Tanzania: Wakimbizi kutoka Msumbiji warudishwa kwa nguvu walikotoka

Exactly, tatizo lipo kwenye rasilimali za nchi kuliwa na wachache na wengi kubaki mafukara so mwisho wa siku wanaamua kujitoa mhanga.
Bado ni fikra za kiumaskini tu!!

Hii ni Sawa kusema, Shamba la jirani yako limejaa mazao mazuri, halafu lako wewe Lina nyasi na takataka kibao

Umewahi kujiuliza Kwa nini ulaya kuna magari hupita kila Asubuhi kugawa mikate ya bule??

Je hao nao hawalioni Hilo la cake ya Taifa kuliwa na wachache??

Kila penye watu 10' ni 2% tu ambayo husema kila kitu kinawezekana, na 8% husema hawawezi na haitawezekana, hao 8% ndio hupenda vilivyo tayari na kutamani kuvipora
Na hao ndio hutumiwa na wale 2% kama chambo ili hiyo 2%iendelee kusema hata Hilo linawezekana
 
... mnakumbuka miaka ya nyuma watanzania walivyouliwa Msumbiji? Nina jaama yangu mmoja naye alikumbwa na kadhia hiyo; alifia huko. Ifike mahali ile huruma ya kuwapokea wageni tuseme basi; toka enzi za ukombozi wakivurugana wanakimbilia Tanzania; tuseme basi. Ya kwetu wenyewe yanatushinda, kila mtu abaki kwao kama ni exchange ziwe biashara sio watu.
Jamaa wabinafsi na wabaguzi mno, kila mmoja abebe mzigo wake, warudishwe walipotoka.
 
Kuna taarifa kuwa wakimbizi kutoka Msumbiji wanaokimbia kile kinachoitwa wanamgambo wa Alshabaab wamerudishwa walikotoka ili wasiingie nchini. Tayari umoja wa maataifa umeilaumu Tanzania kwa hatua yake hiyo...
Halafu mnalilia AFRICA IUANGANE NA NYIMBO ZENU ZA AFRICA NI MOJA!
 
Kuna taarifa kuwa wakimbizi kutoka Msumbiji wanaokimbia kile kinachoitwa wanamgambo wa Alshabaab wamerudishwa walikotoka ili wasiingie nchini. Tayari umoja wa maataifa umeilaumu Tanzania kwa hatua yake hiyo...
Asilimia kubwa hayakosi makundi ya waislamu. Na Wana waua waislamu wenzao
 
Msumbiji ishauriwe iongee na Wananchi wake wanayo madai halali.

Nguvu haitowasaidia unapopgana na Kundi ambalo halina cha kupoteza.

Wananchi wa Kaskazini ya Msumbiji wame baguliwa sana na Frelimo. Maeneo haya hakuna maendeleo yoyote yalio wekezwa.

Sasa kuna Gas kwa wingi nayo hawatafaidi na rasilimali hio ilioko maeneo yao.

Kama walikaa meza moja na RENAMO baada ya mapigano ya miaka mingi wafanye hivo hivo kwa waasi wa kaskazini.

Kuwabandika majina na wao kutumia njia yadini haifanyi kusifanyike mazungumzo
 
WaTz sio roho mbaya kama unataka ubaya ubaya ,basi na watanzania waliojiripuwa na kujiwasha huko maulaya nao wapigwe hesabu warudishe hata kama waliomba uraia wa huko na wakapewa.

Roho mbaya sio nzuri mpaka leo watz kibao wakipata mwanya hulukia nchi za ulaya na wanaanza kwa kuvuka mipaka hadi wanafika Moroko,sisi hapa tulivyo na roho mbaya hata waethiopia wanaoelekea sausi ya afrika tunawakaba.
 
Hawaendi Ulaya kwa Al Shabab ni Waafrika na ndio maana linabaki kuwa ni tatizo la Waafrika. Usitegemee chawa wa kinenani asumbue kichwani au kinyume cha hivyo.
 
Hapo vyombo vyetu vilikosea kuwarudisha Wakimbizi wakauwawe na Magaidi
 
Africa is been used by the west and all the problems in africa is man made created by mzungu,if you are akeen observer you will agree with me that all the african countries that is purported to have conflicts are rich in resources ,and this wazungus are after this resources, thats why they created all sorts of militias and name them different names like alshabaab ,bokoharam and so many other names, and in the middle of this chaos they steal african resources,and we africans are idiots to some extent coz we dnt think beyond the box ,no african should suffer in african soil ,so africans its time for us to stop listening to the whites and help one another,Africa is one regarless of the borders that seperates us. May the Almighty Bless Africa and its People.
 
Hawa waasi kabla ya kuanzisha shambulio hili la juzi walifika wiki kadhaa nyuma wakafikia kwenye nyumba za wenyeji wakahifadhiwa humo na silaha zao siku walipoanzisha mashambulizi walianzisha pemben ya mji na katikati ya mji ikawa vigumu kwa askari wa msumbiji kuwacontain waasi.

Jambo fikirishi; tunapopokea hawa wakimbizi tujue pia tunapokea washirika wa waasi kwenye mwamvuli wa ukimbizi.
Wewe na akili zako ndio uliamini porojo hizo.Kwani si kuna jeshi la Msumbiji na wareno pia wameshafika.Walipita wapi na silaha walipewa na nani?.Muhimu huku kwetu tusiruhusu ujinga huo.Tuwe mfano kwa Afrika kwamba matatizo tusiyoyataka yafike kwetu tuna uwezo wa kuyazuia yabaki huko huko yatokako.
 
Kwa ufupi, kila mtu ndo aubebe msalaba wake. Huko Kenya, wamekaribishwa na ndo hao hao wana destabilise nchi ya wanaowasaidia. Na inavyoonekana njia ya kuingia kwetu kawaida imeshindika, sasa wanaanza kutumia jina la ukimbizi.

Halafu mbona sehemu yenye machafuko ni kadogo sana. Wachukuliwe wapelekwe huko huko kwao kwenye maeneo mengine yenye amani au labda kama wana nia nyingine
 
Back
Top Bottom