Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Haya ndiyo matatizo ya nchi yetu, kwa sasa tumegeukia Utalii kama njia ya kunyenyua uchumi wetu baada ya viwanda kushindikana.

Kila awamu na priority yake, hapa ndipo tunapokwamia - hatuna mwendelezo wa hizi awamu unaosimamiwa na sheria.
Hebu eleza wewe kama CHADEMA ukipewa hii nchi utafanya mambo gani?
 
Gharama kubwa Sana za kutalii sababu ya kodi, maslai duni kwa waajiriwa wa sekta nzima ya utalii kuanzia airport, hotelini, mbugani, nk.
 
Mapendekezo yako ni yepi?
Ondoa baadhi ya kodi kwenye kutalii mfano vifaa vya mbugani,Mimi napinga Sana mambo ya bei mbili kwenye utoaji huduma wakati kiwango cha matumizi ni kile kile ukienda hotel, mbugani,boat za kwenda zanzbar kuna bei ya foreigners na bei ya watz huu ni ubaguzi kabisa, nini hii sasa. Toka airport to city center mgeni atachajiwa dollar 50 hadi 200, wakati mbongo analipa elf 25.
Mfano kutalii Morocco gharama ni mara 5 chini ya kutalii Tza, wakienda maduka ya utalii wanabamizwa bei hatari,tena wauzaji awataki kabisa waone mgeni kaambatana na mbongo wanajua mbongo ataharibu bei,kitu cha elf 10 wanabamizwa hadi dollar 50 huu ni wizi kabisa.Bei ziwe flat rate kwa wote mbongo umekuja kwa basi au mguu mwenzake kalipa ndege milioni 3 kuja bongo.
Mbona tukienda kwao kwenye huduma zao hawana bei mbilimbili.
 
Hebu eleza wewe kama CHADEMA ukipewa hii nchi utafanya mambo gani?
Nitaendeleza mazuri ya waliotangulia kuanzia enzi za Mjerumani hadi awamu ya sita lakini mabaya kama utekaji na unyanyasaji hayotokuwepo kamwe kwenye utawala wangu.
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Huyu mama anafanya vitu vikubwa sana,

TUACHE UNAFIKI,
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Kumekucha Zanzibar,
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Royal Tour Film ni hatari duniani,
 
Back
Top Bottom