Maendeleo hayapimwi kwa kuangalia majengo yaliyopo CBD... usinilishe maneno!!

Kwamba eti maendeleo ya haraka haraka, hiyo kauli ni kiroja!!! Hivi huoni aibu kusema eti "nataka maendeleo ya haraka haraka" kwa taifa ambalo lipo huru kwa karibu miaka 60 sasa!!!

Kiroja kingine ni pale unapoleta habari za Jiwe!! Hiyo speed yake ipo kwenye nini?! Kuleta white elephant project kwa kununua ndege kwa billions of dollars?!

Hivi kwa mtu mwenye ufahamu anaweza kulinganisha hata tija ya ujenzi wa UDOM na zile ndege?!

Au unazungumzia speed ya kujenga international airport kijijini kwao na kuhamisha wanyama kutoka mbuga zingine na kuwapeleka Chato?!

Speed ipi hasa unayozungumzia wewe!

Au haya majengo mnayoita hospitali wakati hata madaktari hawaajiri?! Btw, kama kujenga hayo majengo ndo speed kwani ina tofauti gani na shule za kata zilizojengwa nchini mzima hasa ukizingatia program ya shule za kata ndo ile ile iliyoleta ujenzi wa vituo vya afya?!

Speed gani hasa unaisema?! Au speed ya kujenga bwawa la umeme wakati Kusini kuna gas imejaa kibao na hana dira yoyote ya kugeuza gesi ile injini ya uchumi!!!

Hivi unafahamu economic multiplier effect ambayo ingepatikana endapo angeelekeza nguvu kwenye gesi pengine kuliko hata hayo madini aliyoamua kuyajengea ukuta?!!

Unafahamu by-products zinazotokana na gas processing zinavyoweza kuchochea uanzishwaji wa viwanda vingine kama vile vya mbolea na plastic let alone gas yenyewe kutumika kama nishati for domestic use pamoja na umeme?!

Unaweza kueleza additional multiplier effect inayotokana na uwekezaji kwenye bwawa la umeme ambayo haipo kwenye gas exploitation?!

Au unazungumzia SGR mnayodanganywa kwamba inajengwa kwa pesa za ndani wakati deni la taifa (foreign) linaendelea kupanda?!

Hivi ulishawahi kujiuliza ikiwa Kenya yenye uchumi mkubwa hadi kesho SGR yao ni loss making na watu wanaikimbia, what's so special itakachofanya SGR ya Tanzania kuwa economically viable?!

Ulishawahi kujiuliza ni kwanini watu hawatumii TAZARA kusafirisha mizigo to Zambia na bado wanang'ang'ania malori wakati TAZARA na yenyewe ni standard gauge?!

Hicho mtakachofanya na kusababisha transportersz kutumia SGR and nothing else kwanini hamkifanyi upande wa TAZARA?!

Hiyo speed unayoisema wewe ni ipi?!

Au ni speed ni ya ku-deal na middle raking public servants na kuwaacha wezi wakubwa wa nchi hii ambao ni high profile politicians pamoja na top government officials?! Au ni high speed ya kuvuruga private sector?!
Umekariri sana Elimu ya Makaratasi Kama yule professor wa Kyela,yaani hadi unasahau kua Maisha yanakwenda vizuri zaidi na uhalisia wake!!
 
Naaam naam, na mimi nachelea kusema mtaji wa msukule wa kisiasa ni watu wa aina yako.

Tuanzie hapa umeona wapi wewe umetoka kuzaliwa ukajikongoja hadi miaka 10, halafu unataka upate balekhe hapo hapo, unataka upate mke hapo hapo, unataka na uitwe baba hapo hapo, haiwezekani la hasha haiwezekani.

Jambo usilolijua litakusumbua, nasema hivi kwa maana hii, ni ukweli usiopingika Tanzania tuna rasilimali nyingi sana ambazo kwa namna moja ama nyingine zingaliweza kutusaidiea kupiga hatua moja kwenda nyingine. Lakini huwezi ukakurupuka kutamani kutumia rasilimali hizo kama hujaimarika kifikra na kiteknolojia, hapo unapopatolea mfano Kenya angalia leo hii wamewahi kufanikisha kujenga SGR, je wanafaidika nayo? Ndio maana nikasema huwezi ukalazimisha kuitwa baba, wakati hata bado hujabalekhe.

Tanzania ni nchi yenye upekee wake, tulianza kujiimarisha kwanza kutokea kwenye msingi wenye tija ili tutakapoanza kuchanja mbuga basi watu wetu na mifumo yetu iwe na uwezo thabiti wa kuhimili kasi ya maendeleo, ndio maana tumekuwa na mfumo wetu wa kimapinduzi ya uchumi na kiuongozi tofautisha na nchi nyingine hapa barani Afrika na dunia kwa ujumla.

Nadiriki kusema Tanzania ndio nchi pekee duniani iliyoweza kubeba taswira halisi ya maana ya maendeleo, ya kuwa maendeleo ni mchakato.

Mimi nitaichagua CCM, na Nitamchagua Magufuli.
Na huo ndiyo uhalisia wa Maisha halisi,na siyo Maisha ya vitabuni!!
 
Umekariri sana Elimu ya Makaratasi Kama yule professor wa Kyela,yaani hadi unasahau kua Maisha yanakwenda vizuri zaidi na uhalisia wake!!
Finally REVEALED kwamba una uelewa mdogo!!!

Sijataja mambo ya GDP, per capita wala any figure related issue halafu unasema elimu ya makaratasi!!!

Hivi mtu unatakiwa kufundishwa darasani kufahamu tija iliyopo kati ya UDOM na zile loss making planes?!

Unasema maisha yanaenda vizuri wakati juzi tu hapa zimetolewa takwimu kuhusu mikoa inayoongoza kwa utapiamlo, na kwa mshangazo wa wengi; mikoa yenyewe ndo ile ile inayoongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula!!

Watu hawana hata elimu ya kula halafu unasema mambo yanaenda vizuri??!!

Unazungumzia maisha kwenda vizuri nchi bado ina tatizo kubwa la umaskini wa kipato?! Maisha yanaenda vipi vizuri kwenye nchi yenye umaskini wa kipato wakati ni kipato ndicho kinamwezesha mwananchi kupata huduma bora za afya, kupeleka watoto kwenye shule za ubora, n.k?!

Ni kama alivyosema Kipangaspecial kwamba:-
Mkuu naona umetumia nguvu ya tembo ku deal na huyo mende, msamehe tu.
In short, HAMUELEWI, na kama mnaelewa basi mnajitoa ufahamu ama kwa sababu za kisiasa au za kikabila manake kuna mazuzu wana-support serikali sio kwa sababu ya uzuri wa yafanyikayo bali kwa sababu tu watu fulani fulani ni watu wa kwao!
 
Hii Ni Dar ya miaka ya 60. Hilo bus hapo Ni DMT ambayo ilikuwepo kabla ya UDA. Hiyo nyumba ya vigae Ni New Africa Hotel kabla ya kuvunjwa na kujengwa ya sasa
 
Zamani kulikuwa kuzuri kuliko sasa 🤣 🤣 watu wasafi miji misafi, sijui tuliteleza wapi na hawa wazee wa kijani.
 
muhimbili enzi hizo-where did we go wrong????
5404702679_810d5d5a76_b.jpg
Natamani hata kulia nikuona hizi picha jamani kumbe wazee wetu waliishi maisha mazuri hizi history tunadanganyana tu ohh tulikuwa hatuna ma Dr na hawa nini tena wasafi mimi nilidhani wako Saloon kumbe Hosp.
 
Dah bro umefanya nimefurahi kuiona round cafteria pale sokoine
Nimesoma veterinary medicine 2014-2019... Thanks sana bro ni kumbukumbu kuntu sana
Hongera sana mkuu kwa kumaliza Veterinary medicine SUA.....Yes Memory Lane zinarudisha kumbukumbu nyuma sana na kukumbuka good/bad times!!
 
Ni
Inanikumbusha those day tunasafiri na train mkifika Tabora wanaingia wanafunzi wa Tabora boys na Mirambo huku kila shule imeandika behewa lao mfano utakuta behewa limeandikwa Mazengo Complex hapo ukiingia kama sio member ni issue. hapo train kama vile moja ipo njia moja ya kuelekea Kigoma alafu nyingine ya kuelekea Mwanza na kulikuwa na train ya Mpanda ambayo ilikuwa inatumia injini ndogo kutokana na reli ilikuwa kwenye mbuga yenye unyevu mwingi.

Picha kiukweli zinakumbusha mbali ndio maana kuna watu pale Mwanza huwa wanawashangaa watu wanaopiga picha pale kwenye roundabout yenye samaki anaetoa maji kiukweli baadae itakuwa kumbukumbu nzuri kipindi hicho hapo panakuwa na structure nyingine
Kweli kabisaa
 
Hawa ni wafungwa wa kike wakiwa wamefungwa kwa minyororo wakifanya kazi za jamii (community work) za kusafisha barabara Dar Es Salaam mwaka 1890. Haijulikani walikuwa wamefanya makosa gani mpaka kufungwa gerezani. Picha kwa hisana ya Library of Congress.

3b38289r.jpg
Daaah inasikitisha saana
 
Back
Top Bottom