Baadhi ya majengo bado yapo Dar. Lakini miaka 10 ijayo yote yatakuwa yamevunjwa kabisa. Yatabaki hayo makanisa tu ya St. Albani, St. Joseph na Azania Front.....! Tumeshindwa ku preserve history!
 
Umofia Kwenu Wana JF,

Leo tunasherekea miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika.Nina mawazo tofauti na kitendo cha magufuli kuruhusu kufanya sherehe wakati mwaka jana alizuia na fedha akazipeleka kwenye barabara.

Tulikuwa tunalalamika sana kwamba mzunguko wa fedha hakuna hii inatokana na serikali kuondoa hela kwenye mzunguko na hivyo sector zinategemea serikali katika kufanya kazi nyingi zimeathirika.Nina imani watu wameshauri raisi kuhusu hiyo hali naona ameanza kuachia safi sana.

Nina imani hiyo bilioni 4 imeingia mtaani na imeenda kwa watu wengi kwakuwa majeshi,watu wa protocol,vikundi vya ngoma etc vimepata mgao wao,tofauti na mwaka jana bilioni walipata watu wachache tu waliopata tenda ya ujenzi kwahiyo walifaidika wao na familia zao tu.

Leo Thread ina Miaka minne Tangu ianzishwe hapa JF...Tijikumbushe Kidogo.
Moringe.jpg

Nyerere.jpg
 
View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Hizo picha ni baada ya uislam au kabla uislam haujaondoka? Mohamed Said :D:D:D
 
View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
MKUU UMENIKUMBUSHA JENGO LA MWALUGANJE SASA HIVI NI VODA SHOP DODOMA.
 
Back
Top Bottom