Tanzania ya Kidemokrasia itapendeza, lakini haya tunayafanyaje? Wengine tunaogopa kweli

Mkuu, kuna nchi moja inaitwa Brunei. Inaongozwa na sultan said ibn khabus. Ni nchi moja maridhawa kabisa.mji wake mkuu unaitwa daru es salaam
Kwahiyo unakubaliana na mimi kuwa hebu tujaribu kuitawaza familia moja ya Kitanzania ili wawe absolute Power halafu tuwaachie watuongoze tuone

Kuna shida moja tunaweza kujikuta kama Swaziland ambako Mfalme majukumu ya Nchi anaacha anaanza kukimbizana na kuwabikiri Wasichana wadogo

Lakini mbona nje ya Bara hili wameweza?
 
Kwahiyo unakubaliana na mimi kuwa hebu tujaribu kuitawaza familia moja ya Kitanzania ili wawe absolute Power halafu tuwaachie watuongoze tuone

Kuna shida moja tunaweza kujikuta kama Swaziland ambako Mfalme majukumu ya Nchi anaacha anaanza kukimbizana na kuwabikiri Wasichana wadogo

Lakini mbona nje ya Bara hili wameweza?
Hapana mkuu, nimechombeza tu ila sikubaliani na wazo hilo.

Wazo hilo litaleta matatizo mengi. Tatizo la kwanza ni tatizo la legitimacy. Familia hiyo itapatavwapi mamlaka dhidi ya familia nyingine? Yaani kwa nini hiyo?

Tatizo la pili, je ikiwa familia ya wendawazimu?

Tatizo la tatu wabunge na madiwani watakuwepo au hawatakuwepo?
 
Mkuu, mimi natetea demokrasia. Siungi mkono udikteta maana ni hatari.

Umemzungumzia SSH, huyo ana busara na hekima katikati ya jamii yenyewe watu kibao walioelezwa kwenye mada ya msingi. Kwa hiyo tushukuru Mungu huyo katokea na kwa bahati ni muungwana. Yaani ni sawa na kushida betting, kwa maana upo uwezekano siku moja akatokea mtu ambaye hakuwahi kutarajiwa na akafanya miujiza.
Nimekuelewa MKUU, BWANA awe juu YAKO MKUU, na imekua
 
Mkuu labda tatizo liko kwenye IQ zetu,kulikuwa na minong'ono kuwa sisi Waafrika Weusi hatuna uwezo wa kujitawala na kuanzisha ustaarabu.
Au labda tujaribu usultan, tunakuwa na sultan mmoja hivi halafu anatafutiwa mabinti kama 30 kama regulator, yaani kama mswati flani hivi, halafu tunasoma upepo tuone hahahahahh
 
Declaration of interest
*********
Interest 1. Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa, pamoja na changamoto zake, bado mfumo wa demokrasia ndio mfumo bora zaidi wa kiutawala unaopaswa kufuatwa na mataifa yote duniani kwa sababu ya ubora wake ukilinganisha na mfumo mingine. Kwa mantiki hiyo, natamani tuwe na nchi yenye demokrasia makini na imara.
*******"
2. Naamini chini ya uongozi wa Rais huyu wa awamu ya sita, demokrasia itaimarika 'relatively' na hapo kabla licha ya presha ya makundi maslahi. Hii ni kwa sababu mama ni mtu muungwana na mwenye hekma.
*********
Hoja yangu sasa, pamoja na uzuri wa demokrasia, kuna hatari mbaya sana kutokana na jamii yetu ilivyo ambayo kwa bahati mbaya huwa haijadiliwi sijui ni kwa nini.

Ikumbukwe kanuni mama ya demokrasia ni 'kuendeana na upepo wa wengi huku wachache wakivumiliwa na kulindwa'.

Kwa mantiki hiyo, katika demokrasia iliyokomaa;maamuzi ya wengi ndio hutakiwa kutekelezwa bila kujali ni mazuri au mabaya. Aidha, ili uchaguliwe kuongoza umma kwa mfano, unatakiwa kuendeana na mapigo ya wengi hata kama hao wengi wanataka ufanye jambo la kijinga.

