MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,756
- 48,401
Watz humu kila siku wanatutambia kuwa wanajenga kila kitu kwa pesa yao ya ndani, mbunge wa Kigoma bwana Zitto Kabwe ametabainisha taarifa za deni la Tanzania, kwa miaka miine ya awamu ya tano wamekopa zaidi ya miaka kumi ya awamu ya nne ya Kikwete.