Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 859
Badala ya kuomba msaada watutengenezee Barabara sie tumeona bora tujengewe uwanja wa Taifa
Hii ndiyo hali halisi ya barabara kuu ya KIGOMA,leo ni siku ya tatu kukiwa hakuna kutoka kuelekea mikoa mingine kutokana mvua zisizokoma katika barabara zetu za mfinyanzi.
MABILIONI yaliyotumika hapa si wangejenga kilometa kadhaa za barabara?
halafu mnatafuta mchawi ni nani
Hii ndiyo hali halisi ya barabara kuu ya KIGOMA,leo ni siku ya tatu kukiwa hakuna kutoka kuelekea mikoa mingine kutokana mvua zisizokoma katika barabara zetu za mfinyanzi.

MABILIONI yaliyotumika hapa si wangejenga kilometa kadhaa za barabara?
halafu mnatafuta mchawi ni nani