Sasa basi, kwa bahati mbaya kwenye jamii yetu iko hivi:-

Tuna watu wengi wanaopenda kushangilia ujinga kuliko mambo ya maana. Kwa mantiki hiyo, kama kuna demokrasia kamili kuna hatari kubwa mbili.

Kwanza, wanaotaka kuchaguliwa watajikuta wakiwajibika kufanya mambo ambayo hayaingii akilini na pengine ya kijinga kabisa ili kuliridhisha kundi hili kubwa tu ili wachaguliwe na

pili, tunaweza kufika hatua tukakuta nchi inasimamia mawazo ya ajabu sana simply kwa sababu ndio mawazo ya wengi.

Aidha, tuna watu wengi sana ambao hupenda kusikia story mbaya kutoka kwa wenzao kuliko story za mafanikio. Watu hawa hupata raha sana kuona waliko juu wanashushwa chini kuliko wanavyofurahi wao wenyewe wakinyanyuliwa juu.

Kwa mantiki hiyo, katika mazingira ya fully democracy kwenye jamii ya namna hii, kiongozi anaweza kujikuta akilazimika kuwashusha waliofanikiwa ambao ni wachache ili kuwaridhisha wengi waliokwama badala ya kinyume chake. Wakati flani kiongozi mwenyewe anaweza kuwa hapendi, lakini ndio demokrasia inataka.

Nitaomba nitoe mifano kadhaa zaidi ili kuweka vizuri mada hii.

Tanzania tuna watu ambao hawakubali kabisa hoja za ukweli bali wanakubali sana propaganda, na ndio maana tumekuwa watu wa cheap propaganda ili kuridhisha kundi hili ambalo ni kubwa kweli.

Tuna watu wanapenda 'ubuyu' kuliko hoja za maana. Ndio maana hata kwenye social media mijadala ya maana haina wafuatiliaji wala wachagiaji.

Kwa hiyo katika democrasia kamili ambayo ni upepo wa wengi, ukitaka kushika wengi unatakiwa uwe unaongea umbea ujingaujinga na uzandiki. Just think about it!

Tanzania tuna watu ambao wako tayari kumsapoti darasa la saba kwa kuwa anachekesha na kumkataa profesa ambaye amefanya reserch kwenye jambo 'profesional' pengine kwenye mjadala juu ya namna ya kudhibiti mtungi wa neuclear usivuje.

Ikumbukwe hata kwenye tume ya kuwauliza watanzania kama wanataka vyama vingi au la? Wengi walisema hawataki. Kwa hiyo Nyerere asingetumia logic binafsi kuforce viwepo, ungekuta hakuna vyama vingi hadi leo na ni maamuzi ya kidemokrasia.

Mifano ni mingi, haiwezi kuisha.

Sasa Swali ni je! Wakati tunaitetea Tanzania ya kidemokrasia kwa upande mmoja, Tunashugulikia je Janga hili la kijamii kwa upande wa pili?

Kwa upande wangu, nadhani tunatakiwa kupigania kutoa elimu kwa jamii na kuishawishi ibadilike kuliko hata nguvu tunayotumia kuipigania demokrasia yenyewe. Hata hiyo hii haimaanishi kwamba hatuhitaji Tanzania ya kidemokrasia, tunaihitaji sana.
Hoja yako ni nzuri,ila kiongozi aliye bora na mzuri ni yule mwenye ushawisi kwa watu wake,na mwenye mtazamo wenye kuzingatia mambo mema,kwa maana hiyo anauwezo wakuielekeza jamii kufuata yaliyo mema mbali na uamuzi wa wengi tu.Hivyo anauwezo wa kushawishi wa uandaaji na upitishwaji wa sheria zilizo bora kwa manufaa ya wote bado zikizingatia maslahi ya hata walio wachache,kwa yale mambo ya msingi.
 
