Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,485
- 14,353
Kibacha na Deus F Mallya... tunachotaka kujua Chadema wamepata ruzuku yao? arguments nyingine sio mahali pake hapa....
Last edited by a moderator:
Bado nangoja mwenelezo wa darasa hili!.
Wakuu tiririka zaidi ili niweze kuelewa nielimike.
Kibacha na Deus F Mallya... tunachotaka kujua Chadema wamepata ruzuku yao? arguments nyingine sio mahali pake hapa....
aaah! kumbe hela mnapata sasa mbona mnatuchangisha na sisi wananchi wakat hatujui hzo mnazopata mnazifanyia nini...wizi mtupu
Kibacha na Deus F Mallya... tunachotaka kujua Chadema wamepata ruzuku yao? arguments nyingine sio mahali pake hapa....
aaah! kumbe hela mnapata sasa mbona mnatuchangisha na sisi wananchi wakat hatujui hzo mnazopata mnazifanyia nini...wizi mtupu
Nimeandika hapo juu Mkuu. Hadi jana Vyama vyote havijapata ruzuku. Pengine tuambiwe ni Ukata Serikalini.
Je anatoa sababu zipi za kuhold hiyo ruzuku? Nadhani anasababu zake. Sidhani kama anajiamini kiasi cha kuhold bila sababu ya msingi.
Wadau.........hivi CCM wanapata ngapi? ...... CDM?...... CUF nao? mwenye kujua anijuze tafadhali..... ..
huyu mpare ana matatzo
Huyu jamaa anapenda kubishana bila evidence. Hata kudhani kuwa Msajili siyo Mhasibu ameshindwa. Hata kukumbuka kuwa kasma ya kuendeshea nchi ambako ndiko fungu la kuendeshea Ofisi ya Msajili ni Tofauti na kasma inayotumika kulipa ruzuku zote nchini. Anajaribu kuwashawishi watu waelewe anavyotaka yeye. John Tendwa si Mhasibu na kazi yake ni kutoa Voucher ambazo zilishaandaliwa zina list ya vyama vyote.
Naomba Chepe iwe Chepe tusiite Kijiko, Tendwa ana udhaifu wake lakini kama hajafanya kosa la kuipa CCM ruzuku yake na kuwavima vyama vingine, au hana huo uwezo basi tusimzushie.Nimeandika hapo juu Mkuu. Hadi jana Vyama vyote havijapata ruzuku. Pengine tuambiwe ni Ukata Serikalini.
Naomba Chepe iwe Chepe tusiite Kijiko, Tendwa ana udhaifu wake lakini kama hajafanya kosa la kuipa CCM ruzuku yake na kuwavima vyama vingine, au hana huo uwezo basi tusimzushie.
Tuwekane wazi hii kitu imetokea au ni kutafuta idadi ya Topic humu JF?.
Udhaifu wa Tendwa na Ubovu wa maneno na maamuzi yake havipingiki. Ila inapoletwa hoja ya kisera na kimuundo ikiwa imebetuka kiasi hiki inatutia aibu kuwa hata pengine hatujui muundo na utendaji wa kazi za serikali inayoongozwa na rais kikwete ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi.
Udhaifu wa Tendwa na Ubovu wa maneno na maamuzi yake havipingiki. Ila inapoletwa hoja ya kisera na kimuundo ikiwa imebetuka kiasi hiki inatutia aibu kuwa hata pengine hatujui muundo na utendaji wa kazi za serikali inayoongozwa na rais kikwete ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi.
Hili jambo yafaa lipate maelezo vizuri:-Unajua Deus F Mallya usitake tukubali ama tuseme nyeusi ni nyekundu, Huu ndiyo ukweli kuwa CCM wameshachukua chao kama unabisha waulize, then nimekuambia cheki bila saini ya tendwa haitoki, mambo yote ya taarifa za vyama huchukuliwa pale, ule ni muhimili mwingine baina ya serikali na vyama vya kisiasa, acha ubishi usiyokuwa na tija mkuu, ninauzoefu na ofisi hii sasa najua kila kinachoendelea kinachotakiwa kufanyika kwaajili ya kuhujumu nguvu ya vyama vya upinzani hususani CDM, si mbebi mtu bali nimeeleza kile ninachokijua na ninachokiona kila siku.