Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

The fact that you did not elaborate what and how did I miss says more about who is the one missing more than any argument I can make towards supporting the notion that I did not miss.

If you have the courage to engage in a toe to toe exchange on your logic, or rather lack of, in that misguided attempt at analogy, my intellect is more than aroused to accommodate that, with a due tax in the form of slapstick and the now trademark ridicule that should be mandatory to any hot-air harrowing hubris hugging haughty hard headed hopeful hollow hoity-toity honking hoi-polloi harboring hat-tricks on the holy Hammurabi, aka myself .

Making any sense? here we go


Name Emmanuel Nchimbi
Surname Nchimbi
First Names Emmanuel John
Alternate Name
Title Dr
Country of Birth Tanzania
Positions
From To Organisation Position
2008 Ministry of Defence & National Services Deputy Minister of Defence & National Service
2006 2008 Ministry of Labour, Employment & Youth Development Deputy Minister of Labour, Employment & Youth Development
2006 2006 Ministry of Information, Sports & Culture Deputy Minister of Information, Sports & Culture
2005 Songea Mjini Constituency MP for Songea Mjini
Date of Birth 24 Dec 1971
Political Affiliation CCM
eMail
Telephone
Address
Notes EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
CommonWealth Open University PhD (Management) 2001 2003 PHD
Mzumbe University MBA (Finance & Banking) 2001 2003 MASTERS DEGREE
CommonWealth Open University MSc. (Management) 1999 2001 MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - Mzumbe Advanced Diploma in Administration 1994 1997 ADV DIPLOMA
Forest Hill Secondary School A-Level Education 1991 1993 HIGH SCHOOL
Sangu Secondary School Secondary Education 1989 1990 SECONDARY
Uru Seminary Secondary Education 1987 1989 SECONDARY
Oysterbay Primary School Primary Education 1980 1986 PRIMARY
 
Making any sense? here we go


Name Emmanuel Nchimbi
Surname Nchimbi
First Names Emmanuel John
Alternate Name
Title Dr
Country of Birth Tanzania
Positions
From To Organisation Position
2008 Ministry of Defence & National Services Deputy Minister of Defence & National Service
2006 2008 Ministry of Labour, Employment & Youth Development Deputy Minister of Labour, Employment & Youth Development
2006 2006 Ministry of Information, Sports & Culture Deputy Minister of Information, Sports & Culture
2005 Songea Mjini Constituency MP for Songea Mjini
Date of Birth 24 Dec 1971
Political Affiliation CCM
eMail
Telephone
Address
Notes EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
CommonWealth Open University PhD (Management) 2001 2003 PHD
Mzumbe University MBA (Finance & Banking) 2001 2003 MASTERS DEGREE
CommonWealth Open University MSc. (Management) 1999 2001 MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - Mzumbe Advanced Diploma in Administration 1994 1997 ADV DIPLOMA
Forest Hill Secondary School A-Level Education 1991 1993 HIGH SCHOOL
Sangu Secondary School Secondary Education 1989 1990 SECONDARY
Uru Seminary Secondary Education 1987 1989 SECONDARY
Oysterbay Primary School Primary Education 1980 1986 PRIMARY

You clearly validate my pointed criticism of the improper and misguided usage of the Newton Non-Analogy.

You pointed out that Nchimbi should not be disturbed because even the Newtons of this world did not have formal education.

Then why bring this ton of alleged evidence for formal education?
 
You clearly validate my pointed criticism of the improper and misguided usage of the Newton Non-Analogy.

You pointed out that Nchimbi should not be disturbed because even the Newtons of this world did not have formal education.

Then why bring this ton of alleged evidence for formal education?


thts y u missed .

Can u prove us the fraud made by Nchimbi?? If yes lets go if otherwise -----.

Ok
mimi sikumfunanisha Newton na Nchimbi ila hoja yangu ilikua pale ya kwamba bila kokote waweza elimika no matter online or elsewhere.

During second world war
Polish were denied to attend any formal school,but the did thier best kwa kusomea majumbani wakiwa wamejificha na wengi wao walipata kua ma profesa kwa kusomea ndani.
mmoja wa wahanga hao ni POPE JONH PAUL 2nd.Naye alisomea ndani si shuleni.
Kumjaji mtu eti kua kafoji eti kwa vile hakupita udsm ama havard its COLONIAL MENTALITY.

kuna certificate nyingi mitihani zako unafanya online mfano ORCLE,CCNA na zingine nyingi ukiwa nazo hizi utafanya kazi kokote kule duniani tena hakuna kichaa wa kizungu atakaye kuuliza hii certificate uliipata online.

sikumfananisha Newton na hawa jamaa kwa upeo wao,ila ku crush pointi za wanaobeza digrii za wenzao.eti sijui wewe umesoma tsj ama sijui wapi.

Nitakubaliana na wewe ukithibitisha ya kwamba hao jamaa alitoa pesa tu na akapewa cheti hapohapo.
 
thts y u missed .

Can u prove us the flaud made by Nchimbi?? If yes lets go if otherwise -----.

Ok
mimi sikumfunanisha Newton na Nchimbi ila hoja yangu ilikua pale ya kwamba bila kokote waweza elimika no matter online or elsewhere.

During second world war
Polish were denied to attend any formal school,but the did thier best kwa kusomea majumbani wakiwa wamejificha na wengi wao walipata kua ma profesa kwa kusomea ndani.
mmoja wa wahanga hao ni POPE JONH PAUL 2nd.Naye alisomea ndani si shuleni.
Kumjaji mtu eti kua kafoji eti kwa vile hakupita udsm ama havard its COLONIAL MENTALITY.

kuna certificate nyingi mitihani zako unafanya online mfano ORCLE,CCNA na zingine nyingi ukiwa nazo hizi utafanya kazi kokote kule duniani tena hakuna kichaa wa kizungu atakaye kuuliza hii certificate uliipata online.

sikumfananisha Newton na hawa jamaa kwa upeo wao,ila ku crush pointi za wanaobeza digrii za wenzao.eti sijui wewe umesoma tsj ama sijui wapi.

Nitakubaliana na wewe ukithibitisha ya kwamba hao jamaa alitoa pesa tu na akapewa cheti hapohapo.

Flaud is a new word to me, etymology please?
 
That would constitute an endless logic loop that is bound to play out similarly to the Microsoft Exchange Server Auto-Reply feature triggered email being replied to by an Auto-Reply. An interesting logical loop to explore.

Thanks for the inspiration.

?????????????????????????????!
 
pundit

nimerekebisha jibu

COU is unacredited, Nchimbi is using unacredited credentials.

Furthermore at the same time he was enrolled for his "Masters" degree, which is a requirement for a PhD, he was already doing his PhD

CommonWealth Open University PhD (Management) 2001 2003 PHD
Mzumbe University MBA (Finance & Banking) 2001 2003 MASTERS DEGREE

Unawezaje kuanza form one na form five katika mwaka mmoja wakati kuingia form five inabidi uwe umemaliza form four?

http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_unaccredited_institutions_of_higher_learning

http://www.osac.state.or.us/oda/unaccredited.aspx

http://www.thecb.state.tx.us/AAR/PrivateInstitutions/NoTX.cfm
 
COU is unacredited, Nchimbi is using unacredited credentials.

Furthermore at the same time he was enrolled for his "Masters" degree, which is a requirement for a PhD, he was already doing his PhD



Unawezaje kuanza form one na form five katika mwaka mmoja wakati kuingia form five inabidi uwe umemaliza form four?

http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_unaccredited_institutions_of_higher_learning

http://www.osac.state.or.us/oda/unaccredited.aspx



http://www.thecb.state.tx.us/AAR/PrivateInstitutions/NoTX.cfm



sawa mkuu pundit.

Nakubali kabisa na nilishaona hiyo kitu .Bado hujaenda sambamba na mimi ninachongelea.
soma tena ugundue nini naongelea.
 
Pundit

Wanasayansi wengi tunaowasoma leo wengine hata sekondari hawakupita. Na kuelimika hakutegemei umepita watu.

The so called Certificate got nothing na uelimika wako ,wangu ,wake .

I urge u get back en come out na maana halisi ya certificate.

The brunt of my argument ni kwamba, hatumuoni Nchimbi wa ajabu kwa sababu hakusoma, hell Mrema ilikuwa karibu awe rais bila hata degree, Karume inawezekana amefanya mengi tangible Zanzibar bila ya kuwa na degree kuliko hata wenye degree.Harry Truman hakuwa na degree lakini anasemwa kuwa mmoja wa marais wazuri kabisa wa marekani wa karne iliyopita.Waziri Mkuu wa Uingereza wa zamani John Major aliweza kufanya hiyo kazi bila ya degree. Mifano ni mingi tu.Lakini wote hao, kuanzia Karume, Harry Truman mpaka John Major hawakujifaragua kuwa wana degree kwa kwenda kuchukua vikaratasi katika hizi diploma mills, mtu yeyote mwenye kuelewa elimu atawaheshimu hawa.

Tatizo linakuja siyo kwa sababu kasoma au hajasoma, tatizo linakuja anapojitia kasoma kwa kutumia mivyeti feki isiyo na accreditation ambayo kaikusanya kusanya tu, huku anasoma masters huku anasoma PhD.

Ushaona wapi kitu kama hicho? Tatizo si klwamba kaelimika au hakuelimika, tatizo ni mdanganyifu kitu ambacho kiko lower than kutoelimika.

Mimi naweza kumuamini mtu asiyeelimika zaidi kuliko aliyeelimika lakini mdanganyifu.Mtu kama Mkullo inawezekana kasoma degree ya kwanza chuo kikuu kizuri tu, sasa katika kutaka misifa kaenda kuchukua MBA ya Almeida, hiyo degree inaleta mashaka katika usomi wake wote, kuanzia wa degree ya kwanza mpaka ule wa maarifa ya kawaida tu. The same applies to Nchimbi.
 
...where are you going with this now? i hope it's not what i think it is....

That's Craig Fergusson, wewe ulifikiri nini?

Wameihamisha kutoka Masau kuja huku, sasa naona unataka waipeleke kwenye entertainment :)

This is online media people, not print.
 
Bandugu,

Kama kawaida yangu naangalia tena upande mwingine wa shilingi.
HAWA JAMAA HAWAKUFOJI VYETI. Vyeti wamepewa, sasa kama ni feki au la, nyinyi ndio muwaambie!!

Kwahiyo sakata hii itaishia hivi: Serikali inapenda kutoa tamko rasmi kuwa imewahoji wahusika na kugundua kuwa hawakuwa wanafahamu kuwa vyeti vitolewavyo na vyuo..a,b,c etc havitambuliwi kimataifa/kitaifa. Hivyo basi watuhumiwa wanatakiwa wasitumie vyeti hivyo na wengine walisoma kwenye vyuo hivyo waache mara moja kutumia vyeti hivyo.
Period!

Subirini

FD


Unapoongelea kugushi (kufoji) vyeti, si kuingia mitamboni na kufyatua vyeti wewe.
Ila kukubali kupewa cheti ambacho hakiendani na Sifa zako kitaaluma na kukitumia kuonesha kuwa wewe una taaluma hiyo ni kudanganya, na kudanganya kwa kutumia documents maana yake ni "KUGUSHI" (kufoji).
 
Tatizo hili ni kubwa sana, inabidi serikali yetu ichukue hatua za haraka na za makusudi kabisa.
 
[media]http://www.michigan.gov/documents/Non-accreditedSchools_78090_7.pdf[/media]

Of interest are some of the "schools":
1. Almeda: "Alumni" include-you-know-who is charged with economic planning of this great country. In 2004 the CBS affiliate in Albany, New York, ran a report on Almeda that featured Peter Brancato, who had filled out an application for an associate degree on behalf of his dog, Wally. Part of the "life experience" listed on the application was "Plays with the kids every day ... teaches them to interact better with each other ... Teaches them responsibilities like feeding the dog." Almeda granted Wally an associate's degree in childhood development with a course list including European culture, college algebra, American history, and public speaking.[13] In reply, Almeda claims Brancato perjured himself by creating a false identity using a fabricated name and date of birth. They write, "He completed an application that included a background of the following: Eight-years tutoring pre-K children, curriculum design and development, teaching coping skills, and volunteer coaching."[14] Source: [media]http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University[/media]

2. Commonwealth Open University: "Alumni" include Nchimbi and some others.

3. Pacific Western University: "Alumni" include Augustine Mrema, and almost the entire teaching staff of SUA! Vihiyo wanagawa elimu - sasa nani ndiye aliye elimika hapa?

Halafu eti wanakwenda kushika watoto wa vigogo benki kuu, watu ambao si ajabu kazi zao hazina bearing zozote na ufisadi uliotokea huko (japokuwa kuforge vyeti noma)

Hawa viongozi wa juu serikalini na bungeni je watasombwa mahakamani kujibu mashitaka ya kutumia stashahada feki either kwa kuendeleza career zao au kuchaguliwa kushika madaraka ya ubunge nk??

Mavi kunuka!!
 