Declaration of interest
*********
Interest 1. Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa, pamoja na changamoto zake, bado mfumo wa demokrasia ndio mfumo bora zaidi wa kiutawala unaopaswa kufuatwa na mataifa yote duniani kwa sababu ya ubora wake ukilinganisha na mfumo mingine. Kwa mantiki hiyo, natamani tuwe na nchi yenye demokrasia makini na imara.
*******"
2. Naamini chini ya uongozi wa Rais huyu wa awamu ya sita, demokrasia itaimarika 'relatively' na hapo kabla licha ya presha ya makundi maslahi. Hii ni kwa sababu mama ni mtu muungwana na mwenye hekma.
*********
Hoja yangu sasa, pamoja na uzuri wa demokrasia, kuna hatari mbaya sana kutokana na jamii yetu ilivyo ambayo kwa bahati mbaya huwa haijadiliwi sijui ni kwa nini.

Ikumbukwe kanuni mama ya demokrasia ni 'kuendeana na upepo wa wengi huku wachache wakivumiliwa na kulindwa'.

Kwa mantiki hiyo, katika demokrasia iliyokomaa;maamuzi ya wengi ndio hutakiwa kutekelezwa bila kujali ni mazuri au mabaya. Aidha, ili uchaguliwe kuongoza umma kwa mfano, unatakiwa kuendeana na mapigo ya wengi hata kama hao wengi wanataka ufanye jambo la kijinga.

Sasa basi, kwa bahati mbaya kwenye jamii yetu iko hivi:-

Tuna watu wengi wanaopenda kushangilia ujinga kuliko mambo ya maana. Kwa mantiki hiyo, kama kuna demokrasia kamili kuna hatari kubwa mbili.

Kwanza, wanaotaka kuchaguliwa watajikuta wakiwajibika kufanya mambo ambayo hayaingii akilini na pengine ya kijinga kabisa ili kuliridhisha kundi hili kubwa tu ili wachaguliwe na

pili, tunaweza kufika hatua tukakuta nchi inasimamia mawazo ya ajabu sana simply kwa sababu ndio mawazo ya wengi.

Aidha, tuna watu wengi sana ambao hupenda kusikia story mbaya kutoka kwa wenzao kuliko story za mafanikio. Watu hawa hupata raha sana kuona waliko juu wanashushwa chini kuliko wanavyofurahi wao wenyewe wakinyanyuliwa juu.

Kwa mantiki hiyo, katika mazingira ya fully democracy kwenye jamii ya namna hii, kiongozi anaweza kujikuta akilazimika kuwashusha waliofanikiwa ambao ni wachache ili kuwaridhisha wengi waliokwama badala ya kinyume chake. Wakati flani kiongozi mwenyewe anaweza kuwa hapendi, lakini ndio demokrasia inataka.

Nitaomba nitoe mifano kadhaa zaidi ili kuweka vizuri mada hii.

Tanzania tuna watu ambao hawakubali kabisa hoja za ukweli bali wanakubali sana propaganda, na ndio maana tumekuwa watu wa cheap propaganda ili kuridhisha kundi hili ambalo ni kubwa kweli.

Tuna watu wanapenda 'ubuyu' kuliko hoja za maana. Ndio maana hata kwenye social media mijadala ya maana haina wafuatiliaji wala wachagiaji.

Kwa hiyo katika democrasia kamili ambayo ni upepo wa wengi, ukitaka kushika wengi unatakiwa uwe unaongea umbea ujingaujinga na uzandiki. Just think about it!

Tanzania tuna watu ambao wako tayari kumsapoti darasa la saba kwa kuwa anachekesha na kumkataa profesa ambaye amefanya reserch kwenye jambo 'profesional' pengine kwenye mjadala juu ya namna ya kudhibiti mtungi wa neuclear usivuje.

