Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Katika utafiti uliofanywa na the Economist Intelligency Unit Tanzania imeshika nafasi ya 90 kati ya nchi 165 duniani. Kwa upande wa Afrika Mashariki Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa demokrasia. Should JK brag on this?
Source: The Citizen
Source: The Citizen