Habari Mkubwa, naomba urejee katika Uzi wetu wa Ndoto, twahitaji msaada wako mkubwa
Nilipotea kwa sababu za kimtandao na poor connection niliyokuwa nayo. Kwa miezi kadhaa sikuwepo humu.
Hata hivyo hakuna aliyeni tag kule niweze kurudi bali wachache walio nipm.
Nakukumbuka sana wakugoogle.
 
View attachment 74223 View attachment 74224 View attachment 74225 View attachment 74226 View attachment 74227 View attachment 74228 View attachment 74229 View attachment 74230 View attachment 74231 View attachment 74232 View attachment 74233 View attachment 74234 View attachment 74234 View attachment 74235 View attachment 74236 View attachment 74237 View attachment 74238 View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Kwa sisi vijana wa miaka ya juz, ni raha sana kuona picha za enzi, najifunza mengi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee Tumetokaaa mbali sana kwa kasi hyo ya 1963 ingeendelea fresh tungekuwa mbali sana sema hapa kati tumechezea katiba,tumechezea azimio la arusha...

attachment.php
Ni kweli tungekuwa mbali kimaendelea kwa kasi kama tuko HIV unamaanisha wahenga walipambana na hao hao wakajiachia, now tumefeli kukimbia tunatambaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 74223 View attachment 74224 View attachment 74225 View attachment 74226 View attachment 74227 View attachment 74228 View attachment 74229 View attachment 74230 View attachment 74231 View attachment 74232 View attachment 74233 View attachment 74234 View attachment 74234 View attachment 74235 View attachment 74236 View attachment 74237 View attachment 74238 View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Kwenye miaka ya mwishoni ya 80 na mwanzoni mwa 90's nilikuwa naangalia movies hapo juu, Goethe institute.
 
Raha kuiangalia hii picha haikuwa issue. Siku hizi wakiacha wazi hivi sijui itakuwaje?
Na una angalia zaidi vifuani kwa hao wasichana. Wangeacha wazi tu hata siku hizi ila mengi yamesha lala katika umri huo wanayainua na sidiria
 
Wakati fulani unatamani kama ungeweza kurewind maisha angalau uishi maisha yale hata kwa mwezi mmoja
Uko sahihi kabisa Mkuu. Enzi hizo za UDA, DSM Muda wa basi kupita kituoni tulikuwa tunaufahamu kwa hiyo wanafunzi tunajiandaa muda wetu nakumbuka basi Uwanja Taiakwetu lilikuwa linapta saa kumi na mbili na nusu Juu ya alama. Na hilo basi ilikuwa likichelewa 5 minutes tena kwa nadra. lakini sasa hivi kila mtu na lake. Ukiuliza ooh siku hizi foleni ilimradi shaghalabagala.
 
Back
Top Bottom