Tanzania wavuta bangi ni milioni 3.6 tu hali iko hivi, wakifika milioni 20 itakuaje?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,906
Kwamba wavuta bangi Tanzania wanakadiriwa kua milioni 3.6 kati ya watanzania milioni 58, kama wako milioni 3.6 hali iko hivi inaonyesha karbu kila mtu ni mvuta bangi, je watakapofika milioni 20 hali itakuaje?

Wavuta bangi wengi Afrika wanatoka Nigeria-20M+, Tanzania ni ya 5 kua na wavuta bangi wengi.

1. Nigeria-20M.
2. Eithiopia-7M
3. Misri-5.6M
4. DRC- 4M
5. Tanzania-3.6M
6. Kenya-3.2M
7. Uganda-2.4M.

Huu ni utafiti kutoka taasisi ya New Frontier.

Hivi siku wavuta bangi wakifika milionj 10 tu si hii nchi itatumbukia shimoni.
 
Kwamba wavuta bangi Tanzania wanakadiriwa kua milioni 3.6 kati ya watanzania milioni 58, kama wako milioni 3.6 hali iko hivi inaonyesha karbu kila mtu ni mvuta bangi, je watakapofika milioni 20 hali itakuaje?

Wavuta bangi wengi Afrika wanatoka Nigeria-20M+, Tanzania ni ya 5 kua na wavuta bangi wengi.

1. Nigeria-20M.
2. Eithiopia-7M
3. Misri-5.6M
4. DRC- 4M
5. Tanzania-3.6M
6. Kenya-3.2M
7. Uganda-2.4M.

Huu ni utafiti kutoka taasisi ya New Frontier.

Hivi siku wavuta bangi wakifika milionj 10 tu si hii nchi itatumbukia shimoni.
Misri na naija zipo shimoni?
 
Bangi haina tatizo lolote....
Kwa hisani ya wavutaji
Kwamba wavuta bangi Tanzania wanakadiriwa kua milioni 3.6 kati ya watanzania milioni 58, kama wako milioni 3.6 hali iko hivi inaonyesha karbu kila mtu ni mvuta bangi, je watakapofika milioni 20 hali itakuaje?

Wavuta bangi wengi Afrika wanatoka Nigeria-20M+, Tanzania ni ya 5 kua na wavuta bangi wengi.

1. Nigeria-20M.
2. Eithiopia-7M
3. Misri-5.6M
4. DRC- 4M
5. Tanzania-3.6M
6. Kenya-3.2M
7. Uganda-2.4M.

Huu ni utafiti kutoka taasisi ya New Frontier.

Hivi siku wavuta bangi wakifika milionj 10 tu si hii nchi itatumbukia shimoni.
 
Tanzania inaongoza Afrika Mashariki, huku ikishika nafasi ya 5 Afrika kwa kuwa na watumiaji wengi wa bangi (milioni 3.6) licha ya kuharamishwa. Kenya ni ya pili Afrika Mashariki, ina watumiaji milioni 3.3, na Uganda watumiaji milioni 2.6, utafiti wa New Frontier Data umeonesha.

1. Nigeria 20.8m
2. Ethiopia 7.1m
3. Egypt 5.9m
4. DRC 5m
5. Tanzania 3.6m
6. Kenya 3.3m
7. Sudan 2.7m
8. Uganda 2.6m
9. Madagascar 2.1m
10. Ghana 2m.

In Africa, Nigeria, the most populous nation on the continent, is leading the pack of marijuana consumers with 20.8 million people, followed by Ethiopia (7.1 million), Egypt (5.9 million) and Democratic Republic of Cong with 5 million.

In East Africa alone, nearly 10 million people illegally use cannabis for various reasons.

Tanzania, which sits in 5th position among the top 20 marijuana consuming African countries, leads East African region with 3.6 million consumers, followed by Kenya in the 6th position with 3.3 million and then Uganda in the 8th position, with 2.6 million users. Burundi and South Sudan are not mentioned in the new report.
Sudan is 7th with 2.7 million cannabis users, followed by Madagascar (2.1 million), Ghana (2 million), Mozambique (1.9 million) and Angola (1.8 million).

The African countries with the least marijuana consumers, according to the 2019 report, are Zimbabwe with 1.1 million, Malawi (1.2 million), Niger (1.2 million) and Zambia with 1.4 million.

