Tanzania vs UK: Ijue tofauti kati ya lecturer/senior lecturer (qualifications & skills)

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,629
2,288
Wakuu habari za majukumu.
Nimejaribu kufuatilia tofauti ya entry qualification za nchi mbalimbali kama UK, kuna kitu tunatakiwa kukiiga ile tuweze kufikia elimu bora na yenye kuboresha matatizo mbalimbali ndani ya jamii.

Ili uwe lecture/ senior lecture kwa UK unatakiwa uwe na vigezo vifuatavyo:-
1. PhD with a strong research development potentials & publications in highly quality journal.
2. Applicants should demonstrate the ability to publish in top international journals.


Kwa watanzania, ili uwe lecture/senior lecture uwe na vigezo vifuatavyo:-
1. A GPA of 3.8 and above for undergraduate level and master level of GPA 4.0 and above.
2. Capacity to work with minimum supervision.

Ukijaribu Ku search baadhi ya walimu ambao ni maprofessor na madoctor wa Tz kwenye google, kwa kweli inasikitisha! Unakuta prof ana paper 9 tu toka mwaka 1999 hadi Leo!

My take: Watanzania tubadili mfumo wa GPA nadhani unatoa wataaluma wazembe wasiopenda kufanya tafiti..!
 
Duuuhhh labda tatzo hao wenye PhD hawapo wengi.

Wenzetu elimu wanaitafuta waongeze mchango kwenye jamii huku kwetu tunaangalia kupata kazi na mshahara monthly.
 
Duuuhhh labda tatzo hao wenye PhD hawapo wengi.

Wenzetu elimu wanaitafuta waongeze mchango kwenye jamii huku kwetu tunaangalia kupata kazi na mshahara monthly.
Hamna wapo wengi, ila wamejikita kwenye siasa za kudanganyana, umasikini uliopitiliza, na ugomvi na wanandoa wao kila kukicha
 
Wakuu habari za majukumu.
Nimejaribu kufuatilia tofauti ya entry qualification za nchi mbalimbali kama UK, kuna kitu tunatakiwa kukiiga ile tuweze kufikia elimu bora na yenye kuboresha matatizo mbalimbali ndani ya jamii.

Ili uwe lecture/ senior lecture kwa UK unatakiwa uwe na vigezo vifuatavyo:-
1. PhD with a strong research development potentials & publications in highly quality journal.
2. Applicants should demonstrate the ability to publish in top international journals.


Kwa watanzania, ili uwe lecture/senior lecture uwe na vigezo vifuatavyo:-
1. A GPA of 3.8 and above for undergraduate level and master level of GPA 4.0 and above.
2. Capacity to work with minimum supervision.

Ukijaribu Ku search baadhi ya walimu ambao ni maprofessor na madoctor wa Tz kwenye google, kwa kweli inasikitisha! Unakuta prof ana paper 9 tu toka mwaka 1999 hadi Leo!

My take: Watanzania tubadili mfumo wa GPA nadhani unatoa wataaluma wazembe wasiopenda kufanya tafiti..!


Kuna jambo unalopaswa kuelewa kama ulikuwa bado ni kwamba kila kitu ukionacho hapa Bongo kilianzishwa na Muzungu hivyo kama umekwenda kwa Muzungu ukakuta wanafanya tofauti ni kwamba tu walibadilisha na kuleta kitu kingine, ila sisi tumebakiza walichotuachia zamani, na hii ni kila kitu, hata jinsi ya kumlala Mwanamke!
 
Kwa watanzania, ili uwe lecture/senior lecture uwe na vigezo vifuatavyo:-
1. A GPA of 3.8 and above for undergraduate level and master level of GPA 4.0 and above.
2. Capacity to work with minimum supervision.
Mkuu hii umeitoa wapi? Ni Chuo gani hicho Tanzania?
 
