Tanzania ya sasa kuna uhaba wa wadada wanaojielewa kwa ajili ya kuwa wake za watu

Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.

Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.

Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Na sisi ambao hatukua na madem kipindi icho cha shule, sijui itakuaje๐Ÿคฃ.
Tusubiri kubatizwa na maji ya moto.
 
..๐š”๐š’๐š•๐šŠ ๐š–๐šœ๐š’๐šŒ๐š‘๐šŠ๐š—๐šŠ ๐šž๐š—๐šŠ๐šข๐šŽ๐š–๐š๐šž๐šœ๐šŠ ๐šŠ๐š—๐šŠ ๐š–๐š๐šž ๐š ๐šŠ๐š”e..
Ukiona hivyo huna mkwanja!
 
Maisha yamekua ya hovyo sana sikuhz,
Hata vijana wa kiume hawajui wajibu wao, wanaingia kwny mahusiano kutafta unafuu wa maisha
 
Ukiona hivyo huna mkwanja!
๐Œ๐Ÿ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐ž ๐๐š๐ฉ๐š ๐ฆ๐š๐Ÿ๐ข๐๐จ ๐ˆ๐ง๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ๐ ๐ซ๐š๐ฆ ๐š๐ฎ ๐“๐ข๐ค๐ญ๐จ๐ค, ๐ง๐š๐๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฎ๐ญ๐š๐ž๐ฅ๐ž๐ฐ๐š
 
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia โ€œMadem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziroโ€

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Ukiwa serious sanaa na wanawake utakuja kuoa, wale wa dudu wanachanganya hawasomeki, cha muhimu ni kuishi nao kimalengo tu, akizingua jifanya humtaki na tafuta tena mgine, usiongope kuachana na demu wa kitanzania utaumia ni pasua kichwa.
 
"Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?"
Tukusaidie vp wakati sio wewe! Au ndio Lugha ya picha,Hapa mbona huonekani n
Bro.Anyway...
Nijuavyo mimi wanawake wanajua sisi Tunaishi nao kwa Akili,Kama wewe Huna Akili Utalalamika na kujaza Nyuzi humu wenzio wanakucheka wanakuona Dishi.
 
Hawa mademu pasua kichwa wa Sasa wapo kwa ajili ya wanaume pasua kichwa wa Sasa Sasa wewe jichanganye wa kipindi hicho lazma ulie mbona sisi freshi tu Ni mwendo wakuviziana tu,
 
Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.

Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.

Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
hata huko kijijin wana watu wao pia
 
Actually wakaka na vijana ndio walishaisha kabisa

Hawajielewi tena

Wanatupa tabu sana wazeeโ€ฆ maana tunalea mama zao, mashangazi zaoโ€ฆ. Na sasa mademu zao

Inachosha

Vijana amkeniโ€ฆ. Undeni vikundi vya kupeana stadi z maisha na ujana

Achaneni na betting na kulelewa
Achaneni na betting na kulelewa ... Mstari mkaliii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia โ€œMadem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziroโ€

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Nakazia
 
Kwanza sentensi yake ya kwanza inaonesha hayuko serious ety "mademu" kwanza unaanzaje kumuita mpenzi wako demu ,pumbavu
 
Wakaka wanaojielewa wakwapi? Huyo jamaa yako mwenyewe hajielewi. Marriage is not for everyone waachie wenye kipaji chao
 
Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.

Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia โ€œMadem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziroโ€

Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.

Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.

Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.

Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.

Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.

Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.

Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Kijana kattaaaaa ndoa kwa ajili ya afya ya akili yako kataaa kabisa kataaa ndoa na mapenzi ni utapeli
 
Back
Top Bottom