The new report is based on engagement with stakeholders on the ground, and intended for African policymakers, government officials, entrepreneurs, foreign investors, and casual observers interested in the medical cannabis and industrial hemp markets for their potential benefits in Africa.
 
Waacheni wa TZ wale Cannabis....maana si dhambi...labda kisheria ndo makosa...lakini lazima tuchome kaya bila haya...
 
Kwa hiyo mmefanya utafiti ili irasimishwe? Mnaacha fanya sensa za maana mnatafuta wavuta bangi? Shame on u.
 
Watanzania tupo milioni 50 kati ya hao watu wazima wanaweza kuwa milioni 20, kati ya mil 20 wanaume ambao ndio watumiaji wa kubwa wa ganja wapo mil 9 na wanawake mil 11, tufanye wanawake wanaotumia ganja ni laki 6 na wanaume milioni 3 sasa kwa utafiti huo kila wanaume 3 mmoja anavuta bangi.
Watafiti uchwara.
 
Hehehe!! Nakumbuka niliona video mkulu Tanzania akimshauri waziri fulani atumie bangi kisiri ili aweze kuwa mkali nikaishia kushangaa, hii taarifa imetoa majibu kwanini kule Tanzania huwa kuna matukio ya kiajabu ajabu na kauli na matamko balaa kila mara kiongozi yeyote anapopewa kipaza sauti ahutubie.
Watanzania watajwa kuongoza Afrika mashariki kwa utumiaji wa bangi, na pia wao ni namba tano Afrika.....hongera zenu majirani whatagwan po pow po rastafarians
-----------------

Tanzanians consume more marijuana than any of their East Africa Community (EAC) counterparts, according to a new report. UK’s New Frontier Data ranks Tanzania fifth in Africa, with 3.6 million of its citizens said to take marijuana.
In EAC, Tanzania leads the two other populous nations Kenya with 3.3 million consumers and ranked sixth in Africa while Uganda with 2.6 million consumers is ranked eighth in Africa.
Top consumers in Africa, according to the report, are Nigeria with 20.8 million users, Ethiopia with 7.1 million people, Egypt 5.9 million people and DR Congo taking the fourth slot with 5 million people.
 
What is so special with that.
Tunapika mboga, pia majani yake dawa ya tumbo, mbegu zake karanga tunaunga kwenye mboga. Tunaogea kutoa harara mwilini, nk.
Tumeanza kutumia tangu enzi.
 
Ndio maana bongo peace sana. Bora sensiminia kuliko miraa. Mla miraa hana tofauti na mbuzi
 
Hehehe!! Nakumbuka niliona video mkulu Tanzania akimshauri waziri fulani atumie bangi kisiri ili aweze kuwa mkali nikaishia kushangaa, hii taarifa imetoa majibu kwanini kule Tanzania huwa kuna matukio ya kiajabu ajabu na kauli na matamko balaa kila mara kiongozi yeyote anapopewa kipaza sauti ahutubie.
Watanzania watajwa kuongoza Afrika mashariki kwa utumiaji wa bangi, na pia wao ni namba tano Afrika.....hongera zenu majirani whatagwan po pow po rastafarians
-----------------

Tanzanians consume more marijuana than any of their East Africa Community (EAC) counterparts, according to a new report. UK’s New Frontier Data ranks Tanzania fifth in Africa, with 3.6 million of its citizens said to take marijuana.
In EAC, Tanzania leads the two other populous nations Kenya with 3.3 million consumers and ranked sixth in Africa while Uganda with 2.6 million consumers is ranked eighth in Africa.
Top consumers in Africa, according to the report, are Nigeria with 20.8 million users, Ethiopia with 7.1 million people, Egypt 5.9 million people and DR Congo taking the fourth slot with 5 million people.
Tatizo lako Una reasoning capacity ndogo
Twende sasa:
Formula= n/N×100
Where n= number of marijuana consumers
N= Total number of population
Kenya Population ( according to 2017) 38M
Tanzania Population (same yr) 50M
n for Kenya 3.2M
Tz 3.6M
Kenya: ( 32/380) × 100 =8.4%
Tanzania : (36/500)×100= 7.2%
 
Back
Top Bottom