SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,384
- 892
Tanzania ni nchi ambayo ukisema ukweli wanakuzika kama analogia kwenda digital,sisi wanyonge ngoja tuendelee kutoa maoni kabla malaika wa kuzima mitandao hajafika na sambamba tukiwa tunasubiri Tanzania ya viwanda vya kufyatua.Ndio maana wanakazana kutaka kuifunga mitandao ya kijamii kwa faida hizo! Ama kweli hii nchi inaendeshwa kihasara hasara tu! nadhani tukibahatika kufika hio 2020 basi nchi hii itakuwa imefililisika kabisa. Hio ndio Tanzania ya Viwanda!