Ikumbukwe hata kwenye tume ya kuwauliza watanzania kama wanataka vyama vingi au la? Wengi walisema hawataki. Kwa hiyo Nyerere asingetumia logic binafsi kuforce viwepo, ungekuta hakuna vyama vingi hadi leo na ni maamuzi ya kidemokrasia.

Mifano ni mingi, haiwezi kuisha.

Sasa Swali ni je! Wakati tunaitetea Tanzania ya kidemokrasia kwa upande mmoja, Tunashugulikia je Janga hili la kijamii kwa upande wa pili?

Kwa upande wangu, nadhani tunatakiwa kupigania kutoa elimu kwa jamii na kuishawishi ibadilike kuliko hata nguvu tunayotumia kuipigania demokrasia yenyewe. Hata hiyo hii haimaanishi kwamba hatuhitaji Tanzania ya kidemokrasia, tunaihitaji sana.

Umezungumzia demokrasia kama jambo gumu sana, ukweli hiyo demokrasia kwetu inakuwa ngumu kwasababu sehemu kubwa watu wanaoongozwa na hila, na madaraka ni sehemu ya ulaji.
 
Umeongea jambo la maana sana mkuu. Sasa changomoto nyingine ni kwamba kinyume cha demokrasia ni udicteta wa mtu mmoja au kikundi cha watu.

Kwa bahati mbaya ni kwamba nje ya demokrasia, hakuna mfumo mzuri unaoeleweka unaoeleza viongozi wapatikaneje na wanapata wapi mamlaka ya kutawala wengine na haki hiyo wanaipataje.

Kwa bahati mbaya zaidi, viongozi wa nchi ni zao la jamii husika. Kwa hiyo kama jamii imejaa watu waliotajwa kwenye hoja ya msingi, it is likely kuwa na viongozi wenye fikra hizo hizo halafu kwa kuwa hakuna demokrasia , wanakuwa uncontrolable na kufanya uharibifu mkumbwa katika ardhi na jamii ya mwanadamu kwa ujumla huku kukiwa hakuna hata anayekohoa! Anaanzia watu labda?

Ndio maana nafikiri jambo hili tunatakiwa kuliangalia kwa umakini mkubwa huku kwenye grassroot 'jamii yenyewe'.
Declaration of interest
*********
Interest 1. Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa, pamoja na changamoto zake, bado mfumo wa demokrasia ndio mfumo bora zaidi wa kiutawala unaopaswa kufuatwa na mataifa yote duniani kwa sababu ya ubora wake ukilinganisha na mfumo mingine. Kwa mantiki hiyo, natamani tuwe na nchi yenye demokrasia makini na imara.
*******"
2. Naamini chini ya uongozi wa Rais huyu wa awamu ya sita, demokrasia itaimarika 'relatively' na hapo kabla licha ya presha ya makundi maslahi. Hii ni kwa sababu mama ni mtu muungwana na mwenye hekma.
*********
Hoja yangu sasa, pamoja na uzuri wa demokrasia, kuna hatari mbaya sana kutokana na jamii yetu ilivyo ambayo kwa bahati mbaya huwa haijadiliwi sijui ni kwa nini.

Ikumbukwe kanuni mama ya demokrasia ni 'kuendeana na upepo wa wengi huku wachache wakivumiliwa na kulindwa'.

Kwa mantiki hiyo, katika demokrasia iliyokomaa;maamuzi ya wengi ndio hutakiwa kutekelezwa bila kujali ni mazuri au mabaya. Aidha, ili uchaguliwe kuongoza umma kwa mfano, unatakiwa kuendeana na mapigo ya wengi hata kama hao wengi wanataka ufanye jambo la kijinga.

Sasa basi, kwa bahati mbaya kwenye jamii yetu iko hivi:-

Tuna watu wengi wanaopenda kushangilia ujinga kuliko mambo ya maana. Kwa mantiki hiyo, kama kuna demokrasia kamili kuna hatari kubwa mbili.

