Kwa mwendo huu, ifikiapo 2015, tunaweza kufikia watumiaji milioni 10, na wengi wao wenye vipato vya chini na kati ambao wanasapoti CDM, hivyo ni habari njema kwa CDM kama wakitumia trufu hii ipasavyo kufikisha ujumbe.
Tujitahidi sana pia kuwa tuna uzalendo wakati wa kupiga kura za mitandao kama wakati wa maajabu mapya ya dunia na vivutio vyake...pia hata kwa wasanii wetu maana hapo ndio tunabaki tunashangaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.