pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Hahaa! Rais U.K huwa anahudhuria vikao ambavyo vinahudhuriwa na marais wa mataifa mengine ama wakati amealikwa na marais wenzake. Waziri Monica Juma na mawaziri wenzake wana majukumu yao pia na huwa wanazuru wakimuakilisha rais.Toka lini ulimuona jenerali anaenda mstari wa mbele vitani. Hakuna kiongozi anaweza kuacha Nerve Center na kweda kwenye tukio. Kenyatta amekiwa anacha kituo anaenda nje huku nyuma kina Ruto wanamwaga cash mitaani.