Tanzania without a Resource Curse

Hapo hata mie siwaelewi wanavyosema vitalu vya utafiti visimame kutolewa

Wakati exploration inachukua muda sana
Wanaweza kusimamisha kutoa vitalu vya uchimbaji wa mafuta kwa muda ila wakaruhusu vitalu vya utafiti vikaendelea kutolewa.

Halafu hata kwa sehemu ambazo tayari uchimbaji ushaanza, huwezi wanyima vitalu vya utafiti sababu uchimbaji huwa ni mwendelezo wakati unachimba unazidi tafuta 'resouce' zaidi

Wanaweza wazuia tu kuanza uchimbaji hadi hiyo plan itakavyokuwa tayari.

Sinan uhakika na pesa za utafiti kama zitakuwa sehemu ya 'investment' au 'expense'

Lakini hapo hapo, wataalamu wa wizara watueleze wanamaanisha nini wanapotoa sharti la minimum expenditure per sq km kwa kitalu cha utafiti? Then wanaweza i-treat kulingana na hilo sharti la sasa.

Zitto una hoja nzuri lakini naomba tuelimishane kwenye sehemu mbili muhimu (a) Kuhusu ujenzi (b) Wataalamu

Mwanzo:

Sheria ya mafuta haitakiwi kuchukua zaidi ya mwaka kuweka!! Tanzania sio nchi pekee duniani yenye sheria ya mafuta hivyo hakuna sababu ya Msingi ukizingatia tuna wabunge na wahisani wenye nia ya kusaidia haitachukua zaidi ya miezi sita kuweka Bill bungeni nzuri ya yenye uwazi kuhusu Gas and Oil.

Link hizi hapa

http://www.bain.com/bainweb/images/LocalOffices/BNDES_Consolidated_Report_BNDES_eng.pdf

Home

Vilevile Zitto ni lazima uelewe kuanzia research mpaka production ya Oil and Gas inachukua miaka kumi na mbili hivyo ukisema tusubiri miaka kumi ina maana production ya Oil and Gas itaanza baada ya miaka ishirini na mbili!!. Serikali kwa miaka kumi ambayo search za mafuta zinaendelea inatakiwa Kujenga au kupanua barabara,bandari na kuelemisha watoto wetu wa vyuo ili waweze kufanya hizi kazi. Kuna Pipeline inatengenezwa kwa mkopo wa China lakini tunatakiwa kuweka barabara ya bandari. Hakuna ulazima wa kusubiri kama tutapata Bill ya Oil and Gas.

Kuhusu Wataalamu:
Zitto nakuhakikishia kwamba Watanzania wenye utaalamu wa Oil and Gas wako wengi sana lakini hawapo Tanzania wapo Texas, USA. Kuna Watanzania zaidi ya mia mbili hapa Houston na Dallas ambao ni wataalamu wa Oil and Gas na utashangaa walivyo wengi hapa Houston kwenye sehemu zote za Oil na Gas Production. Kuanzia kwenye Rig za majini mpaka Oil and Gas Software. Marafiki zangu wote wa Kitanzania na ndugu zangu hapa wanafanya kwenye Oil and Gas. Sasa wanasiasa badala ya kufungua matawi mngekuja na kuweka mkutano wa wataalamu wa Oil and Gas ambao ni Diaspora ungeshangaa walivyo wengi. Hawa watu wote wanaweza kurudu nyumbani kama wataheshimiwa kama wataalamu wengine wowote. Vilevile Zitto badala ya kwenye Europe kujifunza kuhusu mikataba njoo kutana na Watanzania wa Houston na uongee nao kuhusu Oil and Gas. Houston ndiyo Head Office ya kampuni za Oil and Gas Duniani.
 
Hapo hata mie siwaelewi wanavyosema vitalu vya utafiti visimame kutolewa

Wakati exploration inachukua muda sana
Wanaweza kusimamisha kutoa vitalu vya uchimbaji wa mafuta kwa muda ila wakaruhusu vitalu vya utafiti vikaendelea kutolewa.

Halafu hata kwa sehemu ambazo tayari uchimbaji ushaanza, huwezi wanyima vitalu vya utafiti sababu uchimbaji huwa ni mwendelezo wakati unachimba unazidi tafuta 'resouce' zaidi

Wanaweza wazuia tu kuanza uchimbaji hadi hiyo plan itakavyokuwa tayari.

Sinan uhakika na pesa za utafiti kama zitakuwa sehemu ya 'investment' au 'expense'

Lakini hapo hapo, wataalamu wa wizara watueleze wanamaanisha nini wanapotoa sharti la minimum expenditure per sq km kwa kitalu cha utafiti? Then wanaweza i-treat kulingana na hilo sharti la sasa.

Nashukuru kwa mchango wako na mwaliko wako wa kuja Texas. Mungu akipenda nitakuja. Unajua safari ni gharama na safari kama hizi za kujifunza hulipiwi na Serikali au Bunge maana ni maarifa yangu binafsi kwa ajili ya Taifa langu. Nitajikusanya na kuweka akiba ili niweze kufika huko. Hata hivyo, Texas sio makao makuu ya makampuni yote. Katika makampuni makubwa ya mafuta duniani makampuni ya kimarekani ni mawili tu ie exxon mobil na Chevron. Mpaka mwezi Machi mwaka 2011 makampuni makubwa ya mafuta yaliongozwa na PetroChina, Royal Dutch Shell, Exxon Mobil, PetroBras, China Petroleum and Chemicals, Gazprom na Chevron. Nilikwenda The Hague ambapo ni makao makuu ya Royal Dutch Shell. Nimekwenda Norway ambapo ni makao makuu ya StatOil na inshaallah nitakuja Texas pia. Nitafurahi kukutana na Watanzania walio kwenye sekta hii ili kujifunza na kuona namna ya kuhakikisha nchi yetu inafadika na mafuta na gesi asilia.

Kwenye hoja.

Nataka kusimamisha utafiti wa mafuta? Hapana. Naona utembelee blog yangu ili usome vizuri mawazo yangu. Ninasema tusigawe vitalu vingine kwanza mpaka tupate uzoefu wa haya yaliyopatikana na kujenga uwezo wetu wenyewe wa kuchimba mafuta na gesi yetu. Katika mapendekezo yangu nimeshauri kwamba tuwe na Shirika la Mafuta la kibiashara ambalo litawekeza kwenye utafutaji kama yanavyofanya mashirika mengine mfano PetroBras. Badala ya kugawa vitalu kwa makampuni haya ya kigeni, vitalu vigawiwe kwa Shirika hili la Umma. Lakini tunahitaji kujenga uwezo wetu kwanza na hata kuchukua Watanzania walioko nje kwenye sekta hii kuja kuendesha Shirika hilo kisasa na kibiashara.

Hivi sasa kuna PSAs 29 na leseni 26 za utafutaji wa mafuta na Gesi. Tuache utafutaji huu uendelee. Tusigawe vitalu vipya kwa kampuni za nje. Tuanzishe shirika la kibiashara PetroTan litakalofanya kazi kwa misingi ya kibaishara kama StatOil, shirika hili liwe na vitalu hivi. Uzoefu unaojengwa sasa tuutumie kujipanga.

Narudia sipingi utafiti kuendelea. Napinga kutoa vitalu vipya kwa makampuni ya nje. Vitalu vya sasa viendelee na utafiti. Vitalu vipya visubiri. Haraka ya nini?
 
Au ndo kusema Zitto kapewa desa na WaNorway kwa kumuonea huruma Kikwete lakini pia kutotaka kuvunja kanuni za proprietary business competition? Maana Zitto mpaka habari za kupiga vote of no confidence alisema kapata msaada wa Nowegians.

Just thinking aloud.

I couldn't have said it better!
 
Extract of my BBC interview verbatim


MUHTASARI WA MAHOJIANO YA MHE. ZITTO KABWE KATIKA KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA SAA 6:30

Mtangazaj
i; kuna malalamiko mengi kuhusu mikataba, inadiwa kuwa mikataba hainufaishi wananchi unalizungumziaje hili?.....

MHE Zitto Kabwe; Ni kweli kuwa nchi nyingi za kiafrika licha ya kuwa na rasilimali nyingi sana kama ardhi,madini, mafuta n.k zimekuwa hazifaidiki zaidi na rasilima hizo na kujikuta makampuni ambayo yanayochimba rasilimali hizo kufaidika zaid kuliko wananchi wa nchi hizo, na moja ya jambo ambalo limekuwa likielezwa ni mikataba ambayo nchi za Afrika zinaingia na makampuni haya ni mikataba ambayo inafaidisha zaid makampuni kuliko inavyofaidisha nchi zenyewe na sisi kwa upande wa Tanzania tuna uzoefu wa mapitio ya mikataba mwaka 2007 nilikuwa mbunge wa kamati ya jaji bomani ambayo ilipitia mikataba yote ya madini ambayo ilipelekea mapendekezo ya taarifa ile kwenda kutengeneza sera ya madini ya mwaka 2009 na baadae sheria mpya ya madini ya mwaka 2010.

Mtangazaji; Swala la mikataba limekuwa likizungumzwa sana na limekuwa kilio kwa wananchi wengi na si Tanzania tu hata baadhi ya maeneo mengina ya Afrika,kwamba watu wameshaingia mikataba lakini mikataba hainufaishi ninyi mnasema kwamba mlipitia nini mliweza kubadirisha kitu katika ile mikataba?

MHE Zitto Kabwe; yeah ndo maana tuna sheria mpya kwa mfano, katika sekta ya madini mikataba mikubwa tulionayo ni mikataba sita kwa sababu tuna migodi sita tu ya dhahabu tulionayo hapa nchini,na ilikuwa inachimba sehemu ndogo sana ya kiwango cha adhahabu ambacho tunacho hapa nchini, tukasema kwamba kwenye sheria mpya tuweke mazingira mapya ambayo makampuni mapya yatakayoingia nchini kwetu kufanya uchimbaj wa madini kusiwe na mikataba ile ambayo tulikuwa nayo zamani ambayo iliyokuwa inatulalia kwa mfano sasa hivi serikai yaTanzania kwa mujibu wa sheria ya madini ya 2010 itakuwa ma hisa kwenye migodi, kwa mfano pili uchimbaji wa madini ya vito kwa mfano Tanzanite na madin mengine ya vito sasa hivi kwa mujibu wa sheria ni kwa ajili ya wa Tanzania tu na pale ambapo wa tanzania hawana mtaji kuweza kuyachimba wanaruhusiwa kuwa na mgeni lakini yule mgeni asizidi asilimia 50%

Mtangazaji; Wengi wanasubiri kwamba labda swala la mrahaba au swala la baadhi ya kodi zitarekebishwa ziweze kuwanufaisha wananchi lakini katika mikataba ambayo tayari imekwishaingia ni kwamba nini kilichokuwa kigumu ni kwa sababu tayar mkataba umeshaingia kwa hiyo kuvunja ile mikataba imeshindikana ama ni kitu gani ama kuirekebiswe basi katika maeneo ambayo yanaonekana kwamba bado yanaendelea kuwanyonya zaid upande haswa ule ambao haunufaiki?

MHE Zitto Kabwe; Si tulifanya kazi yetu tulipitia tukatoa mapendekezo tukapeleka sera mpya ikatengenezwa na serikali, sheria mpya ikatungwa na bunge so jukumu la utendaji na namna gani ya kuboresha mambo hayo ni jukumu ambalo linapaswa kutoa maelekezo na maoni na tulifanya hivo na bahati nzuri sheria ya madini ipo bahati mbaya mpaka sasa kwenye hii sheria mpya hapajatoea migodi mikubwa ambao umetaka mikataba so hakuna kataba hata mmoja ambao umerekebishwa kwa sababu mikataba ile imebakia kama jinsi ilivyo isipokuwa kuna baadhi ya maeneo mbayo makampuni yalikubali kufanya marekebisho kidogo kwa mfano tumekosa sana kodi ya mapato kwa muda mrefu kwa sababu mwaka1997 tulipitisha sheria ambayo inasema kwamba makampuni ya madini yatarejesha asilimia...........

Mtangazaji; Kuna taarifa kuwa tume hii ilitembea nchi mbalimbali kuchunguza na kupata uzoefu labda,ebu tupe uzoefu wa nchi nyingine wa sababu mlitembelea nchi nyingine mikataba pamoja na mapato ya nchi zinazopata hizo ambazo zinatembelea kwa ajili ya kupata uzoefu zinafanana na mikataba ambayo Tanzania ama nchi za afrika zinapata?

MHE Zitto Kabwe; haziwezekani kufanana kama kwasababu kila nchi ina mazingira yake lakini pia ningependa kuliongezea kama ambavyo proffesor Muhongo ni jambo la kuelewa ili wanaloita mfumo wa kodi katika sekta ya madini kwa maana ya ...... regime na kwa mfano watu wengi wamekuwa wakitolea mfano kule Botswana, taifa la Botswana linapata asilimia 50 ya mapato yanayotoana na dhahabu. Watu wengi wanatoa mfano wanasema Botswana ni asilima 50 lakin wanasahu kwamba botswana, kampuni hii .....ya ambayo ni ushirikino kati ya serikali ya Botswana na kampuni ya Dibias hawalipi income tax,kwa sababu ni makubaliaono yao kwamba ni kampun ya serikali 50 50 hamna kodi fulani fulani,hamna mrahaba kwahiyo kitakacho kupatikana wanagawana ina maana kwamba serikali yenyewe inapaswa kuwekeza kwa hiyo ni modo ambayo inatumika, afrika kusini ina mrahaba ni sifuri(0) juzi ndo wamebadirisha sheria kwa ajili na wao waanze kuwa na mkataba lakini tatizo tulilonayo Tanzania ni kwamba mikataba ambayo tuliingia miaka ile ya tisin ni mikataba ambayo tuliingia tukiwa hatuna uzoefu katika maeneo ya madini na hasa so upande wa wataalamu wa jeologia au wataalam wamiamba au wataaam wamaswala kama hayo tatizo letu kubwa watanzania ni wataalam wakiuchumi iambao wanaweza wakasoma mfumo wa kodi nakuweza kuona hapa kampuni inapata nini na serikali inapata nini.

Mtangazaji;
unona kwamba haya ambayo yanapatikanna katika mapato katika mkataba ambao tayari makampuni ya Tanzania yameingia ni mapato mazuri ama niyale ambayo mlikuwa mkitarajia

MHE Zitto Kabwe; Hapana, tunapaswa kupata zaidi kwa mfano bado tuna misamaha mingi sana ya kodi kwenye makampuni haya ambayo ni kama tunawapa ruzuku ili waweze kazalisha bado hatufanyi uongezekaji wa thamani ya kutosha ndani ya nchi yetu kwa sababu tatizo kubwa ambalo linaitaguliza afrika ni mwamba bado sisi expoters kwa hiyo tunapeleka kazi nje badala ya hapa ndani leo hii kwa mfano tunatoa msamaha wa kodi kwa makampuni ya madin kuagiza mafuta kwa ajli ya uzalishaji wa umeme kwenye mifodi kwanini tusihaikishe ya kwamba shirika la umeme linasambaza umeme kwenye migodi na kuweza kutengenza hiyo linkage katika sekta ya umeme na sekta ya madini.

Mtangazaji;
unadhani sasa nini kifanyika sasa haya matatizoyaliojitokeza kwa sababu tumeona uzoefu wa Tanzania labda na baadhi ya nchi nyingine, umemskia waziri anasema nchi nyingine katika mikataba bila kuwa na uzoefu bila kuwa na wataalam kwamba imeingia tu na inabidi kukubali kuendelea na mikataba hiyo kwa sasa japo kuna sheria zimefanyiwa marekebisholakin kwa ajili ya makampuni yatakayo kuja hapo baadae.

MHE Zitto Kabwe
; jibu ni moja tu uwazi kwa mikataba na mimi wala nisingependa kuchukua nafasi kama hii kusema nani wa na kumlaamu kwamba ni wanasiasa au n.k kama professa anavyozungumza mi ninachokisema ni kwamba ukitaka kupambana na rushwa kwenye mikataba weka mikataba wazi, uzoefu wangu unanionesha kwamba Tanzania tumefanya mapitio ya mikataba muda mrefu sana,hiyo sekta ya madini tunayosema sasa hivi kila mtu sasa hivi kila mtu anazungumzia ripoti ya bomani kwa sababu baadhi yetu tulivyoinga kwenye kamati ya bomani tulilazimisha serikali kwamba tutashiriki kwenye kamati iwapo tu taarifa itawekwa wazi ndo maana leo kila mtu anazungumza kuhusu kamati ya bomani lakini kabla ya kamati ya bomani kulikuwa na kamati nyingi sana lakini hakuna kitu kilichowekwa wazi kwa mfano wazir ameagiza TPDC ipitia mikataba iliongia ya gesi, TPDC ndo iliingiia mkataba, wazir ndo ameingia mkataba huwezi kuwa mtu ambae unaingia mkataba we ndo umesaini, mkataba we ndo upitie mkataba, tulichokisema nikwamba tunataka mikataba iwe wazi ikishakuwa wazi wananchi wataona mkataba gani mzuri na mkataba gani mbaya maana yake kwa uzoefu wangu unaonesha mapitio hayaleti suluhushi mapitio yanafanywa wanasiasa wale wale wakae wajue lakini hatupati jibu la moja kwa moja
 
Nakumbuka English Learner aliwahi kutoa wito hapa jamvini. Na iwapo leo atasoma makala za Mh. Zitto atafurahi sana kuona wito wake umeitikiwa vilivyo.

Wapi Waziri Kivuli wa Nishati na Madini-Mh. John John Mnyika?

I’ve very few minutes to write the lasting message to ALL Tanzanians especially YOUTH.

Girls & Boys wake-up, let us join the allies of our fellow Young Parliamentarians showing concern on Gas & Oil Sector (or simply energy sector).

The voice of Zitto unaided is less loud, January’s hands alone can’t act forcefully, nor a single brain of Mnyika suffice to craft a draft of the private proposal for the Policy.

JK, his Party, the cabinet and the whole government are the obsolete instruments to rely on for this life touching/changing endowment. At the moment they’re absolutely confused with the multiple “falling-apart” issues. If they’re being defeated on very simple matters that have Policies, Acts, Guidelines and Manuals what do you expect to happen if the catastrophe emerge out of completely unregulated but highly sensitive matter like Oil & Gas?

Simply, I mean, let us raise our voices together, let us hold our hands together and let us join our brains and in a unison say:

  • STOP ALL UNDERGOING ACTIVITIES IN THE GAS & OIL SECTOR. We have good cases of how THEY smuggled our precious gold-sand while claiming to export for examination and THEY have never returned back our soil!
  • WE FIRSTLY AND URGENTLY NEED THE FRAMEWORK (POLICY, ACT, GUIDELINES, ETC) ON GAS & OIL BEFORE ANY FURTHER ATTEMPT IN THIS SECTOR
  • TELL MZEE WARIOBA AND HIS MAONI YA KATIBA TEAM THAT ANY CONTRACT IN THIS SECTOR SHOULD BE SCRUTINIZED THROUGH THE PARLIAMENT. ANYTHING DONE BEFORE SHOULD BE REVOKED AND CONSIDERED VOID!

Please, let us ALL act TODAY and NOT tomorrow!

English Learner
english.learnertz@gmail.com
 
Kama ningepewa Mamlaka ya Rasilimali ya Gesi na Mafuta za Nchi hii, ningeamua viwekwe chini ya Jeshi Maalumu, lenye maadili na miiko isiyobanwa wala kufungwa na upuuzi wa Mikataba na Sheria za Kimataifa zinazotumika kudhoofisha maamuzi ya Dola na Tawala za Nchi. Na hili Jeshi lingechukua jina la Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU). Hapa mtu si tu haruhusiwi kupokea rushwa bali hata kuhisiwa kutaka kula rushwa. Kuhisiwa tu ingekuwa leseni ya kifo. Familia na ikiwezekana Koo za Wanajeshi wote wa Jeshi hili wangepewa National Special Treatment and close monitoring.
 