[media]http://www.michigan.gov/documents/Non-accreditedSchools_78090_7.pdf[/media]

Of interest are some of the "schools":
1. Almeda: "Alumni" include-you-know-who is charged with economic planning of this great country. In 2004 the CBS affiliate in Albany, New York, ran a report on Almeda that featured Peter Brancato, who had filled out an application for an associate degree on behalf of his dog, Wally. Part of the "life experience" listed on the application was "Plays with the kids every day ... teaches them to interact better with each other ... Teaches them responsibilities like feeding the dog." Almeda granted Wally an associate's degree in childhood development with a course list including European culture, college algebra, American history, and public speaking.[13] In reply, Almeda claims Brancato perjured himself by creating a false identity using a fabricated name and date of birth. They write, "He completed an application that included a background of the following: Eight-years tutoring pre-K children, curriculum design and development, teaching coping skills, and volunteer coaching."[14] Source: [media]http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University[/media]

2. Commonwealth Open University: "Alumni" include Nchimbi and some others.

3. Pacific Western University: "Alumni" include Augustine Mrema, and almost the entire teaching staff of SUA! Vihiyo wanagawa elimu - sasa nani ndiye aliye elimika hapa?

Halafu eti wanakwenda kushika watoto wa vigogo benki kuu, watu ambao si ajabu kazi zao hazina bearing zozote na ufisadi uliotokea huko (japokuwa kuforge vyeti noma)

Hawa viongozi wa juu serikalini na bungeni je watasombwa mahakamani kujibu mashitaka ya kutumia stashahada feki either kwa kuendeleza career zao au kuchaguliwa kushika madaraka ya ubunge nk??

Mavi kunuka!!

Mkubwa angalia tena source yako ya information, hapo umechemka vibaya sana!
 
Vyeti feki vyatesa 'walimu'
Imeandikwa na Waandishi Wetu;



Vyuo mbalimbali vya ualimu nchini mwaka huu vimejikuta vikipungukiwa idadi ya watahiniwa wa mtihani wa Ualimu Daraja la III A tofauti na ilivyotarajiwa baada ya baadhi yao kuzuiwa kutokana na kuwa na vyeti vya kidato cha nne vyenye utata. Ingawa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi sambamba na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) havijatoa taarifa rasmi juu ya idadi ya waliofanya na waliokosa sifa kufanya mtihani huo ulioanza mapema mwezi huu nchini, lakini taarifa zinaonyesha kuwa vyuo vingi vimekumbwa na hali hiyo.

Mkurugenzi wa NECTA, Dk. Joyce Ndalichako, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, alithibitisha kuwapo vyuo ambavyo wanafunzi wameshindwa kufanya mtihani kutokana na vyeti vyao kuonyesha utata. Bila kutaja idadi ya nchi nzima, alitoa mfano wa Chuo cha Ualimu Kange mkoani Tanga na kusema kati ya wanafunzi 1,588 waliotegemea kufanya mtihani, wanachuo 154 pekee ndiyo wamesajiliwa. Mkuu wa Chuo cha Kange, Joel Mchome pia akithibitisha taarifa hiyo ya NECTA, aliliambia gazeti hili hivi karibuni kwamba kutokana na uhakiki uliofanyika, wanachuo 1,402 wamegundulika kutokuwa na sifa za kufanya mitihani ya taifa ya Ualimu ngazi ya cheti Daraja la III A ulioanza Mei 5, mwaka huu.

Wakati taarifa zilizolifikia gazeti hili zinaonyesha kuwapo wanafunzi wengi walioshindwa kufanya mtihani katika vyuo mbalimbali vya serikali na binafsi, Dk. Ndalichako akijibu maswali ya waandishi wakati akitangaza matokeo ya kidato cha sita, alisema idadi ya wanafunzi wa vyuo vya ualimu waliobainika kutokuwa na vigezo vya kufanya mtihani itajulikana wakati NECTA itakapotangaza matokeo Julai.

“Ni kweli kwamba Baraza limebaini kuna wanafunzi wa vyuo vya ualimu wana vyeti vya kughushi vya kidato cha nne na hapa sina takwimu kwa sababu nimekuja kutoa matokeo ya kidato cha sita ila watabainika wakati tutakapotangaza matokeo yao mwaka huu,” alisema Dk. Ndalichako. Kwa upande wa Chuo cha Kinampanda mkoani Singida, taarifa za hivi karibuni zilionyesha kwamba kati ya wanachuo 485 waliosajiliwa chuoni hapo kwa ajili ya mafunzo ya Ualimu Daraja la III A, 456 ndiyo waliohitimu huku 29 wakishindwa kutokana na kughushi vyeti na sababu nyinginezo.

