vitu vingi hapa DUNIANI vinamilikiwa na WATU wenye ASILI ya TANZANIA. Hayo unayasema wewe, sio mimi 🙏🏿

Lakini kuna vitu ambavyo nilikuwa nataka kumuonesha Wakudadavuwa na kumueleza kwa mtiririko ambao hatakuwa na haja ya kuuliza maswali tena.

Ni UKWELI usiokuwa na shaka kuwa WATANZANIA wengi wamekeza nje ya NCHI kuliko WATU wengi wanavyodhani.

BlackWhite_2022-07-16_14-00-23-064.jpg

Kwa mfano, hizi ni bidhaa zinazotengenezwa na kampuni ya kibiashara inayoitwa MUKWANO GROUP. Hii kampuni ya MUKWANO GROUP inapatikana KAMPALA, UGANDA na ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Vilevile, MUKWANO GROUP ni kampuni mweza wa kampuni ya MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LIMITED ambayo inapatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA na inatengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

BlackWhite_2022-07-16_16-27-02-908.jpg

Sasa hizi kampuni huwa zinakua na zinapata fursa ya kukuza BIASHARA zao, aidha kwa kuongeza uzalishaji wa bidhaa au kuhamisha mitaji ya kibiashara na kwenda kuwekeza MATAIFA mengine.

Hii hatua ya kuhamisha mitaji ya kibiashara na kwenda kuwekeza MATAIFA mengine ndio shughuli ambayo huwa inayofanyika kwa kiasi kikubwa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na MISTER CLEAN na kundi lote la UGANDA LINE walikuwa ni WATU wenye AKILI sana na ELIMU pia iliwasaidia.

Kwahiyo kupambana na hawa WATU unatakiwa kuwa na SIASA za KWELI na sio SIASA za UNAFIKI zilizojaa MAJUNGU na NJAA ndani yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom