Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,788
- 2,867
Kwa hyo unatuaminisha sisiemu inaongoza madadravuu??CUF nacho kihistoria kilikuwa Chama kilichopendwa na Waislamu ambao hawakuipenda CCM, sijui ni kwa nini lkn ndiyo hivyo, kwani imekuwa ikishinda sehemu zenye Waislamu wengi, kihistoria!