, and what Zitto is giving us is pretty much declassified info, or he would be in trouble from the Draconian hand of the government.

Declassified? Not a chance!

ZZK in my opinion is a renegade, breaking loose from the inner circle of mafisadi. Hasira za mkizi furaha ya mvuvi. I'm so happy, brother

Thanks ZZK this is what I call transparency. Keep this coming and you'll win back my trust, brother ZZK
 
Umenipaisha kusema nimekukaribisha Texas, naishi Tandahimba


Nikirudi kwenye hoja ya kuanzisha shirika la Uma kwa ajili ya utafiti wa gas na mafuta bado lina utata katika utekelezaji wake.
Nasema hivi nikiangalia madhumuni ya kuanzishwa kwa GST(Geological Survey of Tanzania-Makao Makuu Dom) ilikuwa ni kufanya utafiti wa madini sehemu zote ili kampuni inapotaka kuwekeza iweze jua ni wapi na pana nini kiasi gani. je imeweza fanya kilichokusudiwa??

Hivi hushangai kampuni inkuja inaanza utafiti kuanzia grass root? Ni fedheha kuwa na shirika halafu vitu vidogo vodogo yaani preliminary works unakuta bado hazijafanywa(almost virgin lands)


Sasa hili jpya litasaidia nini wakati GST iliyopo tu imeshindwa fikia malengo?

Na ndio maana wawekezaji pesa za utafiti wanaziingiza kwenye mitaji badala ya matumizi sababu ni wajibu wa GST kufanya baadhi ya kazi.


Halafu, tuko tayari kuwekeza kwenye utafiti wa madini ambao ni almost 'gambling' our money wakati hata maji ya kunywa tu kwa kila mtanzania ni tabu?
Utafiti ni pesa nyingi isiyo na gurantee kwamba itarudi. Unaweza kuwa na projects 10, na moja tu kati ya hizo ikarudhisha majibu chanya.

Kama umewahi sikia case ya mgodi wa Bulyanhulu ambavyo serikali ilikataa kuingiza pesa za utafiti sababu haikuwa na hakika na baadae walioweka pesa zao wakapata, je leo tuko tayari?


Asante, ntakuja huko kwenye blog yako naweza nikapata kitu zaidi.

Nashukuru kwa mchango wako na mwaliko wako wa kuja Texas. Mungu akipenda nitakuja. Unajua safari ni gharama na safari kama hizi za kujifunza hulipiwi na Serikali au Bunge maana ni maarifa yangu binafsi kwa ajili ya Taifa langu. Nitajikusanya na kuweka akiba ili niweze kufika huko. Hata hivyo, Texas sio makao makuu ya makampuni yote. Katika makampuni makubwa ya mafuta duniani makampuni ya kimarekani ni mawili tu ie exxon mobil na Chevron. Mpaka mwezi Machi mwaka 2011 makampuni makubwa ya mafuta yaliongozwa na PetroChina, Royal Dutch Shell, Exxon Mobil, PetroBras, China Petroleum and Chemicals, Gazprom na Chevron. Nilikwenda The Hague ambapo ni makao makuu ya Royal Dutch Shell. Nimekwenda Norway ambapo ni makao makuu ya StatOil na inshaallah nitakuja Texas pia. Nitafurahi kukutana na Watanzania walio kwenye sekta hii ili kujifunza na kuona namna ya kuhakikisha nchi yetu inafadika na mafuta na gesi asilia.

Kwenye hoja.

Nataka kusimamisha utafiti wa mafuta? Hapana. Naona utembelee blog yangu ili usome vizuri mawazo yangu. Ninasema tusigawe vitalu vingine kwanza mpaka tupate uzoefu wa haya yaliyopatikana na kujenga uwezo wetu wenyewe wa kuchimba mafuta na gesi yetu. Katika mapendekezo yangu nimeshauri kwamba tuwe na Shirika la Mafuta la kibiashara ambalo litawekeza kwenye utafutaji kama yanavyofanya mashirika mengine mfano PetroBras. Badala ya kugawa vitalu kwa makampuni haya ya kigeni, vitalu vigawiwe kwa Shirika hili la Umma. Lakini tunahitaji kujenga uwezo wetu kwanza na hata kuchukua Watanzania walioko nje kwenye sekta hii kuja kuendesha Shirika hilo kisasa na kibiashara.

Hivi sasa kuna PSAs 29 na leseni 26 za utafutaji wa mafuta na Gesi. Tuache utafutaji huu uendelee. Tusigawe vitalu vipya kwa kampuni za nje. Tuanzishe shirika la kibiashara PetroTan litakalofanya kazi kwa misingi ya kibaishara kama StatOil, shirika hili liwe na vitalu hivi. Uzoefu unaojengwa sasa tuutumie kujipanga.

Narudia sipingi utafiti kuendelea. Napinga kutoa vitalu vipya kwa makampuni ya nje. Vitalu vya sasa viendelee na utafiti. Vitalu vipya visubiri. Haraka ya nini?
 