Kwanza, wanaotaka kuchaguliwa watajikuta wakiwajibika kufanya mambo ambayo hayaingii akilini na pengine ya kijinga kabisa ili kuliridhisha kundi hili kubwa tu ili wachaguliwe na

pili, tunaweza kufika hatua tukakuta nchi inasimamia mawazo ya ajabu sana simply kwa sababu ndio mawazo ya wengi.

Aidha, tuna watu wengi sana ambao hupenda kusikia story mbaya kutoka kwa wenzao kuliko story za mafanikio. Watu hawa hupata raha sana kuona waliko juu wanashushwa chini kuliko wanavyofurahi wao wenyewe wakinyanyuliwa juu.

Kwa mantiki hiyo, katika mazingira ya fully democracy kwenye jamii ya namna hii, kiongozi anaweza kujikuta akilazimika kuwashusha waliofanikiwa ambao ni wachache ili kuwaridhisha wengi waliokwama badala ya kinyume chake. Wakati flani kiongozi mwenyewe anaweza kuwa hapendi, lakini ndio demokrasia inataka.

Nitaomba nitoe mifano kadhaa zaidi ili kuweka vizuri mada hii.

Tanzania tuna watu ambao hawakubali kabisa hoja za ukweli bali wanakubali sana propaganda, na ndio maana tumekuwa watu wa cheap propaganda ili kuridhisha kundi hili ambalo ni kubwa kweli.

Tuna watu wanapenda 'ubuyu' kuliko hoja za maana. Ndio maana hata kwenye social media mijadala ya maana haina wafuatiliaji wala wachagiaji.

Kwa hiyo katika democrasia kamili ambayo ni upepo wa wengi, ukitaka kushika wengi unatakiwa uwe unaongea umbea ujingaujinga na uzandiki. Just think about it!

Tanzania tuna watu ambao wako tayari kumsapoti darasa la saba kwa kuwa anachekesha na kumkataa profesa ambaye amefanya reserch kwenye jambo 'profesional' pengine kwenye mjadala juu ya namna ya kudhibiti mtungi wa neuclear usivuje.

Ikumbukwe hata kwenye tume ya kuwauliza watanzania kama wanataka vyama vingi au la? Wengi walisema hawataki. Kwa hiyo Nyerere asingetumia logic binafsi kuforce viwepo, ungekuta hakuna vyama vingi hadi leo na ni maamuzi ya kidemokrasia.

Mifano ni mingi, haiwezi kuisha.

Sasa Swali ni je! Wakati tunaitetea Tanzania ya kidemokrasia kwa upande mmoja, Tunashugulikia je Janga hili la kijamii kwa upande wa pili?

Kwa upande wangu, nadhani tunatakiwa kupigania kutoa elimu kwa jamii na kuishawishi ibadilike kuliko hata nguvu tunayotumia kuipigania demokrasia yenyewe. Hata hiyo hii haimaanishi kwamba hatuhitaji Tanzania ya kidemokrasia, tunaihitaji sana.
Mkuu hoja yako ni nzuri sana ma inafikirisha sana. Lakini kama uliyodokeza tatizo la msingi hapa ni elimu.

Sasa swali ni je tuendelee na udikteta ambapo hata fursa ya kuelimisha jamii kuondokana na ujinga inakuwa finyu. Au turuhusu demokrasia ambapo tupata fursa na mazingira mazuri ya kuwaelimisha watu bila bughdha.

Binafsi naona ni bora tuwe na demokrasia hata kama watu watatumia nafasi hiyo kuwalisha watu uongo na kwakuwa wengi wetu tunapenda sana ubuyu kuliko uhalisi kutokana na kiwango chetu cha elimu ya ufahamu wa masuala ya msingi kuwa ndogo. Kuliko ilivyo sasa watu hawatumii tena ushawishi zaidi ya kupora au kutimia vitisho katika kutafuta uungwaji mkono.
 