Taarifa hizo zilitolewa na Mkuu wa Chuo hicho, Theresia Kavinda wakati wa mahafali ya 34 yaliyofanyika chuoni hapo mwishoni mwa mwezi uliopita. Gazeti hili lilibaini pia katika Chuo cha Ualimu Tarime kwamba wanafunzi 32 hawakufanya mtihani huo kutokana na tatizo hilo la vyeti. Kwa mujibu wa Mkuu wa Chuo hicho, Lucas Samwel, watakaofanya mtihani wa kuhitimu mwaka huu chuoni hapo ni 429. Vilevile Chuo cha Euckenforde cha mkoani Tanga, kimekumbwa na hali hiyo hali iliyosababisha wanafunzi zaidi ya 68 wa kozi ya Ualimu wa Daraja la III A kuandamana kulalamikia hatua ya Baraza la Mitihani kuwazuia kufanya mtihani.

Mkuu wa Chuo hicho, Dominick Katto hakuzungumzia undani wa tukio hilo zaidi ya kusema kwamba wenye mamlaka ya kufanya hivyo ni Baraza. Wakati huo huo, katika Chuo cha Bukoba kinachomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) (Bukoba Lutheran Teachers College -BLTC), Mkuu wa Chuo hicho, Issaya Bakinikana, aliliambia gazeti hili kwamba wanafunzi watatu wametoweka kabla ya kufanya mitihani ya kuhitimu mafunzo ya ualimu baada ya kugundulika kughushi vyeti vya kujiunga na chuo hicho.

Aliliambia gazeti hili ofisini kwake kwamba watahiniwa hao watarajiwa walitoweka kimya kimya chuoni hapo baada ya maofisa wa kutoka NECTA kuhakiki vyeti vyao na kugundua kwamba walivighushi kuingia katika chuo hicho kilichopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba. Kwa mujibu wa Bakinikana, mmoja ambaye ni Alinda Mughabuso alitarajiwa kufanya mtihani wa Ualimu Daraja la IIIA. Wakati akihojiwa, aliomba ruhusa kutoka nje ya chumba cha mahojiano kwa ajili ya haja ndogo ndipo akatumia nafasi hiyo kutoroka.

Wengine waliotoweka ni Ibrahimu Mangu na Nuru Abdul waliotarajiwa kufanya mtihani wa Shahada ulioanza Mei 11, mwaka huu. Abdul alibainika jina kama hilo linatumika katika Chuo kingine cha Ualimu cha Bunda mkoani Mara. Watahiniwa wa Ualimu Daraja la IIIA chuoni hapo ni 80 na wa Shahada ni 21. Hatua hiyo ya wanachuo kutofanya mitihani hiyo inayoendelea, inatokana na uhakiki wa vyeti uliofanywa na NECTA kabla ya mitihani hiyo kufanyika na kubaini maelfu ya wanafunzi wenye vyeti vyenye utata.

Awali, yalitangazwa majina yapatayo 3,000 kutoka vyuo mbalimbali wahusika wakidaiwa kutumia vyeti vyenye utata. Baadhi walidaiwa kutumia vilivyokwishatumika na wahitimu wa miaka ya nyuma na vingine vikitumiwa na watu zaidi ya mmoja. Baada ya kubaini hilo takribani miezi miwili iliyopita, NECTA ilitoa muda kwa wahusika kuwasilisha utetezi wao kabla ya kuondolewa kwenye orodha ya wanaofanya mitihani, jambo ambalo baadhi wameshindwa kutekeleza na kujikuta wakishindwa kufanya mitihani.

Licha ya kutofanya mitihani, tayari baadhi ya wanachuo 61 wameshafikishwa mahakamani na NECTA kutokana na kuwasilisha nyaraka za kughushi au vyeti vya watu wengine kwa uhakiki katika Baraza. Taarifa ya NECTA ya mwezi uliopita, inaonyesha vyuo ambavyo watu wake walifikishwa mahakamani na idadi yao kwenye mabano ni Montessori (1), St Francis Nkindo (3), Kange (16), Eckenford (13), Sahare (7), Bukoba Lutheran (1) na Mpuguso-Mbeya (2). Vingine ni Capital (6), Arafah (2), Arusha T.C (2), Greenbird (3), Tanzania College of Early Education (4) na Seminari ya Salesian (1).
 
Ni kweli hali inatisha! Kwa mwendo huu mustakabali wa elimu ya Tanzania umewekwa njia panda.

Lakini tujiulize, wimbi hili la kughushi vyeti ndio linaanza sasa ama lililkuwapo tangu zamani?(Labda baraza halikuwa makini hapo kabla!). Nini kinachangia kughushi vyeti?
 
Last edited:
Back
Top Bottom