Ingawa bado kuna SUMU Kali inayoozesha na kutafuna IMANI na MATUMAINI ya watanzania kutokana na mikataba mibovu ya madini.......... Bado Upo uwezekano mkubwa wa kuepusha kumbukumbu za lawama na laana kwa vizazi vijavyo juu ya maamuzi ya hovyo juu ya rasilimali za mafuta na gas!
 
Boss (and Kiranga)
This for Tanzania is easier said than done. If I have learnt about governance in English, it is easier for me to write and discuss about it in english than in any other language. Translation into swahili would require more efforts and concentration to make sure that the point I want to address doesn't get lost.
Kwa mtu yoyote anae zungumza at least lugha mbili it is clear that not only wordscould lose their meaning in translation but sometimes the concepts are simply inexistant. Kuna anthropological discussion about western concepts (not just western languages) being used in Africa. But this I believe is another discussion.
Sijui kama mh Zitto alikutana na tatizo hilo la kutafsiri concept/maneno but nimenote in his response to FJM that he will take his time to translate and share his ideas in Swahili.


My point ilikuwa hivi....
Wachina na Wajapan na wengine wa Asia...
wanajua 'risks' za negotiation za kibiashara kwa kutumia lugha ambayo siyo yako

na wa la sio suala la governance ....ni suala la mikataba na negotiations za kibiashara na nchi zingine.
na 'risks' za kuzidiwa ujanja simply sababu lugha inayotumika huifahamu kama mwenzio unae ingia nae mkataba...
 
Kama tunataka kupata kitu cha maana mjadala uanzie huku uraini. Kuwepo na roundatable meetings na wataalam (wapo) wa ndani na nje halafu mapendekezo yatolewe. Bunge letu lilivyo sasa hivi ni uwanja wa mipasho, hakuna la maana litapatikana pale kama msukumo hautatoka huku uraiani.

mkuu ndio maana nakomaa hii hoja iletwe kwa wananchi tuijadili (officially), ni bunge hili hili lilotuletea sheria mbovu za madini zinazotutafuna mpaka kesho halafu leo hii tuwape tena nafasi ya kututengenezea sheria za gas & oil? BIG NO.

Mpaka sasa tayari watu wameshaingiziwa fedha za gas & oil huko switz na hata zitto mwenyewe analifahamu na hakuna hatua wala dalili ya kuchukua hatua, halafu leo tunakuja hapa kujadili mchakato wenye harufu ya yai viza tukitegemea utakuja kunukia waridi mbeleni. Kabla ya kupoteza nguvu kwenye keyboard tuapate kwanza majibu ya chanzo cha hizo rushwa.. ni nani alipokea na kwasababu ipi? isijekuwa watakao tunga hizo sera na sheria za gas & oil ndio waliokula mlungula! tusipokuwa na uzalendo tutaendelea kulizwa mpaka tunaingia kaburini.. sina imani kabisa hapa naona ni yale yale ya mrahaba wa %2
 
Tusigawe vitalu vipya kwa kampuni za nje. Tuanzishe shirika la kibiashara PetroTan litakalofanya kazi kwa misingi ya kibaishara kama StatOil, shirika hili liwe na vitalu hivi. Uzoefu unaojengwa sasa tuutumie kujipanga.

Mh. if you had coordinated your ideas right from the start like you did today we would never have accused you of ill motives. Now we're moving pretty much at the same pace

Apparently you like the Norwegian approach and that makes two of us. I see nothing wrong with it.

My question though is what's your misgivings about Prof. Muhongo and the TPDC board first reviewing the contracts before presenting them to the public? Do you remember when arguing in favor of prof Muhongo I even used the term getting himself "acquanted" before facing public scrutiny
 
Declassified? Not a chance!

ZZK in my opinion is a renegade, breaking loose from the inner circle of mafisadi. Hasira za mkizi furaha ya mvuvi. I'm so happy, brother

Thanks ZZK this is what I call transparency. Keep this coming and you'll win back my trust, brother ZZK

I am afraid your trust is so easily won, what is so sensitive about this info? Everything is gazetted.

Watu wavivu kufuatilia tu.

Nchi ya watu milioni arobaini na kitu, utajiri wa nishati , matatizo kibao ya nishati, hamna hata gazeti moja la mambo ya nishati!
 
, what is so sensitive about this info? Everything is gazetted.

You're the one that said the fact that that info is out it must have been declassified!

What kind of gazette? who has access to it? Is it online? Or it could be that you have access to it by virtue of being a policymaker so you think even a common man on the street has that privelege too?
 
You're the one that said the fact that that info is out it must have been declassified!

What kind of gazette? who has access to it? Is it online? Or it could be that you have access to it by virtue of being a policymaker so you think even a common man on the street has that privelege too?

Google is your friend.

simpsons_board.gif
 
Google is your friend.

simpsons_board.gif

If only you knew google is the site I can't live without... the thing however is that if you read that part ZZK says our minister of finance gave a detailed discovery disclosure to IMF! that made me sick to my stomach! The tool of imperialism! This should tell you that
our leaders are installed by these institutions to safeguard interests of western countries

ZZK made my day. And the whole thing, if you've been following carefully, is seemingly about conflict of interest between Norway and other G7 countries led by the US. I wouldn't like to think ZZK speaks for the people here, to me it seems like he is a stooge of the Norwegians

But if I'm to choose, Norway offer a better package/approach. Kind of a win win package
 
Zitto nakushukuru karibu Texas. USA haiongozi kwa kampuni kubwa za mafuta lakini inaongoza kwa biashara za mafuta ni lazima uweze kutofautisha hilo. Houston ndiyo sehemu kuu Duniani ya biashara ya Mafuta hata hizo kampuni za Europe nyingi zina operation hapa kuliko hata Europe. Uchumi wa Houston na Dallas ni Mafuta na ndiyo maana Tender nyingi zinafanyika hapa ni kama vile ilivyo New York Stock Exchange kwenye maswala ya Socks na Bonds. Makampuni mengi sio ya New York lakini ndipo biashara kubwa zinafanyika. Vilevile tofauti na sehemu nyingine kampuni zote kubwa Duniani zina office hapa kwasababu ni rahisi kufanya biashara kwenye mji mmoja. Kuna kampuni za vipuli kama Camron ambazo unaweza ukawa huzijui lakini bila hizo huwezi kufanya uchimbaji kwenye Deep Sea. Hivyo nilikosea nilivyosema Head office lakini hapa ndipo biashara ya mafuta na Gas ipo sana hata kampuni za Saudi na Qatar zipo hapa. Mimi ningeshauri tufanye mkutano wa Watanzania hapa kujadili Oil and Gas next year.


Nashukuru kwa mchango wako na mwaliko wako wa kuja Texas. Mungu akipenda nitakuja. Unajua safari ni gharama na safari kama hizi za kujifunza hulipiwi na Serikali au Bunge maana ni maarifa yangu binafsi kwa ajili ya Taifa langu. Nitajikusanya na kuweka akiba ili niweze kufika huko. Hata hivyo, Texas sio makao makuu ya makampuni yote. Katika makampuni makubwa ya mafuta duniani makampuni ya kimarekani ni mawili tu ie exxon mobil na Chevron. Mpaka mwezi Machi mwaka 2011 makampuni makubwa ya mafuta yaliongozwa na PetroChina, Royal Dutch Shell, Exxon Mobil, PetroBras, China Petroleum and Chemicals, Gazprom na Chevron. Nilikwenda The Hague ambapo ni makao makuu ya Royal Dutch Shell. Nimekwenda Norway ambapo ni makao makuu ya StatOil na inshaallah nitakuja Texas pia. Nitafurahi kukutana na Watanzania walio kwenye sekta hii ili kujifunza na kuona namna ya kuhakikisha nchi yetu inafadika na mafuta na gesi asilia.

Kwenye hoja.

Nataka kusimamisha utafiti wa mafuta? Hapana. Naona utembelee blog yangu ili usome vizuri mawazo yangu. Ninasema tusigawe vitalu vingine kwanza mpaka tupate uzoefu wa haya yaliyopatikana na kujenga uwezo wetu wenyewe wa kuchimba mafuta na gesi yetu. Katika mapendekezo yangu nimeshauri kwamba tuwe na Shirika la Mafuta la kibiashara ambalo litawekeza kwenye utafutaji kama yanavyofanya mashirika mengine mfano PetroBras. Badala ya kugawa vitalu kwa makampuni haya ya kigeni, vitalu vigawiwe kwa Shirika hili la Umma. Lakini tunahitaji kujenga uwezo wetu kwanza na hata kuchukua Watanzania walioko nje kwenye sekta hii kuja kuendesha Shirika hilo kisasa na kibiashara.

Hivi sasa kuna PSAs 29 na leseni 26 za utafutaji wa mafuta na Gesi. Tuache utafutaji huu uendelee. Tusigawe vitalu vipya kwa kampuni za nje. Tuanzishe shirika la kibiashara PetroTan litakalofanya kazi kwa misingi ya kibaishara kama StatOil, shirika hili liwe na vitalu hivi. Uzoefu unaojengwa sasa tuutumie kujipanga.

Narudia sipingi utafiti kuendelea. Napinga kutoa vitalu vipya kwa makampuni ya nje. Vitalu vya sasa viendelee na utafiti. Vitalu vipya visubiri. Haraka ya nini?
 
If only you knew google is the site I can't live without... the thing however is that if you read that part ZZK says our minister of finance gave a detailed discovery disclosure to IMF! that made me sick to my stomach! The tool of imperialism! This should tell you that
our leaders are installed by these institutions to safeguard interests of western countries

ZZK made my day. And the whole thing, if you've been following carefully, is seemingly about conflict of interest between Norway and other G7 countries led by the US. I wouldn't like to think ZZK speaks for the people here, to me it seems like he is a stooge of the Norwegians

But if I'm to choose, Norway offer a better package/approach. Kind of a win win package

I am not even against the Norwegians giving their two cents, for starters they were asked by our government.

I am just appalled that fifty years after independence we have to ask the Norwegians for a strategic plan formulation, as if the Norwegians do not have a stake and are super benevolent.

To make matters worse the whole thing is done so publicly and with such fanfare to make it more humiliating than helpful to the discerning.

Hivi wale ma Chifu waliosainishwa mikataba na Carl Peters na hawa viongozi wetu wa leo wana tofauti gani ukiondoa tu timeline na the fact kwamba hawakuwa na exposure sana ya kimataifa, which makes our current "leaders" even worse.
 

Two important things must be considered in the anticipated Gas Economy. One is the Human Capital. Tanzania has very few experts on Hydrocarbons, hard stuff like Engineering and Geology as well as soft like Energy economists, Lawyers specialising on Petroleum and even sociologists. It is highly suggested that a Mtwara University be established with campuses in Mtwara and Lindi municipalities to train Tanzanians on these areas and more. Vocational training is of paramount importance to the middle and lower cadres in the sector. Otherwise Tanzaniawill find itself importing welders as experts. This has to be done now and not later.

Second is the reforms of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC). As it stands TPDC is now a regulator of upstream (although some argue it is the Commissioner for Energy) and a participant to the ventures with the free carried interest. It is highly suggested that a National Oil and Gas Company (Petroleum Corporation of Tanzania – PETROTAN) be established and actively participate in the sector as an investor with huge stakes. It must be highlighted here that PetroBras, Petronas and StatOil are state companies in their own countries. The role of a regulator shall be separated from role as participants/ investor in hydrocarbon companies. PETROTAN would have various subsidiaries in the midstream (like the Pipeline) and downstream (like outlet Gas stations). These reforms should bed one as early as practical to enable the country prepare well for the exploitation of the resource wealth from hydrocarbons.

In conclusion, Tanzania must from start institutionalise governance issues in the Oil and Gas by ensuring transparency in contracts as well as total commitment to Extractive Industry Transparency Initiative.
The EITI bill must be brought to Parliament to ensure transparency and Accountability.
These will lay a strong foundation for country to avoid a Resource Curse and ensure trust from citizens about their natural resources wealth, the trust that waned in mining sector.


Mh.Zito kwanza hongera kwa kuleta hoja hii.
Lakini napata shida kidogo kwani wewe kama moja wa wajumbe halali wa Bunge la JMT nilitegemea baada ya kuwa na mtazamo huu wa kuona haja ya kuwa na Sheria pamoja na Sera hasa itakayosimamia masuala ya Mafuta na Gesi ingependeza na kwa kweli mimi nilitegemea hii kichwa cha hoja hii ingekuwa ya kuomba maoni ya mwisho toka kwa wadau
kwamba UKO KWENYE HATUA YA MWISHO YA KUWASILISHA HOJA BUNGENI KUITAKA BUNGE KUIKUBALI PENDEKEZO LA KULETWA MSWADA WA SHERIA YA MAFUTA NA GASI PAMOJA NA KANUNI ZAKE .

Mchango wangu kwenye hoja .
Wakati wa mchakato wa Sheria pamoja na mambo mazuri uliyoyadokeza kama kuwa na wataalamu wetu katika kila fani inayoizunguka mafuta na Gesi kuna jambo muhimu sana ambalo hili sheria inatakiwa kulisimamia/kulidhibiti.(EXPORT OF GAS/OIL)


Nishati hizi ni muhimu kwa muhimili wa uchumi kwa mtanzania mojamoja.Hivyo sheria inatakiwa itamke waziwazi viwango vitakavyokubalika kusafirishwa nje viwe ni ziada ya uzalishaji baada ya kutoa mahitaji halisi ya watanzania.
Tamaa ya kuwa na Dola kwa kupitia uuzaji nje mafuta na Gesi mwishowe dola nyingi zinaishia kwenye benki za Ulaya hazitawa saidi mtanzania na wala hatakwamuka toka lindi la umaskini.
Kwa maana hiyo kila Wilaya lazima kuwe na Ghala za kuhifadhia mali ghali hizi ambapo wastani wa mahitaji kwa kila wilaya utakuwa tayari unajulikana na kuwauzia watanzania kwa bei mzuri.


 
I am not even against the Norwegians giving their two cents, for starters they were asked by our government.

I am just appalled that fifty years after independence we have to ask the Norwegians for a strategic plan formulation, as if the Norwegians do not have a stake and are super benevolent.

To make matters worse the whole thing is done so publicly and with such fanfare to make it more humiliating than helpful to the discerning.

Hivi wale ma Chifu waliosainishwa mikataba na Carl Peters na hawa viongozi wetu wa leo wana tofauti gani ukiondoa tu timeline na the fact kwamba hawakuwa na exposure sana ya kimataifa, which makes our current "leaders" even worse.

Hakuna tofauti hata kidogo.Hii ni aibu tupu.Mwalimu Nyerere alikwishaonya mapema kuwa mwisho wa siku hata Magereza tutabinafsisha.Naona tumeanza kidogox2 kwa kuanza na akili za kufikiri.
Watu hawa tunaogombana nao kwenye uwekezaji wa madini tunawaita na kuwaomba Ushauri!!!
 
Back
Top Bottom