Kuna jambo unalopaswa kuelewa kama ulikuwa bado ni kwamba kila kitu ukionacho hapa Bongo kilianzishwa na Muzungu hivyo kama umekwenda kwa Muzungu ukakuta wanafanya tofauti ni kwamba tu walibadilisha na kuleta kitu kingine, ila sisi tumebakiza walichotuachia zamani, na hii ni kila kitu, hata jinsi ya kumlala Mwanamke!
Haha ha ha
 
Tatizo pesa za kufund research. Serikali yetu haijainvest kwenye tafiti, katika bajeti yetu pesa ya research haifiki hata 1%.
Sasa unategemea nini kama mambo yenyewe ndo hayo..!
Lakini pia huwezi sahau mfumo wetu wa elimu kwajinsi ulivyo mbovu..! Huwezi amini thesis nyingi za wasomi wetu ni za kununua..! Watu wanakesha kujirusha ukifika muda wa kufanya research njemba inatafuta mtu anamwandikia kila kitu na wasimamizi wake hata kugundua maovu haya hawawezi.
Lakini pia shida nyengine inaletwa na hawa malecturer wetu, baadhi yao wamekuwa na tabia mbaya za kupenda kupewa rushwa ili wawapitishie thesis zao za kikanjanja na kudhorotesha elimu yetu kwa kutoa vijana wasio competent.
 
Tatizo pesa za kufund research. Serikali yetu haijainvest kwenye tafiti, katika bajeti yetu pesa ya research haifiki hata 1%.
Sasa unategemea nini kama mambo yenyewe ndo hayo..!
Lakini pia huwezi sahau mfumo wetu wa elimu kwajinsi ulivyo mbovu..! Huwezi amini thesis nyingi za wasomi wetu ni za kununua..! Watu wanakesha kujirusha ukifika muda wa kufanya research njemba inatafuta mtu anamwandikia kila kitu na wasimamizi wake hata kugundua maovu haya hawawezi.
Lakini pia shida nyengine inaletwa na hawa malecturer wetu, baadhi yao wamekuwa na tabia mbaya za kupenda kupewa rushwa ili wawapitishie thesis zao za kikanjanja na kudhorotesha elimu yetu kwa kutoa vijana wasio competent.
Ni kweli mkuu! Na nchi ambayo haiwezi invest kwenye research , INA maana hata decision making nyingi ni fake! Maana hazitoki kwenye community yenyewe
 
Kuna jambo unalopaswa kuelewa kama ulikuwa bado ni kwamba kila kitu ukionacho hapa Bongo kilianzishwa na Muzungu hivyo kama umekwenda kwa Muzungu ukakuta wanafanya tofauti ni kwamba tu walibadilisha na kuleta kitu kingine, ila sisi tumebakiza walichotuachia zamani, na hii ni kila kitu, hata jinsi ya kumlala Mwanamke!
 
Ni vyuo vyote vya serikali, ikiwamo udsm, sua na mzumbe!
Sinayo hapa lakini ni tofauti na ulichoweka. Kuna kitu wanaita harmonised Scheme kwa Vyuo vya umma. Pili kuna condition tofauti kati ya Lecturer na Senior Lecturer. Unatakiwa pia uwe na point kadha kutoka publications, kufundisha na outreach-nyingi zikitokea publications. PhD ni hitaji moja wapo hasa kwa Senior Lecturer, na kawaida Lecturer pia anatakiwa awe na PhD.
 
Sinayo hapa lakini ni tofauti na ulichoweka. Kuna kitu wanaita harmonised Scheme kwa Vyuo vya umma. Pili kuna condition tofauti kati ya Lecturer na Senior Lecturer. Unatakiwa pia uwe na point kadha kutoka publications, kufundisha na outreach-nyingi zikitokea publications. PhD ni hitaji moja wapo hasa kwa Senior Lecturer, na kawaida Lecturer pia anatakiwa awe na PhD.
Kigezo kikubwa katika entry point ni GPA but siyo publications.
 
Kigezo kikubwa katika entry point ni GPA but siyo publications.
GPA inatumika katika kuamua nani aajiriwe. Kwa SUA najua wana interviews pamoja na delivery ya public lecture. Of course wanaangalia pia publications kutegemea na level gani mtu ameomba. Huwezi ukaomba kuwa Lecturer au Senior Lecturer halafu wasiangalie publications zako.
 
GPA inatumika katika kuamua nani aajiriwe. Kwa SUA najua wana interviews pamoja na delivery ya public lecture. Of course wanaangalia pia publications kutegemea na level gani mtu ameomba. Huwezi ukaomba kuwa Lecturer au Senior Lecturer halafu wasiangalie publications zako.
Ndo maana nasema, UK hawaangalii GPA, Bali wanaangalia publications!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom