CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,912
Jeshi la polisi la Tanzania pamoja na mbwembwe zote wanaishi kwenye mabanda kama bata mzinga, wanazidiwa hata na askari polisi wa somalia
Hahahahahahahahaaaaaaaa!!!!Jeshi la polisi la Tanzania pamoja na mbwembwe zote wanaishi kwenye mabanda kama bata mzinga, wanazidiwa hata na askari polisi wa somalia
Kama upo Ar tembelea maeneo ya kaloleni na faya utayakuta hayo mabanda na police wanaishi humo. Kwanza unakaribishwa na watoto weeengi afu wachafuuuuu!acheni uzushi bana vibanda vyote vilishabomolewa na sasa askari wanaishi katika mijengo ya maana ya ghorofa zilizojengwa na nssf anayebisha anitafute nimpe ushahidi acheni stori za abunuasi za miaka ile tunapata uhuru mambo ya mebadilika jeshi siki hizi linafanya kazi kwa inteligensia na sayansi na tekelinojia