Tanzania wasomi wanapoteza muda na MB nyingi mno kwa mambo yasiyoingiza pesa

Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.

Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.

Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.

Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...

So many social media groups but with stupidity inside.
Kweli na ww ni mtanzania
 
Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.

Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.

Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.

Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...

So many social media groups but with stupidity inside.
Wewe uliyeandika huu uzi ni msomi au ni layman tu. Unajua kwa Dunia ya Sasa Instagram, Facebook, youtube, n.k Kuna fursa nyingi tu. Fursa ni very subjective, Kuna wengine fursa ni kusoma mpaka PhD afundishe vyuo, wengine ni kusoma degree 1 na kuwa programmer, wengine ni form four leaver lakn wanauza bidhaa kwenye mitandao unayo inanga. Je, kwako msomi ni mtu wa PhD, na je una recommend wasome site gani ili wapate fursa?
 
Back
Top Bottom