Umezungumzia demokrasia kama jambo gumu sana, ukweli hiyo demokrasia kwetu inakuwa ngumu kwasababu sehemu kubwa watu wanaoongozwa na hila, na madaraka ni sehemu ya ulaji.
Uko sahihi kabisa. Sasa kwa nini inakuwa hila na ulaji? Jibu ni kwa sababu ya vile jamii ilivyo. Jamii ikoje? Iko kama ilivyoelezwa kwenye post no.1.

Tufanye nini sasa? Kwa maoni yangu pamoja na kuipigania demokrasia yenyewe , tuwekeze nguvu kubwa zaidi kwenye kubadili mtizamo wa jamii kuwa positive.
 
Uko sahihi kabisa. Sasa kwa nini inakuwa hila na ulaji? Jibu ni kwa sababu ya vile jamii ilivyo. Jamii ikoje? Iko kama ilivyoelezwa kwenye post no.1.

Tufanye nini sasa? Kwa maoni yangu pamoja na kuipigania demokrasia yenyewe , tuwekeze nguvu kubwa zaidi kwenye kubadili mtizamo wa jamii kuwa positive.

Hao wananchi ni kama unawasingizia tu, kwa sasa hata hao wananchi hawana uwezo wa kuchagua tena viongozi, na viongozi wanaoingia madarakani kwa shuruti, wanafanya watakavyo kwa kuwaburuza wananchi. Mimi naamini kabisa, rasimu ya Warioba inaweza kuliweka taifa letu kwenye njia nzuri ya demokrasia, lakini mpaka ipite, machafuko tu ndio njia iliyobaki. Hizo nyingine ni porojo tu kaka.
 
Declaration of interest
*********
Interest 1. Mimi ni moja ya watu wanaoamini kuwa, pamoja na changamoto zake, bado mfumo wa demokrasia ndio mfumo bora zaidi wa kiutawala unaopaswa kufuatwa na mataifa yote duniani kwa sababu ya ubora wake ukilinganisha na mfumo mingine. Kwa mantiki hiyo, natamani tuwe na nchi yenye demokrasia makini na imara.
*******"
2. Naamini chini ya uongozi wa Rais huyu wa awamu ya sita, demokrasia itaimarika 'relatively' na hapo kabla licha ya presha ya makundi maslahi. Hii ni kwa sababu mama ni mtu muungwana na mwenye hekma.
*********
Hoja yangu sasa, pamoja na uzuri wa demokrasia, kuna hatari mbaya sana kutokana na jamii yetu ilivyo ambayo kwa bahati mbaya huwa haijadiliwi sijui ni kwa nini.

Ikumbukwe kanuni mama ya demokrasia ni 'kuendeana na upepo wa wengi huku wachache wakivumiliwa na kulindwa'.

Kwa mantiki hiyo, katika demokrasia iliyokomaa;maamuzi ya wengi ndio hutakiwa kutekelezwa bila kujali ni mazuri au mabaya. Aidha, ili uchaguliwe kuongoza umma kwa mfano, unatakiwa kuendeana na mapigo ya wengi hata kama hao wengi wanataka ufanye jambo la kijinga.

Sasa basi, kwa bahati mbaya kwenye jamii yetu iko hivi:-

Tuna watu wengi wanaopenda kushangilia ujinga kuliko mambo ya maana. Kwa mantiki hiyo, kama kuna demokrasia kamili kuna hatari kubwa mbili.

Kwanza, wanaotaka kuchaguliwa watajikuta wakiwajibika kufanya mambo ambayo hayaingii akilini na pengine ya kijinga kabisa ili kuliridhisha kundi hili kubwa tu ili wachaguliwe na

pili, tunaweza kufika hatua tukakuta nchi inasimamia mawazo ya ajabu sana simply kwa sababu ndio mawazo ya wengi.

Aidha, tuna watu wengi sana ambao hupenda kusikia story mbaya kutoka kwa wenzao kuliko story za mafanikio. Watu hawa hupata raha sana kuona waliko juu wanashushwa chini kuliko wanavyofurahi wao wenyewe wakinyanyuliwa juu.

