Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Kutanga ni kitu kimoja...na kuwekeza kwenye miundombinu na rasilimali watu ni kitu tofauti. Huwa tunasahau kuwa elimu ya wananchi wetu ndio asset kubwa kuliko hata hivyo vivutio. Wageni wakija lazima tuonyeshe kwa vitendo tunajua tunachofanya.

Yes mama amefanya matangazo. Kazi kubwa bado ipo ya kuweka nyumba yetu kwenye mpangilio mzuri
 
Kwa taarifa yako, ni asilimia ishirini na tano tu (25%) ya watalii wote duniani ambao hutembelea vivutio kama tulivyo navyo (wanyamapori na maumbo ya asili kama milima) asilimia sabini na tano (75%) iliyobaki hutembelea sehemu za fukwe nzuri (sio chafu kama zetu)
 
Kwa taarifa yako, ni asilimia ishirini na tano tu (25%) ya watalii wote duniani ambao hutembelea vivutio kama tulivyo navyo (wanyamapori na maumbo ya asili kama milima) asilimia sabini na tano (75%) iliyobaki hutembelea sehemu za fukwe nzuri (sio chafu kama zetu)
Hii hesabu umetoa wapi? Unamaanisha mtu atoke Mexico aende Australia kwenye fukwe za bahari hiyohiyo?

Watalii wengi wanataka kuona vitu vya asili fukwe ziko kote duniani.

Acha kudanganya
 
Kwa taarifa yako, ni asilimia ishirini na tano tu (25%) ya watalii wote duniani ambao hutembelea vivutio kama tulivyo navyo (wanyamapori na maumbo ya asili kama milima) asilimia sabini na tano (75%) iliyobaki hutembelea sehemu za fukwe nzuri (sio chafu kama zetu)
Wanakwenda kwenye fukwe kwasababu ndizo zinapatikana,
 
Huduma zetu ni mbovu...

Wakaribishaji wetu (Port of Entry) ni wabovu, wana lugha chafu, hawajali, wapenda kitu kidogo....
Huko kote sawa la miundo mbinu ya Kenya hasa kuelekea mbugani ni hovyo balaa,sisi kwenye miundo mbinu ya mbugani tupo vizuri
 
Zaidi ya mlima kilimanjaro,ngorongpro na serengeti vilivyobaki ni uchafu tu.kwanza hao simba na twiga ntawsona kwenye zoo su tv
 
NATAKA SAMIA WALAU TUMPE MIAKA 20 TU
MAMA ANAMAONO MAKALI SANA
KWELI TANZANIA KWENYE UTALII TUMESHINDWA
NASEMA NAMTAKA SAMIA MPAKA 2040
 
Nafikiri kila taasisi na kila mtu anatakiwa kushiriki kuendesha na kufaidika na biashara ya utalii. Hapo ndipo tutaukuza. Utalii isiwe kazi iliyohodhiwa na TANAPA na TTB tu.

Mfano, magofu yote ya Bagamoyo wanaweza kupewa mzabuni binafsi kwa mkataba. Atayatangaza na kuyatunza. Atapeleka kodi.

Mzabuni apewe kitu kamw kisiwa cha Mbudya atangaze na kufanya maboresho yanayokubaliwa.

Lake ngozi apewe muwekezaji, ajenge ngazi, aweke boti mule, ajenge vyoo, alitangaze nk. Ifanyike hivyo hata kwenye vivutio vidogo kabisa.

Utalii ni matangazo, na watu binafsi wapo agressive sana kutangaza
 
Umeongea kitu cha msingi Sana, Wenye namba ya Mama mpelekeeni hii comment

QUOTE="Red Giant, post: 40207894, member: 73501"]
Nafikiri kila taasisi na kila mtu anatakiwa kushiriki kuendesha na kufaidika na biashara ya utalii. Hapo ndipo tutaukuza. Utalii isiwe kazi iliyohodhiwa na TANAPA na TTB tu.

Mfano, magofu yote ya Bagamoyo wanaweza kupewa mzabuni binafsi kwa mkataba. Atayatangaza na kuyatunza. Atapeleka kodi.

Mzabuni apewe kitu kamw kisiwa cha Mbudya atangaze na kufanya maboresho yanayokubaliwa.

Lake ngozi apewe muwekezaji, ajenge ngazi, aweke boti mule, ajenge vyoo, alitangaze nk. Ifanyike hivyo hata kwenye vivutio vidogo kabisa.

Utalii ni matangazo, na watu binafsi wapo agressive sana kutangaza
[/QUOTE]
 
Hii hesabu umetoa wapi? Unamaanisha mtu atoke Mexico aende Australia kwenye fukwe za bahari hiyohiyo?

Watalii wengi wanataka kuona vitu vya asili fukwe ziko kote duniani,
Acha kudanganya
Kuna mawili, inawezekana wewe ni mwanaccm au una elimu ya miamba hivyo kubishana na wewe ni kupoteza muda.
 
Huduma zetu ni mbovu...

Wakaribishaji wetu (Port of Entry) ni wabovu, wana lugha chafu, hawajali, wapenda kitu kidogo

Polisi wetu huwasumbua sana Tour Operators

Wizi

Ubovu wa miundombinu kuanzia wanapoingia nchini hadi huko kwenye Utalii penyewe

Fukwe zetu ni chafu sanaa

Siasa zetu ni mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, tatizo letu ni
-poor infrastructure--mahoteli mabovu, huduma mbovu, barabara mbovu
-low professionalism-- tour guides wapo very unprofessional, tour companies zina huduma mbovu
-unnecessarily high tour charges--watalii wengi wanalipa gharama kubwa mno kwa huduma zisizoridhisha
 
CM 1774858 ,

..katika andiko lako umesema 80% ya watalii wanaotembelea vivutio vya Brazil ni WAZAWA.

..Tatizo letu Tanzania ni kwamba tunapozungumzia utalii tunalenga 100% watalii wanaotoka nje.

..Tunatakiwa tujiwekee malengo ya kuongeza watalii WAZAWA WA TANZANIA ili kufidia nakisi ya Watalii wa nje.

..Tuangalie nchi za wenzetu wametumia MBINU gani kuongeza watalii wazawa ili na sisi tuweze kuiga.

Cc Opportunity Cost
 
CM 1774858 ,

..katika andiko lako umesema 80% ya watalii wanaotembelea vivutio vya Brazil ni WAZAWA.

..Tatizo letu Tanzania ni kwamba tunapozungumzia utalii tunalenga 100% watalii wanaotoka nj
Yes hoja yako safi sana,

Royal Tour itastimulate pia soko la ndani la Utali,

Kuna watu wako Tanzania hawajui hata Serengeti iko Mkoa gani?
 
Back
Top Bottom