Kwa mantiki hiyo, katika mazingira ya fully democracy kwenye jamii ya namna hii, kiongozi anaweza kujikuta akilazimika kuwashusha waliofanikiwa ambao ni wachache ili kuwaridhisha wengi waliokwama badala ya kinyume chake. Wakati flani kiongozi mwenyewe anaweza kuwa hapendi, lakini ndio demokrasia inataka.

Nitaomba nitoe mifano kadhaa zaidi ili kuweka vizuri mada hii.

Tanzania tuna watu ambao hawakubali kabisa hoja za ukweli bali wanakubali sana propaganda, na ndio maana tumekuwa watu wa cheap propaganda ili kuridhisha kundi hili ambalo ni kubwa kweli.

Tuna watu wanapenda 'ubuyu' kuliko hoja za maana. Ndio maana hata kwenye social media mijadala ya maana haina wafuatiliaji wala wachagiaji.

Kwa hiyo katika democrasia kamili ambayo ni upepo wa wengi, ukitaka kushika wengi unatakiwa uwe unaongea umbea ujingaujinga na uzandiki. Just think about it!

Tanzania tuna watu ambao wako tayari kumsapoti darasa la saba kwa kuwa anachekesha na kumkataa profesa ambaye amefanya reserch kwenye jambo 'profesional' pengine kwenye mjadala juu ya namna ya kudhibiti mtungi wa neuclear usivuje.

Ikumbukwe hata kwenye tume ya kuwauliza watanzania kama wanataka vyama vingi au la? Wengi walisema hawataki. Kwa hiyo Nyerere asingetumia logic binafsi kuforce viwepo, ungekuta hakuna vyama vingi hadi leo na ni maamuzi ya kidemokrasia.

Mifano ni mingi, haiwezi kuisha.

Sasa Swali ni je! Wakati tunaitetea Tanzania ya kidemokrasia kwa upande mmoja, Tunashugulikia je Janga hili la kijamii kwa upande wa pili?

Kwa upande wangu, nadhani tunatakiwa kupigania kutoa elimu kwa jamii na kuishawishi ibadilike kuliko hata nguvu tunayotumia kuipigania demokrasia yenyewe. Hata hiyo hii haimaanishi kwamba hatuhitaji Tanzania ya kidemokrasia, tunaihitaji sana.
Tusiwe waoga wa demokrasia, ni muhimu mno kwetu au bado mnamwogopa mfu?
 
Nakusoma mpaka nacheka kimya kimya, yaani wewe asie wa upande wako kwako ni mjinga, unaamini hapo ulipo ndio sehemu sahihi na wengine wote lazima wawe hapo, kinyume na hapo kwako taifa litatumbukizwa gizani kwasababu hao "wajinga" wakiachwa wakue kwa idadi wanaweza shika hatamu.

Kwangu demokrasia ni maendeleo, vyama vinatakiwa vibadilike ili kuleta mawazo mapya ya maendeleo, mfano Democrats na Republican wanaijenga USA, hili taifa linapigana na maadui watatu ( ujinga, umasikini, na maradhi) toka lipate uhuru, more than 60 years ago, huoni kwa hali hiyo hao unaowaamini wameshindwa kuwasogeza mbele watanzania?

Kwa mawazo yako haya unataka tubaki tulipo tusijaribu kitu tofauti kwasababu hawa "wajinga" wataleta mawazo ya "ajabu" sasa nikwambie, hayo mawazo ya ajabu unayoyaogopa ndio yatakayolikomboa hili taifa, kwasababu hao "werevu" unaowaamini walishafeli zamani.

All in all as a matured person unatakiwa ujue siasa za vyama vingi sio ujinga, vyama vya upinzani kupewa haki sawa ni haki yao kwasababu nao ni watanzania wanaijenga Tanzania, hakuna haja kuwaona vichaa kwasababu tu unatofautiana nao itikadi au vinginevyo, na Rais kutoa mazingira bora ya siasa kwao sio hisani ni takwa la kisheria.
Do not underestimate the power of combined fools
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom